Mafuta na gesi ya Russia yaendelea kwenda kwa wingi India, China na nchi za EU. Hizo za ulaya wanayanunua kwa rubles

Mafuta na gesi ya Russia yaendelea kwenda kwa wingi India, China na nchi za EU. Hizo za ulaya wanayanunua kwa rubles

Badala ya kujibu hoja unatoka nje ya mada? Acha assumption.
Haya Soko gani la hisa kampuni za mafuta au gesi za kirusi zimelist?
Taja moja wapo tu, sio unalukaluka makida
Wewe ndio ujibu unayejitia mjuzi kuwa kampuni za Urusi wamiliki warus tu isi unajifanya mjanja

Putin hana Jeuri kuwekea vikwazo nchi za Magharibi japo wamemuwekea vikwazo kibao kampuni zote kubwa za Urusi ziko soko la hisa Magharibi ndiko wanatoa mitaji yao

Wanampiga vitani na kwenye mitaji.mpuuzi mkubwa

Putin lofa tu yule na Urusi yake
 
Wewe ndio ujibu unayejitia mjuzi kuwa kampuni za Urusi wamiliki warus tu isi unajifanya mjanja

Putin hana Jeuri kuwekea vikwazo nchi za Magharibi japo wamemuwekea vikwazo kibao kampuni zote kubwa za Urusi ziko soko la hisa Magharibi ndiko wanatoa mitaji yao

Wanampiga vitani na kwenye mitaji
Ngoja nikufungue sasa, kampun iliyokua na hisa huko magharibi ni Rusneft, nayo mwaka 2014 ilipigwa burn. So from 2014 hakuna kampuni ya mafuta inayoendesha biashara zake kwa kutegemea soko la hisa la magharibi.
 
Badala ya kujibu hoja unatoka nje ya mada? Acha assumption.
Haya Soko gani la hisa kampuni za mafuta au gesi za kirusi zimelist?
Taja moja wapo tu, sio unalukaluka makida
Mfano mdogo huu hapa

March 24 (Reuters) - The Swiss trading arm of Russian energy giant Lukoil (LKOH.MM) has scaled back operations after the oil company cut its supply of capital to guarantee nearly $1 billion in margin calls in the wake of Western sanctions, according to three people familiar with the matter.

Litasco, which was handling more than 3.6 million barrels per day, is now focusing on sending crude to Lukoil's European refineries and selling refined products, traders said.


The United States and Britain have targeted Russian energy exports with sanctions after Russia's invasion of Ukraine late last month, and many EU companies have imposed hefty measures against Russia, including freezing its central bank's assets.

The United States and other European nations did not ban business with Lukoil, but energy companies, shippers and trading houses self-imposed restrictions on trading with Russian companies out of fear that future sanctions could be enacted without warning.


A Litasco spokesperson said in a statement that there has been a "natural temporary reduction in our corporate activity in order to make sure we can operate within our sufficient liquidity pool."

Russian companies and major buyers of Russian oil have been unable to open letters of credit from Western banks to cover purchases. read more

Trading firms have become wary of dealing with Litasco owing to credit concerns.


Litasco was told to stop hedging crude oil in an effort to preserve cash, two sources told Reuters. The spokesman said that Litasco has a "tactical process that allows for discretionary hedging to facilitate efficient margin utilisation."

Lukoil did not respond to requests for comment.

Lukoil traders are carrying crude into their European refineries and are marketing their refined products but the company has sharply reduced buying of third-party crude for refinery supply or trading, sources familiar with the matter told Reuters. Litasco said it has not changed its policy for supplying refineries.


Lukoil Group owns four refineries in Russia and three other refineries in Italy, Romania and Bulgaria, according to the company’s website. It also has a 45% interest in a refinery in the Netherlands. The aggregate capacity of these refineries is 80.4 million tonnes, according to the company.

