Mafuta yamejaa kila kona ya nchi, tatizo lilikuwa ni nini?

Mafuta yamejaa kila kona ya nchi, tatizo lilikuwa ni nini?

images (4).jpeg
 
The law of demand and supply serikali kama msimamiz wa masuala ya mafuta alitakiwa kuwaunganisha wauza mafuta na wanunuzi ambao ni wananchi ili waweze kukutana kwenye equilibrium price kirahisi
 
unapata wapi nguvu ya kumaind.. na huku huna ubavu wowote 😅😅😅... ni kutulia tu
Hakuna kitu kinauma zaidi kuumia kimya kimya. Ikija kulipuka unajikuta unakunya hadharani pale posta askari monument mbele ya kadamnas halafu unajiua. Kuiachia serikali laana kali. Bora kumaindi tuu.
 
Hakuna kitu kinauma zaidi kuumia kimya kimya. Ikija kulipuka unajikuta unakunya hadharani pale posta askari monument mbele ya kadamnas halafu unajiua. Bora kumaindi tuu
Kwa Tanzania, naonaga wao wenyewe watakuja kuuana huko juu.. na ndio utakuwa ukombozi wa nchi.. ila wananchi wa wake wengi tumezoea kuishi maisha ya kinafiki.. tunaongeee weee ila ikifika wakati wa vitedo kila mtu anakula kona yake 😅😅
 
Back
Top Bottom