Principle girl
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,311
- 1,297
Habari waungwana
Tuambizane ni mafuta gani mazuri kwa kutumia usoni kwa normal and dry skin.
Tuambizane ni mafuta gani mazuri kwa kutumia usoni kwa normal and dry skin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
![]()
Call her 0714547830
25000/=
Nielekeze ndugu yangu hapo kwa bei ya 10,000hii kitu pale village supermarket ni elf 10 . acha kumdalalia mwenzio![]()
Nenda shamo tower mbezi beach kuna village supermarket kibox hicho 3500 na kichupa elf 6500Nielekeze ndugu yangu hapo kwa bei ya 10,000
Maana Mimi hata jumla siagizi bei hiyo
Kumbuka kuna fake na ognenda shamo tower mbezi beach kuna village supermarket kibox hicho 3500 na kichupa elf 6500
Sijui bwana ndo natumia siku zote naona yapo tu fresh nina vitube viwili hapa tena naona vimeandikwa tofauti sijui original ni kipi na fake ni kipi ila nilinunua vyote villageKumbuka kuna fake na og
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hujui fake wala og, naomba picha yake ila fake zinawaathir sana wenye oil skin na watu weupesijui bwana ndo natumia siku zote naona yapo tu fresh nina vitube viwili hapa tena naona vimeandikwa tofauti sijui original ni kipi na fake ni kipi ila nilinunua vyote village
Wafanya biashara utawaweza na the so called "original". Wanatumia mgongo wa "ni original" kupiga watu.sijui bwana ndo natumia siku zote naona yapo tu fresh nina vitube viwili hapa tena naona vimeandikwa tofauti sijui original ni kipi na fake ni kipi ila nilinunua vyote village
nina hii hapa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hujui fake wala og, naomba picha yake ila fake zinawaathir sana wenye oil skin na watu weupe
Wafanya biashara utawaweza na the so called "original". Wanatumia mgongo wa "ni original" kupiga watu.
nina hii hapa
pia nina hii![]()
![]()
Tofauti kabisaaaaaanina hii hapa
pia nina hii![]()
![]()
aisee niwape umbea chukua vaseline ya kutosha kila siku usiku paka matiti plus olive oil halafu mlete mrejesho hapaMimi sikuzote ninaamini mafuta ya vitu asilia kama cocoa butter, shear butter, avocado butter, au vaseline.
Wafanya biashara utawaweza na the so called "original". Wanatumia mgongo wa "ni original" kupiga watu.
Habari waungwana
Tuambizane ni mafuta gani mazuri kwa kutumia usoni kwa normal and dry skin.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Hujui fake wala og, naomba picha yake ila fake zinawaathir sana wenye oil skin na watu weupe
ila yote bei ni moja pale.au ya kwako ni kubwa?Tofauti kabisaaaaaa
Yangu kubwa, na picha zako tofauti na zanguila yote bei ni moja pale.au ya kwako ni kubwa?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] shoga ntaanza kesho alafu nikupe mrejeshoaisee niwape umbea chukua vaseline ya kutosha kila siku usiku paka matiti plus olive oil halafu mlete mrejesho hapa
Yanasaidia nini mamii?aisee niwape umbea chukua vaseline ya kutosha kila siku usiku paka matiti plus olive oil halafu mlete mrejesho hapa