Magaidi wa dola la Kiislamu (Islamic State) wakiri kuhusika kwenye shambulizi la kigaidi Urusi ambalo limeua Warusi 62

Magaidi wa dola la Kiislamu (Islamic State) wakiri kuhusika kwenye shambulizi la kigaidi Urusi ambalo limeua Warusi 62

On Saturday, a spokesperson for Russia's Investigative Committee said it was too early to say anything about the fate of the attackers, state news agency RIA reported.…

Warusi hao wewe povu linakutoka unalazimisha Isis yaaani Washambuliwe Urusi Ulaya na Marekani kirahisi tu waseme ni Isis kwelli akili
Uharo subirini uchunguzi wa Urusi.
Mbona na wewe unapinga sana wasiwe ISIS, kwani wakiwa ISIS sijui ISIL ndo inakuwaje?
 
Kama hao magaidi wametoroka salama hiyo ni fedheha/aibu kwa vyombo vya Usalama vya Urusi.

T14 Armata
Wamekamatwa wawili raia wa Tajikistan wakiwa kwenye gari mji wa mbali kidogo. Na kwenye hilo gari wanne wamekimbia bado wanatafutwa.

Sikudhani kwa ilivyoonekana jamaa watatoroka, nilihisi watajitoa mhanga. Alafu magaidi walikuwa wanafanya matukio kwa speed ndogo na kujiamini kwingi. Ukiona magaidi ndani ya Israel wanavyokuwa na kasi ni hatari, ukijichelewesha tu mwanamke mwenye kitambi naye anajua shahaba amekumaliza, maaskari wapo faster sana kutoa response. Hata shootings za Marekani unakuta mtu anakuja na AR-15 ni automatic. Sasa hawa afadhali walikuja na silaha weak la sivyo madhara yangekuwa mengi zaidi.
 
Wametoa taarifa kwenye mtandao wa Telegram kwamba wao ndio walihusika........
Putin alikua ameanza kujenga uhusiano na magaidi ya hii dini, hakujua nyoka haachi asili yake

ISIS claims responsibility for attack in busy Moscow-area concert venue that left at least 40 dead​


ISIS has claimed responsibility for an attack at a popular concert venue complex near Moscow Friday that left at least 40 dead and more than 100 wounded after assailants stormed the venue with guns and incendiary devices.

The terror group took responsibility for the attack in a short statement published by ISIS-affiliated news agency Amaq on Telegram on Friday. The group did not provide evidence to support the claim.

Video footage from the site of the attack, the Crocus City Hall concert venue, shows the vast complex, which is home to both the music hall and a shopping center, on fire with smoke billowing into the air. State-run RIA Novosti reported the armed individuals “opened fire with automatic weapons” and “threw a grenade or an incendiary bomb, which started a fire.” They then “allegedly fled in a white Renault car,” the news agency said.



State media Russia 24 reported the roof on the venue has partially collapsed.

The attack unfolded before the music group Picnic was set to perform, according to Russia 24. The band’s manager told state media that the performers were unharmed.

The Russia Prosecutor General’s Office said: “Unidentified people in camouflage broke into Crocus City Hall and started shooting before the start of the concert,” according to TASS.

Taarifa ya Awali: Urusi yakumbwa na shambulio la kigaidi jijini Moscow, Watu kadhaa wanasadikika kuuawa
Inaonyesha upeo wako ni mdogo sana , hivi unadhani putin ana akili kama zako ?ameweza kupigana na western world yote kwa mpigo asijue nani aliyehusika na hili shambulio ?grow up bro
 
Kuna kipindi Putin alikua anatembeza kipigo kwa hayo magaidi ya dini yenu, nilikua namkubali sana jamaa kwenye hilo.....
Aliwahi kusema kazi yake ni kuwawahisha kwa allah wenu...

