cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Johnson's baby si ya kimiminika km ya Nazi?Vaseline for men, au Johnson's baby.. Ni ya mgando
Au kuna ya mgando pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Johnson's baby si ya kimiminika km ya Nazi?Vaseline for men, au Johnson's baby.. Ni ya mgando
Inachubua hii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Clair Men utakuja kunishukuru
Hajikubali na rangi yakee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na malotioni bakiza hiyo rangi asili nyeusi[emoji16]
Uduguuu nilitaka nikuite, rangi ya u beauty, hawaitakiiiKwa hiyo sura ya kwenye avatar au nyingine?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona km yatadunda alafu utaanza kutuona tuliokushauri waongo….!!!!
Tumia Razaq
Maji ya kunde wapi mkuu wakati unaonekana mweusi tiii kama oil chafu.Maji ya kunde mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jaribu kuwasiliana na Papa Francis akubariki kwanza halafu atakuunganisha na watu wenye uzoefu na hayo mambo watakushauri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nilijua ni avatar tu kumbe kweli ndo wewe wewe[emoji2960]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii hizi dhambii khaaaahMaji ya kunde wapi mkuu wakati unaonekana mweusi tiii kama oil chafu.
Hata kama hapo kwenye avatar sio wewe ila naamini avatar uliyoiweka inaakisi uhalisia wako ulivyo.
Wewe achana na mafuta hiyo sura ngumu sana haitang'arishwa na mafuta ya aina yoyote.
Kwa asili ngozi ya mwanaume haing'ai na haitakiwi we mwanamke akupende tu ivoivo kama hawezi bhasWakuu habari za kazi, Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu nahitaji jina la MAFUTA au lotion inayong'arisha ngozi bila ya kuchubua.
Ngozi ibaki hivyo hivyo natural isichubuke.
NB: NGOZI YANGU INA MAFUTA SANA HASWA USONI.
[emoji23][emoji23][emoji23] eti kama hawezi basi.Kwa asili ngozi ya mwanaume haing'ai na haitakiwi we mwanamke akupende tu ivoivo kama hawezi bhas
Ndiyo maana now days wanaume wamekuwa wa ku-degrade uwanaume wao ili wawavutie wanawake siyo mda mref atajikuta amenyonya na vagina bure[emoji23][emoji23][emoji23] eti kama hawezi basi.
Yapo ya mgando yale ya watoto, ni mazuri sanaJohnson's baby si ya kimiminika km ya Nazi?
Au kuna ya mgando pia?
Eee Mungu wangu😂😂😂… cocastic umemskia huyu jamaaMaji ya kunde wapi mkuu wakati unaonekana mweusi tiii kama oil chafu.
Hata kama hapo kwenye avatar sio wewe ila naamini avatar uliyoiweka inaakisi uhalisia wako ulivyo.
Wewe achana na mafuta hiyo sura ngumu sana haitang'arishwa na mafuta ya aina yoyote.
NDIYO UNAYOJIPAKAGA MZEE?!Carolight
NYANKUNDO [emoji41]Maji ya kunde wapi mkuu wakati unaonekana mweusi tiii kama oil chafu.
Hata kama hapo kwenye avatar sio wewe ila naamini avatar uliyoiweka inaakisi uhalisia wako ulivyo.
Wewe achana na mafuta hiyo sura ngumu sana haitang'arishwa na mafuta ya aina yoyote.