Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona na wewe unapinga sana wasiwe ISIS, kwani wakiwa ISIS sijui ISIL ndo inakuwaje?On Saturday, a spokesperson for Russia's Investigative Committee said it was too early to say anything about the fate of the attackers, state news agency RIA reported.…
Warusi hao wewe povu linakutoka unalazimisha Isis yaaani Washambuliwe Urusi Ulaya na Marekani kirahisi tu waseme ni Isis kwelli akili
Uharo subirini uchunguzi wa Urusi.
Russia itaendelea kupigwa na magaidi Hadi Putin anaondoka madarakani haijalishi ni USA au NATO wapo nyuma ya Isis...Wanambeep mwamba..
Wamekamatwa wawili raia wa Tajikistan wakiwa kwenye gari mji wa mbali kidogo. Na kwenye hilo gari wanne wamekimbia bado wanatafutwa.Kama hao magaidi wametoroka salama hiyo ni fedheha/aibu kwa vyombo vya Usalama vya Urusi.
T14 Armata
Russia bado dhaifu Sana Kwa kila kituMbona na wewe unapinga sana wasiwe ISIS, kwani wakiwa ISIS sijui ISIL ndo inakuwaje?
Hizi habari za kuokoteza umezitoa kijiwe gani?!Wamelipwa ili kuja kuzuga eeh sisi tunajua ni Biden na vibaraka wake ndio wanahusika.
Leo au kesho ni siku ya maadhimisho ya tano ya fall of ISIS. Mhusika muhimu wa kuiangisha ISIS ni Urusi, hapa nadhani Iran pia ingechukua tahadhari nayo ilisaidia sana.ISIS kweli? Matilaba yao ni nini hasa? Wana nini dhidi ya Urusi?
Inaonyesha upeo wako ni mdogo sana , hivi unadhani putin ana akili kama zako ?ameweza kupigana na western world yote kwa mpigo asijue nani aliyehusika na hili shambulio ?grow up broWametoa taarifa kwenye mtandao wa Telegram kwamba wao ndio walihusika........
Putin alikua ameanza kujenga uhusiano na magaidi ya hii dini, hakujua nyoka haachi asili yake
ISIS claims responsibility for attack in busy Moscow-area concert venue that left at least 40 dead
ISIS has claimed responsibility for an attack at a popular concert venue complex near Moscow Friday that left at least 40 dead and more than 100 wounded after assailants stormed the venue with guns and incendiary devices.
The terror group took responsibility for the attack in a short statement published by ISIS-affiliated news agency Amaq on Telegram on Friday. The group did not provide evidence to support the claim.
Video footage from the site of the attack, the Crocus City Hall concert venue, shows the vast complex, which is home to both the music hall and a shopping center, on fire with smoke billowing into the air. State-run RIA Novosti reported the armed individuals “opened fire with automatic weapons” and “threw a grenade or an incendiary bomb, which started a fire.” They then “allegedly fled in a white Renault car,” the news agency said.
State media Russia 24 reported the roof on the venue has partially collapsed.
The attack unfolded before the music group Picnic was set to perform, according to Russia 24. The band’s manager told state media that the performers were unharmed.
The Russia Prosecutor General’s Office said: “Unidentified people in camouflage broke into Crocus City Hall and started shooting before the start of the concert,” according to TASS.
Taarifa ya Awali: Urusi yakumbwa na shambulio la kigaidi jijini Moscow, Watu kadhaa wanasadikika kuuawa
Hao ni CIA wanabipu sharubu za mrusi, nasisi tutaitwanga MGM Grand pale Las Vegas na kusingizia warabu 😂Yaani wewe mmatumbi huku bongi unajua zaidi kuliko intelligence agencies kubwa huku duniani? Wabongo bwana dream on 🤣
Na sisi waislamu tunaomba isis iangamizwe kwenye uso wa dunia na kila mwenye akili anajua isis ni kina nani wewe tu ambaye hujui kugikiria ndio unabaki kusubiri cnn ikwambieKuna kipindi Putin alikua anatembeza kipigo kwa hayo magaidi ya dini yenu, nilikua namkubali sana jamaa kwenye hilo.....
Aliwahi kusema kazi yake ni kuwawahisha kwa allah wenu...
![]()
Sijakataa kutokea kwa shambulio huko Moscow,Russia. Ninachokataa ni CNN kuja na hitimisho la kuwa ni IS walilofanya ugaidi bila ushindi usiotiliwa shaka.
===
Eleven People Including Four Terrorists Directly Involved in Attack Detained – FSB Head to Putin
The investigation that will reveal the “support base” of terrorists in underway – Kremlin.
Kwahiyo Putin alijua watafanya shambulizi, akawaacha waue, akawaacha watoroke kisha yuko anahangaika kuwatafuta?Inaonyesha upeo wako ni mdogo sana , hivi unadhani putin ana akili kama zako ?ameweza kupigana na western world yote kwa mpigo asijue nani aliyehusika na hili shambulio ?grow up bro
Hii kitu imetokea kwa surprise sasa kwann useme putin anawezekana.? Au unadhani kila mahali kuna ulinzi, mbona USA nae anapigwa kwa style hiyo.Hamasi wamemkung'uta huyo mnafiki Putin.
Anajifanya hawapendi NATO lakini ameshindwa kusaidia Hamas.
Ile inteligensia kali na FSB wako wapi?
Tena wamepigwa Down Town kabisa.
Imeprove kumbe Putin anawezekan sema wanamlea tu😂😂
Waliotoa alert ni us na wenzake.waliojitokeza kuhusika iss..haya ngoja tumsubiri mwamba nae atasemaje.
From the American peopleWametoa taarifa kwenye mtandao wa Telegram kwamba wao ndio walihusika........
Putin alikua ameanza kujenga uhusiano na magaidi ya hii dini, hakujua nyoka haachi asili yake
ISIS claims responsibility for attack in busy Moscow-area concert venue that left at least 40 dead
ISIS has claimed responsibility for an attack at a popular concert venue complex near Moscow Friday that left at least 40 dead and more than 100 wounded after assailants stormed the venue with guns and incendiary devices.
The terror group took responsibility for the attack in a short statement published by ISIS-affiliated news agency Amaq on Telegram on Friday. The group did not provide evidence to support the claim.
Video footage from the site of the attack, the Crocus City Hall concert venue, shows the vast complex, which is home to both the music hall and a shopping center, on fire with smoke billowing into the air. State-run RIA Novosti reported the armed individuals “opened fire with automatic weapons” and “threw a grenade or an incendiary bomb, which started a fire.” They then “allegedly fled in a white Renault car,” the news agency said.
State media Russia 24 reported the roof on the venue has partially collapsed.
The attack unfolded before the music group Picnic was set to perform, according to Russia 24. The band’s manager told state media that the performers were unharmed.
The Russia Prosecutor General’s Office said: “Unidentified people in camouflage broke into Crocus City Hall and started shooting before the start of the concert,” according to TASS.
Taarifa ya Awali: Urusi yakumbwa na shambulio la kigaidi jijini Moscow, Watu kadhaa wanasadikika kuuawa
Sura zimeshafahamika! Fingerprints pamoja na maongezi! Job doneWamelipwa ili kuja kuzuga eeh sisi tunajua ni Biden na vibaraka wake ndio wanahusika.
Yupo vitani na western world yote na kashinda uchaguzi kwa zaidi ya 80% kitu ambacho west hawakukipendaKwahiyo Putin alijua watafanya shambulizi, akawaacha waue, akawaacha watoroke kisha yuko anahangaika kuwatafuta?