Akilindogosana JF-Expert Member Joined Jan 12, 2020 Posts 4,303 Reaction score 12,679 Mar 28, 2024 #161 Evelyn Salt said: Mmoja ana jina linataka kufanana kama la FaizaFoxy Muhammadsobir Faizov Click to expand... Hatari...........
Evelyn Salt said: Mmoja ana jina linataka kufanana kama la FaizaFoxy Muhammadsobir Faizov Click to expand... Hatari...........
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Mar 28, 2024 #162 Evelyn Salt said: Mmoja ana jina linataka kufanana kama la FaizaFoxy Muhammadsobir Faizov Click to expand... Hao ni ndugu katika imaani.
Evelyn Salt said: Mmoja ana jina linataka kufanana kama la FaizaFoxy Muhammadsobir Faizov Click to expand... Hao ni ndugu katika imaani.
W Wakuvelumba JF-Expert Member Joined Feb 22, 2024 Posts 279 Reaction score 488 Apr 9, 2024 #163 Akilindogosana said: Wamepelekwa mahakamani ila wako hoi. Wamepelekwa wawili. Yule mwenye sauti ndogo/nyororo/aliyevimba jicho (itakuwa kapata kipigo cha mbwa koko) anaitwa Mirzoyev Dalerjon Barotovich na aliyekatwa sikio anaitwa .Rachabulizoda Saidakrami Muradali View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1772003433748307980?s=20 Click to expand... Kuna yule aliyepelekwa mahakamani kwenye kitanda cha monchuary kusikiliza kesi yake sijui anaendeleaje wakuu 😂
Akilindogosana said: Wamepelekwa mahakamani ila wako hoi. Wamepelekwa wawili. Yule mwenye sauti ndogo/nyororo/aliyevimba jicho (itakuwa kapata kipigo cha mbwa koko) anaitwa Mirzoyev Dalerjon Barotovich na aliyekatwa sikio anaitwa .Rachabulizoda Saidakrami Muradali View: https://x.com/DD_Geopolitics/status/1772003433748307980?s=20 Click to expand... Kuna yule aliyepelekwa mahakamani kwenye kitanda cha monchuary kusikiliza kesi yake sijui anaendeleaje wakuu 😂
yorkshire JF-Expert Member Joined Sep 9, 2016 Posts 2,525 Reaction score 3,139 Apr 9, 2024 #164 Akilindogosana said: Walikuwa washapewa advance, kama $2500. Walipiga mahesabu kuwa wanaweza kufanya tukio na kutoroka wakamalizie $2500 iliyobakia. Click to expand... Yaani malipo ya kazi yote hiyo ya kishetani kwa milioni 12 kwa kila mmoja hivi walitumia akili gani pasipo kuwaza endapo watakamatwa !!! Hao watateswa kwa miaka mingi sana na kila watakapoonekana na ishara za kufa watatibiwa kwa gharama yeyote ile ili mateso yaendelee tena baadae
Akilindogosana said: Walikuwa washapewa advance, kama $2500. Walipiga mahesabu kuwa wanaweza kufanya tukio na kutoroka wakamalizie $2500 iliyobakia. Click to expand... Yaani malipo ya kazi yote hiyo ya kishetani kwa milioni 12 kwa kila mmoja hivi walitumia akili gani pasipo kuwaza endapo watakamatwa !!! Hao watateswa kwa miaka mingi sana na kila watakapoonekana na ishara za kufa watatibiwa kwa gharama yeyote ile ili mateso yaendelee tena baadae