Hahah 😂😂Ni mdogo ana miaka 19, kazaliwa mji unaitwa Ivanovo nchi ya Tajikistan, watu wa mtaani kwake wanasema ni kinyozi mzuri tena mpole, ila alipotea muda mrefu kwenda kupata "ilimu ya Dini". Ndio wanashangaa wanamuona anafanya mauaji ya watu Moscow.
Shida ni hiyo "Ilim"
Ameshakata tamaa ya maisha...Kwaiyo jamaa Yuko mahakamani na usngz unakuja kabisa sio?😂
Russian data recovery
Tukio watunge Russia halafu onyo la kabla atoe USA!! hii imekaa vp hii ...Atasema rakah zote,na Allah Akbar Kama Mia mbili hv,
Ila hili tukio ni la kuangslia kwa macho matatu, putin na majasusi wake watatengeneza ushahidi ionekane Hao "magaidi" Walipata msaada kutoka Ukraine, au wanakambi ukraine, Ili apate sababu ya kuitwanga zaidi ukraine,
Au tukio zima ni false flag, wale sio magaidi ni fsb operative, plan ilikuwa vsmia ukumbi, ua watu kadhaa, harafu weka ushahidi wa kuonyesha ukraine inahusika!
Kapigwa ngumi za kooHuyo mwamba wa kushoto ukiangalia clip yake anatia huruma mpaka basi. Amevimba vibaya usoni halafu ana hema sana kama anashindwa kupumua. Muda mwengine anasimama kama anaugulia maumivu yaani anakosi pozi zuri la kusimama yaani kama hajui asimame au ainame.
Yule mwamba aliyekatwq sikio katulia kawa mpole vibaya naye kaumuka usoni.
Mapumbu aka Russian data recoveryMkuu kende ndio nini..?
Yan hawa unatafuta kizazi chake chote kinateketea mbele yake alafu unaanza kumng'oa kucha moja moja,unafuata vidole mpaka aisheNataman ningekua huko ningewakata kiungo kimoja kimoja na kichoma nyama zao huku Nina chumvi pembeni
Mzungu nyama nyama yake kama ya afande mkatoliki
Mkuu wanafinywa alafu unawatibu wawe safi alafu unaanza upyaNasema watapitia mateso makali mno ambayo watatamani wafe lakini hawatakifa. KGB ambayo Sasa ni FSB inajulikana duniani kote Kwa kutoa mateso makali yasiyostahimilika na mwisho wa siku watasema Kila kitu maana dozi ya mateso itaongezwa Kila siku
Kufa hawatakufa ila cha moto watakiona 🤣🤣🤣nawaonea huruma,sijui miujiza gani itokee wafe lakini kifo kiwe bila mateso.
Walipokuwa wanawamiminia risasi warusi wasiokuwa na hatia walikuwa wanasema Allah akbar Allah akabar. Sijui Ukraine na CIA waliwafundisha kusema hivyo?
Wanapumzishwa, wanatibiwa, wanakula vizuri, kibano kinaendelea hiyo ndio ratiba yao hadi pale watakapo kufa wenyewe haijalishi itachukua miaka mingapi. Watataja hadi jina la utoto la shetani aliyewatuma 🤣🤣🤣🤣🤣Huo uchunguzi ukikamilika, hao jamaa watakuwa hoi bin taaban.
Mapumbu kugongwa na nyundo mpaka yame uji ujiKukusulubiwa kende? Ndio nini?
Unaona mambo haya sasaMapumbu aka Russian data recovery
Hayo mauaji ya Russia yana tofauti gani na yale mauaji ya kigaidi ya Hamas Oct 7?!Chuki ikizidi unakuwa kama chizi mimi nimeziona hzo video nyingi sn hakuna video nimesikia hayo maneno ndio maana pope kawaambia muolewe na wanaume wenzenu atawabaliki alishawaona akili hamna
Kwa Hali hii Sifikiri kama Kuna gaidi ataingia kufanya ugaidi Tena nchini Urusi kwa miaka ya hivi karibuniHao magaidi Ni Bora TU wangekufa, Si kwa mahojiano haya aisee😂
Interesting.....Bado warusi wanaendelea na Msako. Wameenda kukamata wazazi, ndugu na marafiki wa waliofanya tukio la mauaji. Huko huko mtaani na kijijini kwao huko Tajikistan.
Exclusive: Who Are The Suspects In The Moscow Concert Attack? Here's What Their Relatives Say.
The mother of a Tajik suspect allegedly involved in the deadly attack in Russia told RFE/RL the “entire family is suffering the consequences” after her son was charged. Tajik officials have rounded up family members of the suspects. RFE/RL visited their hometowns to find out more about their lives.www.rferl.org
Noma sanaInteresting.....
Mmoja ana jina linataka kufanana kama la FaizaFoxy Muhammadsobir FaizovNoma sana