Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

Acha porojo, September 11 2001 ISIS hata hawakuwepo.
ISIS, pia inajulikana kama Jimbo la Kiislamu la Iraq na Syria, ilianzishwa mnamo 1999.

ISIS haikuhusika moja kwa moja katika mashambulizi ya Septemba 11, 2001. Mashambulizi hayo yalipangwa na kundi la kigaidi la al-Qaeda. Walakini, ISIS iliibuka kama kundi kubwa la itikadi kali baada ya uvamizi wa Amerika nchini Iraq mnamo 2003.
 
Dunia ni sehemu salama kama pasingekuwa na mataifa kama USA , kutengeneza silaha za kuleta maafa ni ujinga mkubwa kabisa kutokea duniani.
Sasa ww ndio hauko sahihi mkuu, hii dunia pasingekalika Kama USA asingekuwepo
 
Gari waliyokutwa nayo magaidi wakijaribu kutoroka
 

Attachments

  • Screenshot_20240323-124801.png
    Screenshot_20240323-124801.png
    1.2 MB · Views: 1
Sasa ww ndio hauko sahihi mkuu, hii dunia pasingekalika Kama USA asingekuwepo
Angalia kila kona ana majeshi anaacha kukaa kwake,USA kuna homeless kibao ila anatoa mpaka trillion kuchochea vita nchi nyingine.

USA kasababisha vita kila kona ya dunia, msambazaji mkubwa wa silaha vita ya dunia.

Kule Hiroshima na kafanya ule ujinga?
 
Sahau kuambiwa ukweli kutoka kwa Ruzzia, Kremlini watatengeneza propoganda inayowapa picha nzuri wao.
Ngoja tuone ,ila kuingiliwa mpaka kweny mji mkuu ni hatar .

Putin hawezi kukaa kimya
 
Angalia kila kona ana majeshi anaacha kukaa kwake,USA kuna homeless kibao ila anatoa mpaka trillion kuchochea vita nchi nyingine.

USA kasababisha vita kila kona ya dunia, msambazaji mkubwa wa silaha vita ya dunia.

Kule Hiroshima na kafanya ule ujinga?
Ni kweli kabisa mkuu, ila n bora uwepo wake kuliko kama asingekuwepo
 
Gaidi wa kwanza uyo Apo, keshawekwa mtu Kati, kafinywa kakiri kuhusika.

Wale mliokua mnasema isis wanahusika njoo mtwambie uyu nae ni ISIS au nani
 

Attachments

  • Screenshot_20240323-130056.png
    Screenshot_20240323-130056.png
    571.6 KB · Views: 2
Ni kweli kabisa mkuu, ila n bora uwepo wake kuliko kama asingekuwepo
US ana haribu sana stability ya dunia hasa middle East.Kule alisema Sadam ana nuclear ,kumbe hana kaangamiza raia kibao,inchi haitawaliki magaidi kule Iraq wanajiachia, Tony Blair anajuitia hii mistake mpaka kesho. Ukija Gazza,mataifa yote (98+) yanataka vita isitishwe yy na UK hawataki tu kwa ajili ya maslahi yao.Kwenye baraza la Ulinzi la UN kura zishapigwa mara tatu,US kakataa mpaka Malaysia wanataka kudiscuss hii kura ya veto na kutaka itizame upya kwani kuna mataifa wanaitumia vibaya.

Obama anakwambia ktk mistakes zake kubwa ni kuivamia Libya, ambaye ukiangalia hakuwa na kosa lolote, matokeo yake magaidi wamejazana kibao Libya sababu inchi haitawaliki. Ukienda Yemen, US ana misheni nyingi za kijeshi ambazo za kimya kimya ambazo zimeangamiza raia wengi wasio na hatia, hili lilifichuliwa na BBC.

Manake utasema labda ni demokrasia ila Saudi hamna demokrasia ila hamgusi sababu ana maslahi makubwa ya kiuchumi na Saudi may be wamemwacha sababu wanajua ni mzee wa fitina. So ukitizama sehemu yoyote ambayo US,anataka kuiba au kujinufaisha kwa ajili ya maslahi yake na kiongozi wa hiyo nchi akakataa lazima ataleta zengwe. Vita zote alizopigana US,kapigana kwa ajili ya maslahi ya taifa lake ni si kwa ajili ya taifa hilo.

Kitendo cha kiongozi yoyote kujitambua kwamba anaibiwa na US,basia ajiandae kuwa adui wa US kwani ataundiwa zengwe, fitina na hata kuuliwa Assad yupo pale kwa mkono wa Putin la sivyo yy angeondolewa na kupotezwa kama ilivyokuwa kwa Sadam na Ghadafi na huwaga hajali maamuzi ya mabaraza ya UN wala hizi taasisi za haki za binadamu.

Afrika haijawahi kunufaika na ushirikiano na US au EU,kwani kwa mujibu wa Al Jazeera walipo fanya uchunguzi wao jinsi wa fedha zinavyo ibiwa na kufichwa huko Shelisheli kwa kushirikiana na hawa viongozi wetu wanao kubalika na nchi za magharibi,kiwango tunacho pewa Afrika kama msaada,kichukue then kizidishe mara kumi ndipo utapata hela inayo pigwa Afrika na nchi za magharibi kwa kushirikiana na viongozi wetu wa Afrika.
 
Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Hivi unajua hata ISIL imeanzishwa lini

USSR
 
Gaidi wa kwanza uyo Apo, keshawekwa mtu Kati, kafinywa kakiri kuhusika.

Wale mliokua mnasema isis wanahusika njoo mtwambie uyu nae ni ISIS au nani
Unapambana sana kuwachomoa ISIS kwenye hicho kisa ili propaganda Putin zipate nafasi, bahati mbaya kwako ISIS wenyewe ndio wamekiri kufanya hilo tukio Moscow.
 
Back
Top Bottom