ER_UHdcWsAUCRVV.png
Na sisi waislamu tunaomba isis iangamizwe kwenye uso wa dunia na kila mwenye akili anajua isis ni kina nani wewe tu ambaye hujui kugikiria ndio unabaki kusubiri cnn ikwambie
 
Sijakataa kutokea kwa shambulio huko Moscow,Russia. Ninachokataa ni CNN kuja na hitimisho la kuwa ni IS walilofanya ugaidi bila ushindi usiotiliwa shaka.
===
Eleven People Including Four Terrorists Directly Involved in Attack Detained – FSB Head to Putin


The investigation that will reveal the “support base” of terrorists in underway – Kremlin.

Mbona umekomalia CNN, nimekuletea ya kwenu Al Jazeera bado umeng'ang'ania
Haya hii hapa nimekuletea Al Arabiya News https://english.alarabiya.net/News/...nd-blast-reported-at-concert-hall-near-Moscow
 
Inaonyesha upeo wako ni mdogo sana , hivi unadhani putin ana akili kama zako ?ameweza kupigana na western world yote kwa mpigo asijue nani aliyehusika na hili shambulio ?grow up bro
Kwahiyo Putin alijua watafanya shambulizi, akawaacha waue, akawaacha watoroke kisha yuko anahangaika kuwatafuta?
 
Hamasi wamemkung'uta huyo mnafiki Putin.

Anajifanya hawapendi NATO lakini ameshindwa kusaidia Hamas.

Ile inteligensia kali na FSB wako wapi?

Tena wamepigwa Down Town kabisa.

Imeprove kumbe Putin anawezekan sema wanamlea tu😂😂
Hii kitu imetokea kwa surprise sasa kwann useme putin anawezekana.? Au unadhani kila mahali kuna ulinzi, mbona USA nae anapigwa kwa style hiyo.
 
Wametoa taarifa kwenye mtandao wa Telegram kwamba wao ndio walihusika........
Putin alikua ameanza kujenga uhusiano na magaidi ya hii dini, hakujua nyoka haachi asili yake

ISIS claims responsibility for attack in busy Moscow-area concert venue that left at least 40 dead​


ISIS has claimed responsibility for an attack at a popular concert venue complex near Moscow Friday that left at least 40 dead and more than 100 wounded after assailants stormed the venue with guns and incendiary devices.

The terror group took responsibility for the attack in a short statement published by ISIS-affiliated news agency Amaq on Telegram on Friday. The group did not provide evidence to support the claim.

Video footage from the site of the attack, the Crocus City Hall concert venue, shows the vast complex, which is home to both the music hall and a shopping center, on fire with smoke billowing into the air. State-run RIA Novosti reported the armed individuals “opened fire with automatic weapons” and “threw a grenade or an incendiary bomb, which started a fire.” They then “allegedly fled in a white Renault car,” the news agency said.



State media Russia 24 reported the roof on the venue has partially collapsed.

The attack unfolded before the music group Picnic was set to perform, according to Russia 24. The band’s manager told state media that the performers were unharmed.

The Russia Prosecutor General’s Office said: “Unidentified people in camouflage broke into Crocus City Hall and started shooting before the start of the concert,” according to TASS.

Taarifa ya Awali: Urusi yakumbwa na shambulio la kigaidi jijini Moscow, Watu kadhaa wanasadikika kuuawa
From the American people
 
Kwahiyo Putin alijua watafanya shambulizi, akawaacha waue, akawaacha watoroke kisha yuko anahangaika kuwatafuta?
Yupo vitani na western world yote na kashinda uchaguzi kwa zaidi ya 80% kitu ambacho west hawakukipenda
Putin anajua kwamba west wote wameungana kutaka kumtoa kwa namna yoyote ile, na west hawatokubali russia patulie , isis kama ni waislamu kweli kwa nini waishambulie urusi wakati urusi amekuwa rafiki na mataifa ya kiislamu for ages?
ISis hawajawahi kuwa waislamu na hawana interests na waislamu ni kikundi ambacho wamiliki wake kama una akili utawajua na putin anawajua isis kuliko mimi na wewe
 
Back
Top Bottom