Changchun yatai
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 410
- 1,050
Kwani hakuna wanaume wanaopaka mafuta na lotion mkuu? Ushawahi ishi njombe au iringa usipopaka mafuta lazima ngozi ichanike au ibabuke kwa baridi na lotion lazima uchanganye na griseline huko watu wote bila kujali jinsia wanapaka mafuta mwenye lips ili lips zisichanike, njombe hasa ludewa mafuta ya mgando yanapakwa hadi kwenye unyayo ili kuzuia funza.Dalili mbaya sana kwa Mwanaume Rijali kuuliza Vitu vyenye mlengo wa akina Juma Lokole. Yaani mwanaume timilifu anayewaza sawa sawa hawezi kuuuliza huu ushubwada. Huyu Mchizi kaungana na Mtopolo mwenzake yaani tayari ni TIMU KABWILI maaaaamae Papa katuharbia vijana. Shiiiiit