Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kweli mke mwenza, siwezi kukusahau, nilikuona tayari unauliza maswali ndio maana sikukuita.Hahaa haya ngoja niamini hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mke mwenza, siwezi kukusahau, nilikuona tayari unauliza maswali ndio maana sikukuita.Hahaa haya ngoja niamini hivyo
Niko dukani napitwaje lazima ndala zangu zishinemgando
Haya bwana mkemwenza nimekusomaKweli mke mwenza, siwezi kukusahau, nilikuona tayari unauliza maswali ndio maana sikukuita.
[emoji3][emoji3]its nat dat much izyutakuja kugegedwa humu wewe
Unaogopa kuchafua matandiko?Kati ya vitu nisivyoweza ni kupaka mafuta wakati wa kulala
Kabisaa yaan khaa[emoji23] [emoji23] hulazi damu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko dukani napitwaje lazima ndala zangu zishine
Ohooooo!!!Niko dukani napitwaje lazima ndala zangu zishine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Du! Unajali uso ndio nyie sura zinameremetaaa tuje kwenye kalio sasa utafikiri barabara ya kiwango cha changarawe
Pomoja na hilo ni kwamba huwa siwi comfortableUnaogopa kuchafua matandiko?
Ok,Sawa.Pomoja na hilo ni kwamba huwa siwi comfortable
Hii inafaa uso wenye mafutahaya ya almond yatakuwa mazuri balaa nitakutafuta maana almond sio muchezo
siyajui kwa kweli.naijua tu almondHii inafaa uso wenye mafuta
ngoja kesho nitakupa formulaJamani warembo niambieni mafuta mazuri yatayonipa choclet colour uso wangu mafuta ka beberu nimepakaa queen Elizabeth imedunda
Powa my ntakustua hata kama umesahau huu si usongoja kesho nitakupa formula
Ooooh!!!
Nalendwa
Heaven Sent
Shunie
Sakayo
Maserati
mahondaw
Evelyn Salt
miss chagga
Honey Faith
Mkuje mpate maujuzi huku.
Lazima mwili uwe lainiiiii![emoji15] [emoji2] [emoji1] [emoji28] [emoji23]
Woow!, Niiice!
Thanks shoga, kuna watu utakuwa umewafurahisha sana! [emoji4]