Mafuriko ya watalii nchini, nampongeza Rais Samia Suluhu

Mafuriko ya watalii nchini, nampongeza Rais Samia Suluhu

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.

Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.

Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.

Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.

Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.

Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
 
Leta takwimu acha blabla Kama vile una hutubia kikundi Cha vikoba vya wakina mama
Kweli anatakiwa alete takwimu, ila mkuu nikuhakikishie sie tulioko maeneo haya ya kitalii, makampuni ya utalii yanapiga kazi balaa. Makruza na marover tu yanapishana huku Ngorongoro na Serengeti. Tunaona kwa macho yetu. Kama una rafiki yako yeyote ambaye anahusika na hizi mambo muulize atakuthibitishia.


JESUS IS LORD
 
Kweli anatakiwa alete takwimu, ila mkuu nikuhakikishie sie tulioko maeneo haya ya kitalii, makampuni ya utalii yanapiga kazi balaa. Makruza na marover tu yanapishana huku Ngorongoro na Serengeti. Tunaona kwa macho yetu. Kama una rafiki yako yeyote ambaye anahusika na hizi mambo muulize atakuthibitishia.


JESUS IS LORD
ni kawaida, miaka yote miezi kama hii ni high season. sema covid ilileta shida kidogo hapo nyuma. ni sawa na kushangaa wachaga kujazana moshi kipindi cha mwezi wa 12
 
Watalii wengi kuja Tanzania hawajaanza 2021.

Wewe tupe takwimu inayoonesha mfululizo wa ujaji wa watalii Tanzania kabla ya Royal Tour na baada ya Royal Tour ili tuweze kulinganisha.

KIFUPI: Unapoongea na watu waliosoma uwe unatumia document support ( kama huwezi Kutumia document support Kaa kimya).

Kwasababu, watu wanahitaji kuthibitisha hicho unachokisema kwa kutumia takwimu kabla ya Royal Tour na baada ya Royal Tour ( Facts speak themselves).
 
Watalii wengi kuja Tanzania hawajaanza 2021.
Wewe tupe takwimu inayoonesha mfululizo wa ujaji wa watalii Tanzania kabla ya Royal Tour na baada ya Royal Tour ili tuweze kulinganisha.
KIFUPI: Unapoongea na watu waliosoma uwe unatumia document support ( kama huwezi Kutumia document support Kaa kimya). Kwasababu, watu wanahitaji kuthibitisha hicho unachokisema kwa kutumia takwimu kabla ya Royal Tour na baada ya Royal Tour ( Facts speak themselves).
Takwimu kila siku zinatolewa ila kwa chuki hamuelewi.
 
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.

Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.

Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.

Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.

Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.

Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Na mimi naomba gwanda la kijani ili nimsifu mama na Peter.
 
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.

Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.

Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.

Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.

Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.

Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Tuache unafiki na kujipendekeza jaman

Sasa hapo pongezi Kwa rais ni zipi? Mwez wa saba mpaka wa kumi kila mwaka ni high season watalii wanakuwa wengi tangu enzi za Nyerere sasa pongezi Kwa mama how?


Usiwe kama Yule waziri ambae hata akiona mbuzi wanapita barabarani anasema thank you mama Kwa cinema ya royol tour

Au Yule msemaje ambae hata akikuta gari la watalii liko gereji anapiga picha anasema thank you mama Kwa Royol Tour
 
Factor ni nyingi:-
1) Royal Tour
2) Joto kali ulaya
3) Uchaguzi Kenya
4) Msimu

Royol Tour hapana Kwa mwaka huu labda mwakani

Hivi umewahi kuona documentary za Serengeti zile zinaoneshwa Ile Chanel ya DStv Nat Geo ?

Ukipata bahati ya kuona zile ndio utaamini kuwa Royol Tour haina uwezo wa kujaza watalii kiasi mnachokiwaza
 
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.

Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.

Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.

Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.

Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.

Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Umeeleza kweli tupu.
 
Back
Top Bottom