Magaidi wa shambulio la Moscow wanaendelea kusulibiwa

Magaidi wa shambulio la Moscow wanaendelea kusulibiwa

Ni mdogo ana miaka 19, kazaliwa mji unaitwa Ivanovo nchi ya Tajikistan, watu wa mtaani kwake wanasema ni kinyozi mzuri tena mpole, ila alipotea muda mrefu kwenda kupata "ilimu ya Dini". Ndio wanashangaa wanamuona anafanya mauaji ya watu Moscow.


Shida ni hiyo "Ilim"
Hahah 😂😂
 
Atasema rakah zote,na Allah Akbar Kama Mia mbili hv,
Ila hili tukio ni la kuangslia kwa macho matatu, putin na majasusi wake watatengeneza ushahidi ionekane Hao "magaidi" Walipata msaada kutoka Ukraine, au wanakambi ukraine, Ili apate sababu ya kuitwanga zaidi ukraine,
Au tukio zima ni false flag, wale sio magaidi ni fsb operative, plan ilikuwa vsmia ukumbi, ua watu kadhaa, harafu weka ushahidi wa kuonyesha ukraine inahusika!
Tukio watunge Russia halafu onyo la kabla atoe USA!! hii imekaa vp hii ...
 
Huyo mwamba wa kushoto ukiangalia clip yake anatia huruma mpaka basi. Amevimba vibaya usoni halafu ana hema sana kama anashindwa kupumua. Muda mwengine anasimama kama anaugulia maumivu yaani anakosi pozi zuri la kusimama yaani kama hajui asimame au ainame.

Yule mwamba aliyekatwq sikio katulia kawa mpole vibaya naye kaumuka usoni.
Kapigwa ngumi za koo
 
Nasema watapitia mateso makali mno ambayo watatamani wafe lakini hawatakifa. KGB ambayo Sasa ni FSB inajulikana duniani kote Kwa kutoa mateso makali yasiyostahimilika na mwisho wa siku watasema Kila kitu maana dozi ya mateso itaongezwa Kila siku
Mkuu wanafinywa alafu unawatibu wawe safi alafu unaanza upya
Mara tano tu watasema mpaka mipango ya 2050
 
Huo uchunguzi ukikamilika, hao jamaa watakuwa hoi bin taaban.
Wanapumzishwa, wanatibiwa, wanakula vizuri, kibano kinaendelea hiyo ndio ratiba yao hadi pale watakapo kufa wenyewe haijalishi itachukua miaka mingapi. Watataja hadi jina la utoto la shetani aliyewatuma 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wapumbavu hawa walidhani wenzao wanastahili kifo ila sio wao, wangekuwa gaidi kweli wangejilipua tu waungane nao.
 
Chuki ikizidi unakuwa kama chizi mimi nimeziona hzo video nyingi sn hakuna video nimesikia hayo maneno ndio maana pope kawaambia muolewe na wanaume wenzenu atawabaliki alishawaona akili hamna
Hayo mauaji ya Russia yana tofauti gani na yale mauaji ya kigaidi ya Hamas Oct 7?!
 
Bado warusi wanaendelea na Msako. Wameenda kukamata wazazi, ndugu na marafiki wa waliofanya tukio la mauaji. Huko huko mtaani na kijijini kwao huko Tajikistan.

 
Bado warusi wanaendelea na Msako. Wameenda kukamata wazazi, ndugu na marafiki wa waliofanya tukio la mauaji. Huko huko mtaani na kijijini kwao huko Tajikistan.

Interesting.....
 
Back
Top Bottom