Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

Sometimes account inaweza kuwa na bluetick au yellow tick na ikapost propagand
Unapambana sana kuwachomoa ISIS kwenye hicho kisa ili propaganda Putin zipate nafasi, bahati mbaya kwako ISIS wenyewe ndio wamekiri kufanya hilo tukio Moscow.
ISIS hawahusiki kabisa, uyo mwamba alokamtwa Ni raia wa tajikstan na kakiri mwenyewe
 
Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Wanajipa maujiko kwamba wako active sana.
 
Kwa mnaotumia twiiter,
Pitia profile ya uyo mwamba @maimunkanews,

Kuna video za kutosha khs hao magaidi waliokamatwa wakitoroka,

wakihojiwa,kichapo pamoja na kukiri kuhusika
 

Attachments

  • Screenshot_20240323-131855.png
    Screenshot_20240323-131855.png
    516.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240323-132121.png
    Screenshot_20240323-132121.png
    516.5 KB · Views: 2
Endelea kuamini ni ISIS nawengine acha waamini wanayosema urusi.
Urusi walipewa tahadhari na West, Putin akazipuuza na akasema hizo ni taarifa za kuzua taharuki tu kwa Urusi(hadi video iko mitandaoni), sasa unafikiri atakubali ni ISIS??
 
IS mwanzoni kilikuwa ni kikundi kilichokuwa kikitumika na US ili kumuondoa Assad Syria kabla kutangazwa kuwa kikundi cha kigaidi.Urusi akaingilia na kumbakisha Assad madarakani. IS juzi wameishambulia Iran ambaye ana uadui mkubwa na US,vilevile jana ameishambulia Russia ambaye US ana uhasama nae.Kwa mujibu wa Al Jazeera pamoja na vikwazo vyote vya US,Russia bado uchumi wake imara na ndio maana juzi US akaongeza vikwazo vingine mia tano kwa Russia.So inaonekana US hapendezwi na ukuaji wa kiuchumi wa Russia pamoja na vikwazo vyote ila Russia bado ipo imara na ukizingatia juzi Putin kashinda (80+) kwenye uchaguzi wa kuiongoza tena Russia kwa miaka sita mengine ,kwa nchi za EU na US kwao umekuwa mwiba mkali sana.

Hili sizani kama Russia atalitizama kijujuu,bali ataenda deep na akijua behind the scenes US aliwa saidia IS basi kisasi chake kitakuwa kikubwa,haijalishi kwamba US walikwisha wataharifu Russia au laah.

Ukraine mwezi huu kwake umekuwa mgumu kwani kishapoteza zaidi ya askari 2500,so may be inawezekana ikawa Ukraine, EU na US wapo nyuma ya hili, kwani vita ya Ukraine kuna Mercenaries wengi kutoka nchi ya EU na US wamepukutishwa na Russia tokea mwaka huu uanze wameingia kwenye phase nyingine toka operation ya kijeshi mpaka vita kamili na ndio maana mashambulizi ya sasa hivi kwa Ukraine ni mazito mno.

Nina uhakika Russia hatolitizama hili kwa mlengo wa kidini ataangalia kona zote na wanao uhusika atadeal nao haijalishi ni wataifa gani.
Naunga mkono hoja
 
IS mwanzoni kilikuwa ni kikundi kilichokuwa kikitumika na US ili kumuondoa Assad Syria kabla kutangazwa kuwa kikundi cha kigaidi.Urusi akaingilia na kumbakisha Assad madarakani. IS juzi wameishambulia Iran ambaye ana uadui mkubwa na US,vilevile jana ameishambulia Russia ambaye US ana uhasama nae.Kwa mujibu wa Al Jazeera pamoja na vikwazo vyote vya US,Russia bado uchumi wake imara na ndio maana juzi US akaongeza vikwazo vingine mia tano kwa Russia.So inaonekana US hapendezwi na ukuaji wa kiuchumi wa Russia pamoja na vikwazo vyote ila Russia bado ipo imara na ukizingatia juzi Putin kashinda (80+) kwenye uchaguzi wa kuiongoza tena Russia kwa miaka sita mengine ,kwa nchi za EU na US kwao umekuwa mwiba mkali sana.

Hili sizani kama Russia atalitizama kijujuu,bali ataenda deep na akijua behind the scenes US aliwa saidia IS basi kisasi chake kitakuwa kikubwa,haijalishi kwamba US walikwisha wataharifu Russia au laah.

Ukraine mwezi huu kwake umekuwa mgumu kwani kishapoteza zaidi ya askari 2500,so may be inawezekana ikawa Ukraine, EU na US wapo nyuma ya hili, kwani vita ya Ukraine kuna Mercenaries wengi kutoka nchi ya EU na US wamepukutishwa na Russia tokea mwaka huu uanze wameingia kwenye phase nyingine toka operation ya kijeshi mpaka vita kamili na ndio maana mashambulizi ya sasa hivi kwa Ukraine ni mazito mno.

Nina uhakika Russia hatolitizama hili kwa mlengo wa kidini ataangalia kona zote na wanao uhusika atadeal nao haijalishi ni wataifa gani.
Marekani haijawahi tishiwa na Urusi hata siku moja. Hata USSR ilikuwa ni jino kwa jino sio kujikunyata mikono.

Hii dhana ya kudhani kila kinachotokea Urusi sababu ni Marekani ni visingizio uchwara. Marekani imepata mashambulizi ya kigaidi kadhaa huwezi sikia wanakurupuka hapohapo kabla ya uchunguzi kuitaja Urusi.
Hata Prigozhin alipoasi mlidai katumwa na Marekani. Urusi ina internal affairs nyingi za kwake yenyewe, na aliyempa sumu mpinzani Navalny mtasema katumwa na Marekani.

Putin kushinda kwa zaidi ya 80% sio shida kwa yeyote duniani. Kaua wapinzani haijawa shida sembuse kushinda Urais. Hata asingeshinda yeye kwamba Urusi ingekufa, kwamba akifa Putin leo basi ni mwisho wa Urusi? Warusi ni wale wale angekuwepo mwingine naye angekuwa almost kama Putin. Ni tabia ya kijamii sio ya individual.
 
Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Labda wanalipwa hela ndefu kutangaza sio bure
Isis ni kundi la nchi kubwa sana lenye nguvu na wapo kutuvuruga tu
 
Back
Top Bottom