luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Hawa wafanya bahashara ya mafuta wana piga sana fedhaaBaada ya bei mpya kutangazwa jana, leo asubuhi, mafuta yamejaa kila kituo cha mafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wafanya bahashara ya mafuta wana piga sana fedhaaBaada ya bei mpya kutangazwa jana, leo asubuhi, mafuta yamejaa kila kituo cha mafuta.
Too late..Huu uhuni serikali iweke msimamo wa haraka aisee,
Ukikuta mtu kaficha mafuta fungia kwa miaka hata miwili na fine kubwaaaaa
Shidaa Nchi inaendeshwa na mawazo na tamaa za watu binafsi na hakuna wa kuawazuiaa...!!Baada ya bei mpya kutangazwa jana, leo asubuhi, mafuta yamejaa kila kituo cha mafuta.
Aliekwambia Sio wao ni nani????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi kwa akili yako kuna kapukuu wa simiyu huko anaweza ficha mafuta.???Huu uhuni serikali iweke msimamo wa haraka aisee,
Ukikuta mtu kaficha mafuta fungia kwa miaka hata miwili na fine kubwaaaaa
Tatizo yule Bwana wa Ewura ndo Boss wa huyu Bosi wa hapa.Wanaohujumu mafuta ya Petroli ni serikali wenyewe,CCM ni mafisadi hawafai kuwa madarakani👇
View attachment 2740638
Huyo wa kuweka msimamo mkali yuko wapi? Ni huzuni🙆🙆🙆Huu uhuni serikali iweke msimamo wa haraka aisee,
Ukikuta mtu kaficha mafuta fungia kwa miaka hata miwili na fine kubwaaaaa
A failed stateBaada ya bei mpya kutangazwa jana, leo asubuhi, mafuta yamejaa kila kituo cha mafuta.
AJABU SANA.,Baada ya bei mpya kutangazwa jana, leo asubuhi, mafuta yamejaa kila kituo cha mafuta.
Ndio haohao...Michongo ya watawala, kama sio michongo yao ilibidi wale waliofunga Sheri kwamba hakuna mafuta alafu Leo ghafla yame patikana wakamatwe wahojiwe wame yatoa wapi na wakati hadi jana hawakua nayo
Sahihi kabisaWafanya biashara, wakisha jipenyeza katika sehemu muhimu za kimaamuzi Serikalini.. matokeo mala nyingi huwa si mazuri
Ccm ni vibaka haswa.Wanaohujumu mafuta ya Petroli ni serikali wenyewe,CCM ni mafisadi hawafai kuwa madarakani[emoji116]
View attachment 2740638