Mafuriko yaliyotokea Dubai na tehran juzi na Jana yamesababishwa na bwawa la mwalimu Nyerere! viongozi wetu wamekosa umakini !

Mafuriko yaliyotokea Dubai na tehran juzi na Jana yamesababishwa na bwawa la mwalimu Nyerere! viongozi wetu wamekosa umakini !

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Sio tu Dubai na nchi nyingine huko falme za kiarabu hata mmomonyoko wa udongo mbeya pamoja na mafuriko ya Arusha na hata bwawa la monduli kupasuka chanzo ni bwawa la mwalimu Nyerere! Kwa Hali hii lazima serikali iwajibike ipasavyo ! Mawaziri wa nishati lazima wajiuzuru hata waziri mkuu ajiuzuru tafadhali sana 🤣 na wasipojiuzuru tutaitisha maandamano
 
Sio tu Dubai na nchi nyingine huko falme za kiarabu hata mmomonyoko wa udongo mbeya pamoja na mafuriko ya Arusha na hata bwawa la monduli kupasuka chanzo ni bwawa la mwalimu Nyerere! Kwa Hali hii lazima serikali iwajibike ipasavyo ! Mawaziri wa nishati lazima wajiuzuru hata waziri mkuu ajiuzuru tafadhali sana 🤣 na wasipojiuzuru tutaitisha maandamano
Naona Mafuriko ya huko yanatumika kama.cover ya kukwepa uwajibikaji na uzembe wa Mamlaka kudhibiti Mafuriko yaliyochagizwa na bwawa 😂😂👇👇
Screenshot_20240418-102356.jpg
 
Sio tu Dubai na nchi nyingine huko falme za kiarabu hata mmomonyoko wa udongo mbeya pamoja na mafuriko ya Arusha na hata bwawa la monduli kupasuka chanzo ni bwawa la mwalimu Nyerere! Kwa Hali hii lazima serikali iwajibike ipasavyo ! Mawaziri wa nishati lazima wajiuzuru hata waziri mkuu ajiuzuru tafadhali sana 🤣 na wasipojiuzuru tutaitisha maandamano

Kutokea mafuriko kokote hakuna maana ya rufiji hayakudababishwa na bwawa.

Si bora hata mjikalie kimya?
 
Sio tu Dubai na nchi nyingine huko falme za kiarabu hata mmomonyoko wa udongo mbeya pamoja na mafuriko ya Arusha na hata bwawa la monduli kupasuka chanzo ni bwawa la mwalimu Nyerere! Kwa Hali hii lazima serikali iwajibike ipasavyo ! Mawaziri wa nishati lazima wajiuzuru hata waziri mkuu ajiuzuru tafadhali sana 🤣 na wasipojiuzuru tutaitisha maandamano
🤣🤣
 
Sio tu Dubai na nchi nyingine huko falme za kiarabu hata mmomonyoko wa udongo mbeya pamoja na mafuriko ya Arusha na hata bwawa la monduli kupasuka chanzo ni bwawa la mwalimu Nyerere! Kwa Hali hii lazima serikali iwajibike ipasavyo ! Mawaziri wa nishati lazima wajiuzuru hata waziri mkuu ajiuzuru tafadhali sana 🤣 na wasipojiuzuru tutaitisha maandamano
🤣🤣
 
Sio tu Dubai na nchi nyingine huko falme za kiarabu hata mmomonyoko wa udongo mbeya pamoja na mafuriko ya Arusha na hata bwawa la monduli kupasuka chanzo ni bwawa la mwalimu Nyerere! Kwa Hali hii lazima serikali iwajibike ipasavyo ! Mawaziri wa nishati lazima wajiuzuru hata waziri mkuu ajiuzuru tafadhali sana 🤣 na wasipojiuzuru tutaitisha maandamano
naunga mkojo hoja ya furumusha jiwe gizani technicaly:pedroP:
 
Tunajifunza mambo mapya kila siku.
Mafuriko ya Kazakhstan yalisababishwa na nini?
Yule jamaa aliyejenga lile bwawa hayupo tena.
He had the good sense to go away.
Shutuma kama hizi angeziweza?
Lakini surely yule mtu aliyesema "Where did the Tanzania go wrong" ni illiterate?
Muhongo alisema contractor wale( wa lile bwawa) ni feki.
Halafu Muhongo akafukuzwa kazi.
 
Dunia nzima imekumbwa na madhara ya kila aina kwa sasa
Hali ya hewa imebadilika sana sehemu nyingi
Kuna sehemu mwezi huu kawaida hali ya hewa kuwa 20° ila leo ni 8° kila mtu na koti kubwa

Ecuador kuna ukame mpaka bwawa lao limepungua maji mpaka kubaki 30% tu na waziri wa Nishati ameisha fukuzwa kazi kwa tuhuma za uhujumu akiwa na genge lake la mafisadi
 
Ukikosolewa pokea ushauri hata kwa kukaa kimya tu.Kuanza kujitutumua unazidi kutoa mwanya na kuufunua udhaifu wako.Kwani kila kitu ni lazima ubishane?
 
Back
Top Bottom