Sinema tu hapo,Habari za hivi punde no kwamba,
Shirika la habar la Serikali ya urusi RUSSIA TODAY (RT) limeripoti kwamba magaid hao wamekamtwa mkoani BRYANSKI walipokua katika juhudi za kutoroka kupitia mpaka wa Ukraine na wamebainika kua na mawasiliano na wenzao walioko Ukraine.
Pia ripoti kutoka shirika la intelijensia la urusi imesema kwamba magaid hao wanawashikiria na sasa wanasafirishwa kurudishwa moscow.
Source: Russia today (Rt)
Ukraine walikua mapema sana kukataaHabari za hivi punde no kwamba,
Shirika la habar la Serikali ya urusi RUSSIA TODAY (RT) limeripoti kwamba magaid hao wamekamtwa mkoani BRYANSKI walipokua katika juhudi za kutoroka kupitia mpaka wa Ukraine na wamebainika kua na mawasiliano na wenzao walioko Ukraine.
Pia ripoti kutoka shirika la intelijensia la urusi imesema kwamba magaid hao wanawashikiria na sasa wanasafirishwa kurudishwa moscow.
Source: Russia today (Rt)
Sept 11 wapikuwa ni Al Qaeda na TalebanIsis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Hapana waminywe waeleze walitumwa na nani Kisha wamwagiwe ile sumu inayouza polepole.Wawahishwe kwa Sir God
Acha porojo, September 11 2001 ISIS hata hawakuwepo.Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA