Magaidi wa shambulio la Moscow wanaendelea kusulibiwa

Magaidi wa shambulio la Moscow wanaendelea kusulibiwa

Umeambiwa ni raia wa Tajikistan.
Hii ni nchi ya kiislamu

Kwahiyo kama ni Tajikistan 🇹🇯 ndio wawe waislamu? Na aliewatuma una uhakika ni Muislamu?

Na hapo kuna majina mawili tu ya kiislam, wengine ni ndugu zako.
 
Hao ni waislamu. Majina ya kiislam ya Eastern Europe huwa yanafanana na ya Kirusi. Hao jamaa ni kutoka nchi ya Tajikistan ambayo ina waislamu wengi tu.

Hili tukio ni collabo ya ISIS na Ukraine.

Kuna report ya mwaka 2022 kuwa kuna wapiganaji wengi sana wa ISIS wanapigana upande wa Ukraine

Kwahiyo kama ni waislamu, wafadhili wao ni akina nani? Kwanini wasiende israel, usa au uingereza na nchi zingine zinazopiga vita uislamu!
 
Huyo mwamba wa kushoto ukiangalia clip yake anatia huruma mpaka basi. Amevimba vibaya usoni halafu ana hema sana kama anashindwa kupumua. Muda mwengine anasimama kama anaugulia maumivu yaani anakosi pozi zuri la kusimama yaani kama hajui asimame au ainame.

Yule mwamba aliyekatwq sikio katulia kawa mpole vibaya naye kaumuka usoni.
WANAONEWA WASIOHUSIKA ,KM WALITOKOMEA NJE YA ENEO HUSIKA NI NGUMU HAO WATU KUFIKIRIA KUELEKEA MIPAKANI AMBAPO PATAKUWA PA MOTO
 
Ni mdogo ana miaka 19, kazaliwa mji unaitwa Ivanovo nchi ya Tajikistan, watu wa mtaani kwake wanasema ni kinyozi mzuri tena mpole, ila alipotea muda mrefu kwenda kupata "ilimu ya Dini". Ndio wanashangaa wanamuona anafanya mauaji ya watu Moscow.


Shida ni hiyo "Ilim"
Halafu na sisi hii 'Ilimu' tumeipa tahasusi kabisa kule A' level. Hovyo kabisa.
 
Katika mazingira hayo unachapa usingizi namna hiyo? Au walikuwa na siku kadhaa bila kulala kabla ya tukio? Halafu wanatorokaje kwa makundi kama nzige yaani
Ritz
wanashika wasiohusika
 
Today's strikes on Kiev.

50.409151,30.550034

Demolished to the center of the earth.

Kyiv. SBU Decision-making Center.

In all cities of Ukraine, inconspicuous, low-rise buildings are occupied by special services. None of the management and foreign curators are sitting in their official offices. They are dispersed in burrows. But there is nothing secret that would not become known to Russian intelligence.

t.me/vicktop55/2310…
 

Attachments

  • IMG_20240325_155526.jpg
    IMG_20240325_155526.jpg
    98.9 KB · Views: 4
Mwe mweee wamrudie Mungu wa Israel kabda mambo hayajakua mambo.

Ila nikiri uyo dogo wa miaka 19 nanyosha mikono, Uislam unaundaa wanaume chuma kweli kwelii, sema tu una makando kando mengi sana na Wivu wa Kike kike sana. Siku watakapo zinduka Na wakatuliza mipododo yao Dunia itafaidi sana matunda yao iwe kwenye tiba, kazi za sanaa, na uhandishi.
 
Back
Top Bottom