NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Mwanangu KANJI kanipausha sana mkuu nataka nijipake MAFUTA mkuu kuwa na amani tu [emoji16]Kimekupata nn ndugu yangu NALIA NGWENA mambo ya kutaka lotion mbona unanitia mashaka na muenendo wako