Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,047
Nahisi mgandoMumy vaseline ya mgando au lotion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi mgandoMumy vaseline ya mgando au lotion
Wow! Naomba niambie yanasaidia nn hasa usoni.....afu ni lazma uwe na vitube vyote ivyo 2?sory nilikuwa sijaona mm! samahani sana ila ni mazuri sana .
vaseline usipake usoniMumy hii inafaa hata kwa mtu wa uso wa Mafuta
vaseline ya mgando ,paka matiti,kwapa,kibupa,chura mapaja yaani utateleza mpaka ufurahi na olive oil
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]akionesha nitag
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kewewe ni me au ke?
utakuja kugegedwa humu wewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mke mwenza nimekuona tayari upo ndio maana sijakuita.Ulivyo na roho mbaya
Nataka ya biashara so ntakuja pm unipe maujuz kdg ili nitafute soko kwanzaYeye mwenyewe keshaomba radhi, hakujua kuwa kuna utofauti,
Si kila mtu nampa haya, so niambie aina ya ngozi yako,rangi na unataka uweje
haya ya almond yatakuwa mazuri balaa nitakutafuta maana almond sio muchezoKuna haya pia![]()
17000
Nimeinuka kitandani shoo nishaifanya kazi nitakupa mrejesho[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]vaseline ya mgando ,paka matiti,kwapa,kibupa,chura mapaja yaani utateleza mpaka ufurahi na olive oil
ahaaaaa upake ya kutosha sio unabeepNimeinuka kitandani shoo nishaifanya kazi nitakupa mrejesho[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]subiria mrejesho sitakagi mchezo kwenye vitu vya maan mimahaaaaa upake ya kutosha sio unabeep
Hahaa haya ngoja niamini hivyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mke mwenza nimekuona tayari upo ndio maana sijakuita.
Safi,Sasa wewe si mtu wa mambo ya Afya itashangaza kama na wewe utatumia kemikali.Mimi sikuzote ninaamini mafuta ya vitu asilia kama cocoa butter, shear butter, avocado butter, au vaseline.
[emoji23] [emoji23] hulazi damuNimeinuka kitandani shoo nishaifanya kazi nitakupa mrejesho[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]