sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Kwani mwaka jana ilikuwaje kipindi kama hichi.Factor ni nyingi:-
1) Royal Tour
2) Joto kali ulaya
3) Uchaguzi Kenya
4) Msimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwaka jana ilikuwaje kipindi kama hichi.Factor ni nyingi:-
1) Royal Tour
2) Joto kali ulaya
3) Uchaguzi Kenya
4) Msimu
Haters watakwambia ni msimu 😆😆
Off course watu wana offload covid stress.Haters watakwambia ni msimu 😆😆
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.
Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.
Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.
Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.
Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.
Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Hakuna wezi wa kudhibitiwa na maza maana hawajui ni akina nani 😂Maza angemudu kudhibiti "mchwa" wanaotafuna pesa za umma, tungepiga hatua kiuchumi, for sure!!!!
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Acha kuingelea Petroli kwenye moto.!Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.
Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.
Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.
Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.
Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.
Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Kwa hiyo sehemu ya ku offload hizo stress ni Tanzania tuu,kwa nini hawakuenda Kenya,Egypt nk?Off course watu wana offload covid stress.
Kukosa exposure ni kubaya sana. Mbuga za wanyama za Tanzania na Kenya zinajulikana siku nyingi mpaka watalii wamebadilisha neno ''safari'' na kulipa maana ya kutalii mbuga za wanyama. Kwa kifupi hakuna kivutio ambacho kilikuwa hakijulikani. Watalii walikuwa wamesitisha safari kwa wingi kwa sababu ya korona. Hata nchi za Ulaya sasa hivi utalii wa ndani kwa ndani umefumuka utadhani watu wamepagawa. Sasa watu wenye upeo mfupi kama wewe wanashindwa kujua juu ni wapi na chini ni wapi!Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.
Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.
Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.
Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.
Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.
Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Pia wanaweza kusema kuwa ni wazungu wanaokimbia vita tu ya Ukraine na wale wenye chuki kupitiliza wanaweza kusema ni wazungu wanaokimbia mgogoro uliosababishwa na Nancy Pelos kule TaiwanHaters watakwambia ni msimu 😆😆
Ni kipi kipya kilichooneshwa kwenye royal tour na awali hakikuwahi oneshwa? Uvivu wa kufikiri unapelekea kutoa sifa hata pasipo stahili.Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.
Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.
Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.
Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.
Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.
Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Hawataki kuamini kwamba mama yuko kaziniHaters watakwambia ni msimu 😆😆
Wataamini watakapopigwa za USO 2025 ,mda huo wao watakuwa wanashinda kwa mafuriko ya mitandaoni ila kitaani Samia atakuwa anapeta..Hawataki kuamini kwamba mama yuko kazini
Kazi kubwa iliyofanywa na Rais SamiaFactor ni nyingi:-
1) Royal Tour
2) Joto kali ulaya
3) Uchaguzi Kenya
4) Msimu
Ndio maana halisi ya mama yuko kaziniUmeeleza kweli tupu.
Royal ataour imeleta watalii wengi kwa wakati mmoja, hii haijawahi kutokea.Royol Tour hapana Kwa mwaka huu labda mwakani
Hivi umewahi kuona documentary za Serengeti zile zinaoneshwa Ile Chanel ya DStv Nat Geo ?
Ukipata bahati ya kuona zile ndio utaamini kuwa Royol Tour haina uwezo wa kujaza watalii kiasi mnachokiwaza
sio unafki wala kujipendekeza, mama amefanya kazi kubwa kuhakikisha watalii wanakuja. Huu ndio ukweliTuache unafiki na kujipendekeza jaman
Sasa hapo pongezi Kwa rais ni zipi? Mwez wa saba mpaka wa kumi kila mwaka ni high season watalii wanakuwa wengi tangu enzi za Nyerere sasa pongezi Kwa mama how?
Usiwe kama Yule waziri ambae hata akiona mbuzi wanapita barabarani anasema thank you mama Kwa cinema ya royol tour
Au Yule msemaje ambae hata akikuta gari la watalii liko gereji anapiga picha anasema thank you mama Kwa Royol Tour
Angalia idadi ya sasa, wingi wao ndani ya muda mchache ndio utaamini kwamba mama ameupiga mwingi.Miaka mitatu nyuma tulikuwa tunapokea watalii wangapi kwa mwaka na sasa wameongezeka kwa kiwango gani
Alafu kuna watu wanabisha kwamba Royal tour haijasaidia kitu kwenye hili. Ukweli lazima usemwe mama Samia Suluhu ameupiga mwingi.Yaani ni hatari juzi nlikua natoka manyara nlihesabu magari 65 kwa nusu saa yaliyokua yanaelekea ngorongoro
sio unafki wala kujipendekeza, mama amefanya kazi kubwa kuhakikisha watalii wanakuja. Huu ndio ukweli
Angalia idadi ya sasa, wingi wao ndani ya muda mchache ndio utaamini kwamba mama ameupiga mwingi.