Mafuta yamejaa kila kona ya nchi, tatizo lilikuwa ni nini?

Mafuta yamejaa kila kona ya nchi, tatizo lilikuwa ni nini?

Huu uhuni serikali iweke msimamo wa haraka aisee,
Ukikuta mtu kaficha mafuta fungia kwa miaka hata miwili na fine kubwaaaaa
Utajifungia mwenyewe? Wafanyabiashara ndio hao hao watunga sheria na wasimamizi wa sheria. Ndio haohao waliowaweka mfukoni, wafadhili wakubwa wa CCM. Usitegemee jema lolote kutoka kwa serikali inayoendeshwa kihuni kama Janjaweed.

Tatizo kubwa zaidi ni generation hii ya vinana wa hovyo wasioona tatizo kwenye huu upuuzi unaoendelea. Vinana wa vyuo vikuu, wasomi hawawezi kuhoji, hawawezi kuanzisha mijadala ya kitaifa inayohusu leo na kesho yao. UCHAWA ndio kitu pekee kinachopendwa.
 
Ila Maza sometimes anaboa kinoma noma,sijui Kwa kua yeye anagharamiwa Kila kitu!!!dahhh
Mama anapewa mikakati , yeye anapitisha tu, hapa ndipo ambapo shida ipo na lawama zote zamfata yeye. Ofisi ya Rais sio kitu chepesi kama hukuandaliwa kwa miaka na miaka.. kikiangukia kwa bahati mbaya lazima kikutoe kamasi hasa kwa nchi zetu za ki africa.. ambazo tunaendesha mambo mru anapojisikia
 
Mama anapewa mikakati , yeye anapitisha tu, hapa ndipo ambapo shida ipo na lawama zote zamfata yeye. Ofisi ya Rais sio kitu chepesi kama hukuandaliwa kwa miaka na miaka.. kikiangukia kwa bahati mbaya lazima kikutoe kamasi hasa kwa nchi zetu za ki africa.. ambazo tunaendesha mambo mru anapojisikia
Hata kama jamani yaani yeye yupo ka sanamu kaahh
 
EWURA wanajuwa kila kitu wako slow kufanya maamuzi wakati walikuwa wanajuwa wazi shida mafuta yameingia lakini kwa bei mpya ile ya kwao elekezi ni hasara, sasa hakuna mfanya biashara akatoa mali kuuza akijuwa atakula hasara na hili walikuwa wanalijuwa vizuri tu. Wafanyabiashara walishasema mzigo upo lakini kwa bei hii elekezi mzigo haulipi. EWURA walishavujisha kuwa bei tarehe 6 inakuja malizeni mzigo wa zamani kila kitu kilikuwa planned.
 
Mkurugenzi Mkuu wa EWURA inatakiwa afukuzwe kazi moja kwa moja, sbb kashindwa kazi, hata kama mke wake ni speaker, Mkurugenzi wa EWURA hafai kabisa katika kuongoza hii taasisi sbb hana uwezo na wafanyabiashara wa mafuta wanamchezea watakavyo, na haonyeshi hata dalili za kuumizwa au kushtuka sana sbb anajua mke wake atamkingia kifua
 
Back
Top Bottom