Mafuriko yaliyotokea Dubai na tehran juzi na Jana yamesababishwa na bwawa la mwalimu Nyerere! viongozi wetu wamekosa umakini !

Mafuriko yaliyotokea Dubai na tehran juzi na Jana yamesababishwa na bwawa la mwalimu Nyerere! viongozi wetu wamekosa umakini !

Dunia nzima imekumbwa na madhara ya kila aina kwa sasa
Hali ya hewa imebadilika sana sehemu nyingi
Kuna sehemu mwezi huu kawaida hali ya hewa kuwa 20° ila leo ni 8° kila mtu na koti kubwa

Ecuador kuna ukame mpaka bwawa lao limepungua maji mpaka kubaki 30% tu na waziri wa Nishati ameisha fukuzwa kazi kwa tuhuma za uhujumu akiwa na genge lake la mafisadi
Si aje tumpe maji ya bwawa letu limejaaa
 
Ukikosolewa pokea ushauri hata kwa kukaa kimya tu.Kuanza kujitutumua unazidi kutoa mwanya na kuufunua udhaifu wako.Kwani kila kitu ni lazima ubishane?
Hakuna msichokosoa kuwanyamazia ni kuwaendekeza na kuwafanya muwe wajinga
 
Hakuna msichokosoa kuwanyamazia ni kuwaendekeza na kuwafanya muwe wajinga
Endelea kuanzisha sledi nyingine tuzidi kukuwamba kwenye kipago ili utueleze zaidi kwa nini na utajiri wao haufiki na huku nchini wakati tuna hali za hewa zifananazo.
 
Sio tu Dubai na nchi nyingine huko falme za kiarabu hata mmomonyoko wa udongo mbeya pamoja na mafuriko ya Arusha na hata bwawa la monduli kupasuka chanzo ni bwawa la mwalimu Nyerere! Kwa Hali hii lazima serikali iwajibike ipasavyo ! Mawaziri wa nishati lazima wajiuzuru hata waziri mkuu ajiuzuru tafadhali sana 🤣 na wasipojiuzuru tutaitisha maandamano
Ha ha ha😎
 
Back
Top Bottom