Mafunzo ya polisi yawe miaka 3 badala ya miezi 6. Ili kuboresha utendaji wa jeshi la polisi.

Mafunzo ya polisi yawe miaka 3 badala ya miezi 6. Ili kuboresha utendaji wa jeshi la polisi.

Na kuwe na kambi mbalimbali za mafunzo ya awali kama ilivyo jeshi la wananchi na jkt kiujumla..

Hili la wote kupitia CCP Moshi huwafanya wote wawe na akili/upeo/reasoningna mtazamo mmoja kwenye mambo mtambuka .
No hate ushauri tu.
 
Na kuwe na kambi mbalimbali za mafunzo ya awali kama ilivyo jeshi la wananchi na jkt kiujumla..

Hili la wote kupitia CCP Moshi huwafanya wote wawe na akili/upeo/reasoningna mtazamo mmoja kwenye mambo mtambuka .
No hate ushauri tu.
Akili fupi
 
Weledi, umakini na mwenendo wa jeshi la polisi vinatia mashaka sana kwa sasa. Hivyo kuna kila sababu ya kuongeza muda wa mafunzo ya jeshi la polisi kutoka miezi 6 hadi miaka 3 ili waive sawa sawa.
Mjinga hata angekaa shule / chuo cha mafunzo miaka 10 hawezi badilika, cha msingi ni katiba mpya tu
 
Weledi, umakini na mwenendo wa jeshi la polisi vinatia mashaka sana kwa sasa. Hivyo kuna kila sababu ya kuongeza muda wa mafunzo ya jeshi la polisi kutoka miezi 6 hadi miaka 3 ili waive sawa sawa.
Hata wangepewa mafunzo kwa miaka kumi ila chini ya CCM Bado watageuzwa mateka tu!
Sio kwamba polisi wetu hawana weledi wanao sana, ukitaka kujua weledi wa jeshi la polisi wapime kwa mambo ambayo hayana mwelekeo wa kisiasa. So shida kubwa iliyopo ni Hawa wanasiasa uchwara kuwatumia kukandamiza watu, na ole wako polis akatae kufuata kinachoitwa "maelekezo"
 
Kuna kigezo muhimu sana hujakitaja wasichukue failures wa division 4!

Akili zikiwa kidogo ndio mwanzo wa matumizi ya nguvu nyingi pasipostahili.

Ndio maana kesi ya Mbowe ilituonyesha polisi asilimia 90% hawaujui PGO yao wao ni matumizi ya nguvu.

Mwisho jeshi lifumuliwe na mfumo ubadilike kutoka police force kuwa police service.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Weledi, umakini na mwenendo wa jeshi la polisi vinatia mashaka sana kwa sasa. Hivyo kuna kila sababu ya kuongeza muda wa mafunzo ya jeshi la polisi kutoka miezi 6 hadi miaka 3 ili waive sawa sawa.
Polisi inatakiwa kuwa na mifumo miwili 1)police force na police justice..mfano ukienda kituo cha Polisi unatakiwa kuhudumiwa na police justice kama kutakuwa na uhitaji wa police force ndiyo utapewa ...unakuta mtu kaenda tutoa tu loss report anakutana na police force ? Wakazi gani ? Police justice wanatakiwa kusomea haki na sheria na uniform zao ziwe tofauti na police force
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Tatizo la polisi wa bongo sio mafunzo ni kuingiza siasa tu kwnye weledi baaasi!
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Polisi inatakiwa kuwa na mifumo miwili 1)police force na police justice..mfano ukienda kituo cha Polisi unatakiwa kuhudumiwa na police justice kama kutakuwa na uhitaji wa police force ndiyo utapewa ...unakuta mtu kaenda tutoa tu rost report anakutana na police force ? Wakazi gani ? Police justice wanatakiwa kusomea haki na sheria na uniform zao ziwe tofauti na police force
Loss report"
 
Weledi, umakini na mwenendo wa jeshi la polisi vinatia mashaka sana kwa sasa. Hivyo kuna kila sababu ya kuongeza muda wa mafunzo ya jeshi la polisi kutoka miezi 6 hadi miaka 3 ili waive sawa sawa.
Hao hata wakikaa kiaka 9 mafunzoni bado hakuna kitakacho badilika ikiwa tuu hawata tenganishwa na CCM.
 