Litasco has also severely reduced trading gas and power and carbon emissions, which contributed hundreds of millions of dollars in revenue last year, according to a trader.


"Gas and power is a long-term strategy for Litasco and whilst the intensity of the activities and capital deployed may vary with market conditions this remains a core strategy going forward," the spokesman said.

All fuel trading of gasoline and diesel is done by the Litasco trading arm. Litasco will likely retain traders associated with its core energy assets, a senior trading source told Reuters. Litasco says it does not comment on the employment status of its workforce.
 
Mfano mdogo huu hapa

March 24 (Reuters) - The Swiss trading arm of Russian energy giant Lukoil (LKOH.MM) has scaled back operations after the oil company cut its supply of capital to guarantee nearly $1 billion in margin calls in the wake of Western sanctions, according to three people familiar with the matter.

Litasco, which was handling more than 3.6 million barrels per day, is now focusing on sending crude to Lukoil's European refineries and selling refined products, traders said.


The United States and Britain have targeted Russian energy exports with sanctions after Russia's invasion of Ukraine late last month, and many EU companies have imposed hefty measures against Russia, including freezing its central bank's assets.

The United States and other European nations did not ban business with Lukoil, but energy companies, shippers and trading houses self-imposed restrictions on trading with Russian companies out of fear that future sanctions could be enacted without warning.


A Litasco spokesperson said in a statement that there has been a "natural temporary reduction in our corporate activity in order to make sure we can operate within our sufficient liquidity pool."

Russian companies and major buyers of Russian oil have been unable to open letters of credit from Western banks to cover purchases. read more

Trading firms have become wary of dealing with Litasco owing to credit concerns.


Litasco was told to stop hedging crude oil in an effort to preserve cash, two sources told Reuters. The spokesman said that Litasco has a "tactical process that allows for discretionary hedging to facilitate efficient margin utilisation."

Lukoil did not respond to requests for comment.

Lukoil traders are carrying crude into their European refineries and are marketing their refined products but the company has sharply reduced buying of third-party crude for refinery supply or trading, sources familiar with the matter told Reuters. Litasco said it has not changed its policy for supplying refineries.


Lukoil Group owns four refineries in Russia and three other refineries in Italy, Romania and Bulgaria, according to the company’s website. It also has a 45% interest in a refinery in the Netherlands. The aggregate capacity of these refineries is 80.4 million tonnes, according to the company.

Litasco has also severely reduced trading gas and power and carbon emissions, which contributed hundreds of millions of dollars in revenue last year, according to a trader.


"Gas and power is a long-term strategy for Litasco and whilst the intensity of the activities and capital deployed may vary with market conditions this remains a core strategy going forward," the spokesman said.

All fuel trading of gasoline and diesel is done by the Litasco trading arm. Litasco will likely retain traders associated with its core energy assets, a senior trading source told Reuters. Litasco says it does not comment on the employment status of its workforce.
sasa wapi umeona wamelist kwenye stock exchange?
 
Mfano mdogo huu hapa

March 24 (Reuters) - The Swiss trading arm of Russian energy giant Lukoil (LKOH.MM) has scaled back operations after the oil company cut its supply of capital to guarantee nearly $1 billion in margin calls in the wake of Western sanctions, according to three people familiar with the matter.

Litasco, which was handling more than 3.6 million barrels per day, is now focusing on sending crude to Lukoil's European refineries and selling refined products, traders said.


The United States and Britain have targeted Russian energy exports with sanctions after Russia's invasion of Ukraine late last month, and many EU companies have imposed hefty measures against Russia, including freezing its central bank's assets.

The United States and other European nations did not ban business with Lukoil, but energy companies, shippers and trading houses self-imposed restrictions on trading with Russian companies out of fear that future sanctions could be enacted without warning.


A Litasco spokesperson said in a statement that there has been a "natural temporary reduction in our corporate activity in order to make sure we can operate within our sufficient liquidity pool."

