Mafuta ya kupikia yaadimika mitaani

Nchi hii kila siku ni mipango tu, utadhania uhuru tumekabidhiwa jana!!hakuna kiongozi mwenye nia ya dhati ya kukuza kilimo nchi hii, huko kwenye mafuta ya kula ndiko achana napo kabisa, wastani kwa Tz kwa mwaka mahitaji ni tani 600, 000, lakini uwezo wa ndani ni tani laki 2 tu, hilo gape la tani laki 4, lazima liagizwe toka nje!!leo watakwambia kuna kilimo kikubwa cha michikichi kinaendelea huko kigoma!!subilia uone baada ya miaka 10 mbele, kama hutasikia story hizi hizi tu!!!Na aliyetibua soko la mafuta ya kula nchini ni jiwe, na sera zake mbovu, za kuongeza kodi kwa mafuta ya kula ambayo hayajasafishwa, na waingizaji kushindwa kabisa kuyaingiza!!ndipo chanzo cha tatizo kilianzia.
 
Punguzeni kulaumu kla kitu yan Wabongo tumekua waty wa lawama kla sku tufanyeni kaz tuache Siasa
Mafuta lawama
Umeme kodi lawama
Polisi lawama
Simu kulipa miamala lawama
Ttzo letu wabongo tunapenda starehe uwezo wetu mdg tujipangeni upya maisha yamebadilika
Tujifunzeni kuishi kulingana na vipato vyetu rasivyo tutakua watu wa lawama kla sku
 
Tatizo hiyo mifano uliyotoa hapo pesa zote zinaishia kwa wajanja wachache tu halafu tukae kimya ingekuwa zinaenda serikalini moja kwa moja hapo sawa
 
Wakati unasema wapunguze lawama ungeanza ku analyse watu wenye nyadhifa za kufanya monitoring & control wamefanya nini hadi sasa!
 
Hayo ndio mavuno ya viongozi wasio maono. Endeleeni kufungua nchi.
 
Watanzania mnaishia kulalamika
Kama bei ya Mafuta kupikia imepanda
Na yalianza kupanda muda
Sahv mnalalama tu bila ku take action,
Pikeni kuleni chukuchuku tu
Wenyewe watayashusha bei
Acheni utumwa na addiction mliyokuwa nazo

Ova
 
MaCCM yakielezea kuwa kuna matatizo ndiyo maana mafuta hayapatikani mtaani😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Masoko yapo kibao, na watu wanaweza kulima sana tu. kilichopo ni serikali kuwakataza kuuza nje ili bei iwe chini nchini. Matokeo yake wakulima wakubwa hawalimi na nchi inashindwa kujitosheleza. Sera kama hizo nchi nyingi waliziacha sababu zinaleta tu njaa, lakini hawa tunaita viongozi hawana kitu kwa kichwa.
 
Tukubali kuwa sisi ni nchi ya wapumbavu. Ukubwa wa nchi yetu ni mara tatu ya Malaysia. Lakini tunategemea mafuta ya kula toka Malaysia. Tz hii alizeti inaweza kulimwa kila kona. Kama inasitawi nchi kame kama Singida basi inaweza stawi popote. Msiba wa kujitakia huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…