Mafuriko ya watalii nchini, nampongeza Rais Samia Suluhu

Mafuriko ya watalii nchini, nampongeza Rais Samia Suluhu

Sababu iwe yoyote ile kama wanajaa ni jambo jema kwa wakazi wa Kaskazini na jambo jema kwa nchi.
 
Haters watakwambia ni msimu 😆😆

Acheni siasa za bei chee, watalii kwenye miaka yote hii ni high season, ukizingatia na kipindi watu walichokaa ndani kutokana na Covid, kwasasa milango iko wazi, hivyo ni lazima watalii watakuwa wengi. Kwa wasiojua lolote mnaweza kuwaokota.

Kama kweli ni jitihada za rais kuleta hao watalii na sio mazingira yenyewe, mbona hatuoni wawekezaji wengi wakija kufungua viwanda? Au huko kwenye viwanda hajapapigia debe? Kwa bahati mbaya mnadhani watu bado wako usingizini hivyo mnaweza kuwajaza ujinga.
 
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.

Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.

Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.

Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.

Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.

Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.

Huu utapeli wa kijinga alitaka kuuleta Lowassa kipindi fulani. Nakumbuka alisema ataleta Wathailand watengeneze mvua. Ila alitaka kuwaleta kipindi cha karibu na Masika. Lengo la kutaka kuwaleta kipindi hicho ni ili mvua ya Masika ikianza aseme ni yeye aliwaleta Wathailand wakatengeneza mvua hiyo. Hakuna mtalii anakuja kutokana na huo utapeli wa roho tua.
 
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.

Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.

Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.

Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.

Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.

Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Acha kuingelea Petroli kwenye moto.!
Huu ni msimu wa summer nchi za ulaya na shulee nyingi kuwa zimefungwa. Watu walituma kwenye Corona na kipindi hiki cha mapumziko basi ndio wakati wa kusafiri na familia.
Kutakuwepo na upungufu wa haon watalii ifikapo September kati kuendelea. Kasi unayoiona Sasa hivi haitakuwepo! Ni swala la muda halina hata kupatuka kusifia. Nchi za wenzetu Wana Maendeleo kibao mbona hawamsifui Rais. Ni Kwa sababu kila kiongozi anawajibika eneo lake na Demokrasia iliyoshiba sio Hawa wa Teua / Tengua - Apisha!

Akiteuliwa kiongozi lazima aende kwenye jopo ajieleze anawezaje kuimudu nafasi hiyo na mwisho kupingwa kura za ushindi hakuna kuapisha kesho yake haijalishi hata kama wanatumia mwezi kumjadili mteuliwa.!
 
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.

Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.

Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.

Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.

Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.

Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Kukosa exposure ni kubaya sana. Mbuga za wanyama za Tanzania na Kenya zinajulikana siku nyingi mpaka watalii wamebadilisha neno ''safari'' na kulipa maana ya kutalii mbuga za wanyama. Kwa kifupi hakuna kivutio ambacho kilikuwa hakijulikani. Watalii walikuwa wamesitisha safari kwa wingi kwa sababu ya korona. Hata nchi za Ulaya sasa hivi utalii wa ndani kwa ndani umefumuka utadhani watu wamepagawa. Sasa watu wenye upeo mfupi kama wewe wanashindwa kujua juu ni wapi na chini ni wapi!
 
Tanzania kama ilivyo baadhi ya mataifa, imejaliwa kuwa na vivutio mbalimbali vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Ngorongoro ambayo inatajwa kuwa miongoni mwa zilizo katika maajabu saba ya dunia kwa kuwa na wanyama adimu duniani.

Filamu ya Royal Tour inaonesha vivutio vya utalii vilivyoko Tanzania Bara kama vile Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Kwa upande wa Zanzibar, inaonesha hoteli za kitalii ikiwemo iliyoko ndani ya bharai huko Pemba, huku Rais Samia Suluhu akiwa kiongozi wa kutoa maelezo kuhusu vivutio hivyo.