Russian companies and major buyers of Russian oil have been unable to open letters of credit from Western banks to cover purchases. read more

Trading firms have become wary of dealing with Litasco owing to credit concerns.


Litasco was told to stop hedging crude oil in an effort to preserve cash, two sources told Reuters. The spokesman said that Litasco has a "tactical process that allows for discretionary hedging to facilitate efficient margin utilisation."

Lukoil did not respond to requests for comment.

Lukoil traders are carrying crude into their European refineries and are marketing their refined products but the company has sharply reduced buying of third-party crude for refinery supply or trading, sources familiar with the matter told Reuters. Litasco said it has not changed its policy for supplying refineries.


Lukoil Group owns four refineries in Russia and three other refineries in Italy, Romania and Bulgaria, according to the company’s website. It also has a 45% interest in a refinery in the Netherlands. The aggregate capacity of these refineries is 80.4 million tonnes, according to the company.

Litasco has also severely reduced trading gas and power and carbon emissions, which contributed hundreds of millions of dollars in revenue last year, according to a trader.


"Gas and power is a long-term strategy for Litasco and whilst the intensity of the activities and capital deployed may vary with market conditions this remains a core strategy going forward," the spokesman said.

All fuel trading of gasoline and diesel is done by the Litasco trading arm. Litasco will likely retain traders associated with its core energy assets, a senior trading source told Reuters. Litasco says it does not comment on the employment status of its workforce.
Mkuu tafadhari usipende kujiaibisha, nafahamu unauelewa kiasi lakini usisababishe tunaokuheshimu, tukudharau kwa michango yako. Mwanzo umedai hisa zinamilikiwa nawageni GAZPROM hisa zaidi ya asililimiz 50 nizaserikali ya Russia. Sasa unapokuja hapa unacopy makala ndefu ambazo zinaelezea vitu tofauti na ulivyosema awali nikujiaibisha.
 
hiko ndo wengi hawaelew , tunapokosoa uvamiz hatumaanish tunamshabikia mtu fulani bali kwa utu wa kawaida tu , alichofanya Putin ni uonevu
Sisi tumamshabikia puntin kwakuwa mmalekani hamshabikii puntin. Yaani hatutaki kuwa timu moja na usa hata kama timu pinzani yake niyakiharifu

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Wakubwa wao ndio wameamua hivyo

Ndio maana hata Russia hana ubavu wa akiwakea vikwazo vya mafuta na gesi nchi za Magharibi pamoja na yeye kawekewa vikwazo kibao sababu akiteua za kukata hao wazalishaji na wasambazaji mafuta mababe yenye pesa uwekezaji ya nchi za Magharibi ndio hiyo hiyo mizalushaji .Hivyo Urusi yenyewe itaunia.Itazima mitambo na uzalishaji na kutimka na teknolojia zao kurudi zao nchi za Magharibi kwao.Kutakuwa na chaosi ya uzalishaji gesi na mafuta Urusi penyewe

Ndio maana Russia hathubutu kufunga koki ya bomba la mafuta au gesi kwenda hizo nchi pamoja na wao kumbamiza vikwazo barabara
Si mnaendelea sasa kumpatia pesa ya kuendeleza vita kwanini msiache kununua mafuta yake ili akose mapato ya kuendesha vita?
 
Mkuu tafadhari usipende kujiaibisha, nafahamu unauelewa kiasi lakini usisababishe tunaokuheshimu, tukudharau kwa michango yako. Mwanzo umedai hisa zinamilikiwa nawageni GAZPROM hisa zaidi ya asililimiz 50 nizaserikali ya Russia. Sasa unapokuja hapa unacopy makala ndefu ambazo zinaelezea vitu tofauti na ulivyosema awali nikujiaibisha.
Hehe jamaa chaupepo huyo tumzoee tu........hawa ni wale makada wakishamezeshwa kitu wao kazi yao ni kuropoka tu kama redio ya kaseti ukishabonyeza play
 
Wakubwa wao ndio wameamua hivyo

Ndio maana hata Russia hana ubavu wa akiwakea vikwazo vya mafuta na gesi nchi za Magharibi pamoja na yeye kawekewa vikwazo kibao sababu akiteua za kukata hao wazalishaji na wasambazaji mafuta mababe yenye pesa uwekezaji ya nchi za Magharibi ndio hiyo hiyo mizalushaji .Hivyo Urusi yenyewe itaunia.Itazima mitambo na uzalishaji na kutimka na teknolojia zao kurudi zao nchi za Magharibi kwao.Kutakuwa na chaosi ya uzalishaji gesi na mafuta Urusi penyewe

Ndio maana Russia hathubutu kufunga koki ya bomba la mafuta au gesi kwenda hizo nchi pamoja na wao kumbamiza vikwazo barabara
We jamaa acha dharau unataka kumdanganya nani humu ndani kwamba teknolojia za uchimbaji na uchakataji mafuta na gesi huko urusi siyo za warusi wenyewe? Unataka kutudanganya humu ndani kwamba wenye teknolojia hiyo ni wazungu pekee? Kwa hiyo GAZPROM shirika kubwa la gas duniani linalomilikiwa na serikali ya Urusi unataka kusema siyo la warusi? Rosneft shirika kubwa kuzidi nchi yoyote ya umoja wa ulaya na NATO la uzalishaji mafuta linalomilikwa na serikali ha urusi nalo unataka kusema ni la nani? Acha uchawi wewe wa kuidharau russia au unadhani ni huku kwenu ambako hadi utengenezaji wa pipi mnahitaji mwekezaji wa kihindi? Russia wapo dunia nyingine usirudie kushusha shudu humu ndani.
 
Kuna wabongo huwaambii kitu kwa USA [emoji16]
Ungeanza kwa kuuliza jinsi Urusi ilivyouza silaha kwa Uganda na Tanzania ili wauwane vizuri. Ukweli ni kuwa, usidanganywe kuna mzungu au coloured person aliye na uchungu na Africa.
Ukiona mmoja analalamika, jua wamezidiana kete huko na wanatafuta support ya kumkabili mbabe wake.
 
Kuna kitu kidogo mleta mada hukielewi

Makampuni mengi yanayouza mafuta toka Urusi ni ya nchi za Magharibi.Asilimia kubwa ya hizo pesa zinaingia benki zao za nchi za Magharibi
Ndio maana unaona hali hiyo
Ni sawa na Sisi tuwe na gesi ya mtwara kampuni inayochimba na kuuza ni ya mmarekani kwa mfano akiwa anachimba na kuuza hiyo gesi kwa ku export Marekani. Halafu Sisi Marekani akatuwekea vikwazo si rahisi kugusa gesi

Kampuni nyingi zilizoondoka Urusi za Magharibi ni zile zilizojisajili kama local company zikifanya biashara ndani ya Urusi na kulipa kodi zote ndani ya urusi
Zitaje hizo Kampuni na Sisi tuzijue
 
Kuna kitu kidogo mleta mada hukielewi

Makampuni mengi yanayouza mafuta toka Urusi ni ya nchi za Magharibi.Asilimia kubwa ya hizo pesa zinaingia benki zao za nchi za Magharibi
Ndio maana unaona hali hiyo
Ni sawa na Sisi tuwe na gesi ya mtwara kampuni inayochimba na kuuza ni ya mmarekani kwa mfano akiwa anachimba na kuuza hiyo gesi kwa ku export Marekani. Halafu Sisi Marekani akatuwekea vikwazo si rahisi kugusa gesi

Kampuni nyingi zilizoondoka Urusi za Magharibi ni zile zilizojisajili kama local company zikifanya biashara ndani ya Urusi na kulipa kodi zote ndani ya urusi
Duuuuuuh
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Wewe ndio ujibu unayejitia mjuzi kuwa kampuni za Urusi wamiliki warus tu isi unajifanya mjanja

Putin hana Jeuri kuwekea vikwazo nchi za Magharibi japo wamemuwekea vikwazo kibao kampuni zote kubwa za Urusi ziko soko la hisa Magharibi ndiko wanatoa mitaji yao

Wanampiga vitani na kwenye mitaji.mpuuzi mkubwa

Putin lofa tu yule na Urusi yake
mi sio mjuzi wa haya mambo ila swali najibu navijua, umeulizwa swali to jibu asee.
 
