Mafuriko wa Wabunge wa Upinzania kuhamia CCM: Baada ya Bunge kuvunjwa,wabunge wa Upinzani waliomiminika kwenda CCM wako wapi?

Mkuu Ccm haiitaji polisi wala tume acheni kujidanganya
Bila msaada wa dola nyie ni wepesi kama karatasi.

Si umeona figisu za msajili wa vyama na sheria mpya za uchaguzi ,mawakala hawatapewa nakala ya matokeo ya kura vituoni unafikiri nini tafsiri yake.
 
😆😆😆😆😆
 
Umesema " Watu wanaoendelea kuhamia CHADEMA kutoka vyama vingine kama kina Felix Mkosamali,wanatoa ujumbe gani kwa wanaodai CHADEMA inakufa?"

Ukitaka kujua hali dhaifu ni uonapo mapigo ya moyo yakififia, katika miezi 6 iliyopita waliohamia chadema ni Mkosamali, na waliohama ni na kwenda vyama vingine ni wengi sana, hiyo pekee ni hali mbaya ya Afya.

Pia uonapo chama kinatetewa na Dagaa mitandaoni basi hiyo nayo ni dalili za kukosa nguvu.

Ukiona chama kinakodisha Askari wa kukodishwa kama akina KIGOGO, na wakajikita katika siasa za matusi na kuwakashifu wanyonge ama wasio na nguvu ya kujitetea , kama wasicha, akina mama , basi ujue hali ni tete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…