Ni wazi kuwa kwa sasa Watanzania wanashuhudia waziwazi matunda ya Filamu hiyo kutokana na ujio wa ndege nyingi kutoka mataifa mbalimbali zinazofika nchini zikiwa na idadi kubwa ya watalii wanaoingia nchini kutembelea vivutio hivyo.

Ujio wa watalii hao siyo tu umesaidia kuliingizia Taifa fedha za kigeni, bali pia umewezesha kukua kwa uchumi wa mtu mmojammoja wakiwemo waongozaji wa watalii, wamiliki wa hoteli pamoja na akda zingine ambazo kwa namna moja au nyingine zinajishughulisha na sekta hiyo.

Katika hili, Watanzania kwa umoja wetu, hatuna budi kumshukuru Rais Samia kwa kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni taifa lenye vivutio vizuri ikijumlishwa na amani iliyonayo pamoja na fursa nyingi za uwekezaji.

Jambo la msingi ni kuzidi kumuombea Rais weu ili malengo yake mbalimbali aliyoyaweka katika taifa hili na wananchi yatimie na nchi izidi kuendelea katika nyanja zote.
Ni kipi kipya kilichooneshwa kwenye royal tour na awali hakikuwahi oneshwa? Uvivu wa kufikiri unapelekea kutoa sifa hata pasipo stahili.
 
Royol Tour hapana Kwa mwaka huu labda mwakani

Hivi umewahi kuona documentary za Serengeti zile zinaoneshwa Ile Chanel ya DStv Nat Geo ?

Ukipata bahati ya kuona zile ndio utaamini kuwa Royol Tour haina uwezo wa kujaza watalii kiasi mnachokiwaza
Royal ataour imeleta watalii wengi kwa wakati mmoja, hii haijawahi kutokea.
 
Yaani ni hatari juzi nlikua natoka manyara nlihesabu magari 65 kwa nusu saa yaliyokua yanaelekea ngorongoro
 
Tuache unafiki na kujipendekeza jaman

Sasa hapo pongezi Kwa rais ni zipi? Mwez wa saba mpaka wa kumi kila mwaka ni high season watalii wanakuwa wengi tangu enzi za Nyerere sasa pongezi Kwa mama how?


Usiwe kama Yule waziri ambae hata akiona mbuzi wanapita barabarani anasema thank you mama Kwa cinema ya royol tour

Au Yule msemaje ambae hata akikuta gari la watalii liko gereji anapiga picha anasema thank you mama Kwa Royol Tour
sio unafki wala kujipendekeza, mama amefanya kazi kubwa kuhakikisha watalii wanakuja. Huu ndio ukweli
Miaka mitatu nyuma tulikuwa tunapokea watalii wangapi kwa mwaka na sasa wameongezeka kwa kiwango gani
Angalia idadi ya sasa, wingi wao ndani ya muda mchache ndio utaamini kwamba mama ameupiga mwingi.
 
Yaani ni hatari juzi nlikua natoka manyara nlihesabu magari 65 kwa nusu saa yaliyokua yanaelekea ngorongoro
Alafu kuna watu wanabisha kwamba Royal tour haijasaidia kitu kwenye hili. Ukweli lazima usemwe mama Samia Suluhu ameupiga mwingi.
 
sio unafki wala kujipendekeza, mama amefanya kazi kubwa kuhakikisha watalii wanakuja. Huu ndio ukweli

Angalia idadi ya sasa, wingi wao ndani ya muda mchache ndio utaamini kwamba mama ameupiga mwingi.

Unafanya kampun gani ya tours? Fact zako unaongea Kwa base gani?

Me nipo kwenye hizo mambo za utalii, naongea ambacho nakiona,

Wazungu wengi wanafanya book za Safari mwaka mmoja kabla, sasa jiulize hiyo royol tour ina mwaka mmoja?

Nyie ndio wale mnasema hata immigration ya nyumbu this time imekuwa mzuri Sana because of Royol tour film
 
Back
Top Bottom