Mafuta au lotion nzuri inayongarisha ngozi na siyo kuchubua

Mafuta au lotion nzuri inayongarisha ngozi na siyo kuchubua

Dalili mbaya sana kwa Mwanaume Rijali kuuliza Vitu vyenye mlengo wa akina Juma Lokole. Yaani mwanaume timilifu anayewaza sawa sawa hawezi kuuuliza huu ushubwada. Huyu Mchizi kaungana na Mtopolo mwenzake yaani tayari ni TIMU KABWILI maaaaamae Papa katuharbia vijana. Shiiiiit
Kwani hakuna wanaume wanaopaka mafuta na lotion mkuu? Ushawahi ishi njombe au iringa usipopaka mafuta lazima ngozi ichanike au ibabuke kwa baridi na lotion lazima uchanganye na griseline huko watu wote bila kujali jinsia wanapaka mafuta mwenye lips ili lips zisichanike, njombe hasa ludewa mafuta ya mgando yanapakwa hadi kwenye unyayo ili kuzuia funza.
 
Jaribu kuwasiliana na Papa Francis akubariki kwanza halafu atakuunganisha na watu wenye uzoefu na hayo mambo watakushauri.
 
Kwani hakuna wanaume wanaopaka mafuta na lotion mkuu? Ushawahi ishi njombe au iringa usipopaka mafuta lazima ngozi ichanike au ibabuke kwa baridi na lotion lazima uchanganye na griseline huko watu wote bila kujali jinsia wanapaka mafuta mwenye lips ili lips zisichanike, njombe hasa ludewa mafuta ya mgando yanapakwa hadi kwenye unyayo ili kuzuia funza.
ACHANA NALO HILO LINAZANI KWA KUA LENYEWE LINAZIBURIWA MTARO BASI KILA MTU ANAFANYA HUO UPUMBAVU.
 
Jaribu kuwasiliana na Papa Francis akubariki kwanza halafu atakuunganisha na watu wenye uzoefu na hayo mambo watakushauri.
ACHA UMAKU KAMA HUNA CHA KUCHANGIA KAA KIMYA.

KWA KUA WEWE UNAZIBULIWA MTARO NDIYO UNADHANI KILA MTU ANAZIBUA MTARO TAFUTA WAZIBUA MITARO WAKUZIBUE.
 
Mkuu kwanza hongera Kwa kua na hiyo rangi kwenye avatar,ni rangi nzuri sana,usitumie losheni,badala yake tumia mafuta ya nazi mfano parachute,uchanganye kidogo na mafuta ya mgando,unapaka Kwa pamoja,utang'aa vema tu.
 
Mkuu kwanza hongera Kwa kua na hiyo rangi kwenye avatar,ni rangi nzuri sana,usitumie losheni,badala yake tumia mafuta ya nazi mfano parachute,uchanganye kidogo na mafuta ya mgando,unapaka Kwa pamoja,utang'aa vema tu.
SHUKURANI MKUU NIKIPAKA MAFUTA NATOKA MACHUNUSI MENGI HALAFU NIKIACHA NAPAUKA SANA NDIYO MAANA NIKAONA NIJE KWENU WATAALAMU.
 
Mkuu naona mkeka umeshatik so tunaanza kufanya mashopping ya uhandsome au sio?
 
ACHA UMAKU KAMA HUNA CHA KUCHANGIA KAA KIMYA.

KWA KUA WEWE UNAZIBULIWA MTARO NDIYO UNADHANI KILA MTU ANAZIBUA MTARO TAFUTA WAZIBUA MITARO WAKUZIBUE.
Kwahiyo unachagua watu wa kukujibu! Punguza hasira wasiliana na huyo mtu utapata ufumbuzi wa tatizo lako.
 
nyie madogo ndio wale mnapaka matako losheni
MIMI HUWA NAIPAKA KWENYE MJULIBENGI (MTALIMBOO) NAPOTAKA KUKUKANYAGIA SHUBAMITI WEWE.

TABIA ZAKO ZA KUPAKA MAFUTA KOTA LAKO UNADHANI KILA MTU ANATABIA HIYO.
 
Back
Top Bottom