Mkuu tafadhari usipende kujiaibisha, nafahamu unauelewa kiasi lakini usisababishe tunaokuheshimu, tukudharau kwa michango yako. Mwanzo umedai hisa zinamilikiwa nawageni GAZPROM hisa zaidi ya asililimiz 50 nizaserikali ya Russia. Sasa unapokuja hapa unacopy makala ndefu ambazo zinaelezea vitu tofauti na ulivyosema awali nikujiaibisha.
huyu jamaa analeta stori za vijiweni anakoshinda, ndio anatuletea huku. Lakini muache ajifunze.
 
US anahangaika kumshawishi India, ila India kaamua kuchagua maslahi ya wanachi wake, Waziri Mkuu wa India kawa ambia yy hatochagua upande, ila anchoomba vita iishe kwa njia ya mazungumzo.




Yaani hawa India wapo zaidi ya 1.4b+ ukijumlisha na China 1.4b+,yaani kwa kifupi hata vikwazo haviwaumizi Russia na ubaya zaidi wanafanya biashara kwa hela zao.
 
Ungeanza kwa kuuliza jinsi Urusi ilivyouza silaha kwa Uganda na Tanzania ili wauwane vizuri. Ukweli ni kuwa, usidanganywe kuna mzungu au coloured person aliye na uchungu na Africa.
Ukiona mmoja analalamika, jua wamezidiana kete huko na wanatafuta support ya kumkabili mbabe wake.

Hata kama, japo siamini hilo,, turudi nyuma, kuna nchi duniani inauza silaha kwa wingi zaidi kuliko mataifa yote duniani kama marekanyo!!!!
 
Hata kama, japo siamini hilo,, turudi nyuma, kuna nchi duniani inauza silaha kwa wingi zaidi kuliko mataifa yote duniani kama marekanyo!!!!
Wala huhutajiki kuamini jambo dhahiri. Hebu tuwekee takwimu zinaonyesha US anaongoza kwa kuuza silaha.
 
Hii Ban ni kama haiwezekani ukiiangalia vizuri. Ndio maana Rais wa Ukraine analalamika kusalitiwa.

Urusi anayo Gas na Mafuta, anahitaji hela/wateja. Eropean, India na China wanazo hela za kununua, wanahitaji Gas na Mafuta, sasa nani hapa anamuhitaji mwenzie zaidi?

Urusi asipomuuzia China, India, USA or European countries hatokosa wateja. Lakini na wao China, India na European countries zisiponunua kwa Urusi zinaweza kupata kwengine Kwa Bei nafuu, ukakika wa mzigo wa kutosha na kwa haraka zaidi kama ilivyo kutoka Urusi??

Fikiria Urusi kapigwa Ban lakini bado ana ujasiri wa kuweka masharti kwenye bidhaa yake, means anajua hawana ubavu wa kuikataa na "watakuja tu"

Baniani Mbaya, Kiatu Chake Dawa..!!
ndio mana juzi putin alisema alivokutana na rais wa belarus in modern times you can not isolated kwa mana katika dunia ya sasa huwez kusema et unaitenga nchi fulan.ndio hayyo ukisem msjnunue kwa fulan wanaitika usiku haoo wanapeleka meli wanachkua bidhaa.na ndio black market inavowpa watu pesa.modern times huwez
 
Back
Top Bottom