Polisi inatakiwa kuwa na mifumo miwili 1)police force na police justice..mfano ukienda kituo cha Polisi unatakiwa kuhudumiwa na police justice kama kutakuwa na uhitaji wa police force ndiyo utapewa ...unakuta mtu kaenda tutoa tu rost report anakutana na police force ? Wakazi gani ? Police justice wanatakiwa kusomea haki na sheria na uniform zao ziwe tofauti na police force
Ndio maana waweza enda kwa nia njema kabisa wanaanza kukufokea bila sababu ndio maana mwisho wa siku hata mtoa taarifa mwema wanaweza kumpa misuko suko ndio maana hawapati ushirikiano wa hiyari hawa
 
Hao hata wakikaa kiaka 9 mafunzoni bado hakuna kitakacho badilika ikiwa tuu hawata tenganishwa na CCM.
Na cha kuwatenganisha na CCM ni Katiba mpya!

Hawa jamaa wawe huru kisheria na kikanuni, wanasiasa wasiwe na nguvu ya kulikoromea jeshi la polisi, maana hii ndo inawafanya sisiem kulitumia kwa maslahi yao jeshi la polisi.

Imagine IGP anateuliwa na mwanasiasa (bi kizimkazi), senior officers wanapandishwa cheo na bi kizimkazi, waziri kwa mujibu wa sheria ya polisi ana uhalali wa kutoa maelekezo, ma-RPC kuteuliwa na kutenguliwa kwao ni maamuzi ya wanasiasa, sasa hili litakuwa jeshi au tawi la chama?

#KatibaMpya
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Na cha kuwatenganisha na CCM ni Katiba mpya!

Hawa jamaa wawe huru kisheria na kikanuni, wanasiasa wasiwe na nguvu ya kulikoromea jeshi la polisi, maana hii ndo inawafanya sisiem kulitumia kwa maslahi yao jeshi la polisi.

Imagine IGP anateuliwa na mwanasiasa (bi kizimkazi), senior officers wanapandishwa cheo na bi kizimkazi, waziri kwa mujibu wa sheria ya polisi ana uhalali wa kutoa maelekezo, ma-RPC kuteuliwa na kutenguliwa kwao ni maamuzi ya wanasiasa, sasa hili litakuwa jeshi au tawi la chama?

#KatibaMpya
Hawa walitakiwa wateuliwe kwa kuzingatia taratibu za kijeshi sema wanaogopa kupinduliwa
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Hawa walitakiwa wateuliwe kwa kuzingatia taratibu za kijeshi sema wanaogopa kupinduliwa
Haya yote yanakuja sababu ya katiba mpya.
Bila katiba mpya huu ushuz utaendelea, sasa unategemea senior officers waache kutekeleza 'maelekez' ya madon walioshika dola afu wakitenguliwa kwenye madaraka yao watoto wao wale nini?

Hii ujinga yote inaletwa na katiba mbovu na sheria za kingese.

Badili katiba, rais asiwe na mamlaka juu ya polisi, rekebisha sheria ya polisi hawa wanasiasa wa hovyo hovyo wasiingilie kwa namna yoyote utendaji wa polisi, hii taasisi ya polisi inatakiwa iwe autonomous ili iweze kutekeleza majukumu yake kihalali.

#Marekebisho kwa mleta mada, kwa sasa huwa wanafanya kozi miezi 9 na sio 6.

Hata hivyo hata wakafanya kozi miaka 10 haitobadili chochote kama mfumo wa uendeshaji nchi utaendelea kubaki huu huu.

TATIZO SIO POLISI, TATIZO NI MFUMO
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom