Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Duh!Wacha upuuzi, wakimbilie Ukrainę mpaka ambao wote unakaliwa na Urusi?
Russia wajilaumu wenyewe kupuuza walichoambiwa. Ukraine haihusiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Wacha upuuzi, wakimbilie Ukrainę mpaka ambao wote unakaliwa na Urusi?
Russia wajilaumu wenyewe kupuuza walichoambiwa. Ukraine haihusiki.
Duh!Ndio Vizuri
Nyama ya mzungu ni tamu sana ukiweka na chumvi😋😋
Umeambiwa ni raia wa Tajikistan.
Hii ni nchi ya kiislamu
Hao ni waislamu. Majina ya kiislam ya Eastern Europe huwa yanafanana na ya Kirusi. Hao jamaa ni kutoka nchi ya Tajikistan ambayo ina waislamu wengi tu.
Hili tukio ni collabo ya ISIS na Ukraine.
Kuna report ya mwaka 2022 kuwa kuna wapiganaji wengi sana wa ISIS wanapigana upande wa Ukraine
![]()
New batch of ex-ISIS members transferred from Syria to Ukraine: Report
Since the start of Russia's special military operation in Ukraine, hundreds of members of Al-Qaeda and ISIS have reportedly been transferred to fight in Ukrainethecradle.co
WANAONEWA WASIOHUSIKA ,KM WALITOKOMEA NJE YA ENEO HUSIKA NI NGUMU HAO WATU KUFIKIRIA KUELEKEA MIPAKANI AMBAPO PATAKUWA PA MOTOHuyo mwamba wa kushoto ukiangalia clip yake anatia huruma mpaka basi. Amevimba vibaya usoni halafu ana hema sana kama anashindwa kupumua. Muda mwengine anasimama kama anaugulia maumivu yaani anakosi pozi zuri la kusimama yaani kama hajui asimame au ainame.
Yule mwamba aliyekatwq sikio katulia kawa mpole vibaya naye kaumuka usoni.
ISIS wana ugomvi na Urusi kisa kule SyriaSasa na hapa ndiyo tunapata jawabu kamili Isis ipo chini ya nani!
Na jawabu lipo wazi! Isis ipo chini ya West.
Halafu na sisi hii 'Ilimu' tumeipa tahasusi kabisa kule A' level. Hovyo kabisa.Ni mdogo ana miaka 19, kazaliwa mji unaitwa Ivanovo nchi ya Tajikistan, watu wa mtaani kwake wanasema ni kinyozi mzuri tena mpole, ila alipotea muda mrefu kwenda kupata "ilimu ya Dini". Ndio wanashangaa wanamuona anafanya mauaji ya watu Moscow.
Shida ni hiyo "Ilim"
islamic state ni wayaudi?Bado upo usingizini ??? Iss ni wayahudi wewe unasoma vyanzo vya Bwajima tu??
Ahahaha unakula weweNi Aina ya matunda Huku nanjilinjii 🤓
Serious wanaweka umeme kwenye korodani na mtu bado anapona 🤔🤔🤔🤔🤔Korodani
Daaah sawa bana..Kifuko cha sauti.
Asiyejua maana haambiwi maana🤪🤣Daaah sawa bana..
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Acha usanii 👊👊👊Asiyejua maana haambiwi maana🤪🤣
Watoto wa 2000 ...Ndo naona apo dgo la 2005 duh balaa sana