Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Sept 11 Isis?Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sept 11 Isis?Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Hii ishu putin anadeal nayo mwnyw 😂 yale mafunzo yake ya kungfu yamepata mkunwaji 😂Urusi taifa kubwa
Sept. 11 ilitokea 2001, ISIS unajua ilianzishwa mwaka gani?Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Acha kulazimishana mambo.Sinema tu hapo,
ISIS wameshakiri ni wao.
Ugaidi hautabiriki popote pale, unakuta mtu anailaumu Israel ilikuaje ikavamiwe vile ghafla. Hizi ishu ni kutotamani ukutane nazo japo nchi kama US na UK huko ni hatari zaidi, wakikunusa tu una vichembechembe vya ugaidi unafyekwa mazima bila huruma ya aina yoyote
N kweli, USA anapigika mara nyingi kwa surprise afu wanakuja kumshangaa Israel.Ugaidi hautabiriki popote pale, unakuta mtu anailaumu Israel ilikuaje ikavamiwe vile ghafla. Hizi ishu ni kutotamani ukutane nazo japo nchi kama US na UK huko ni hatari zaidi, wakikunusa tu una vichembechembe vya ugaidi unafyekwa mazima bila huruma ya aina yoyote
Labla walikuwa wanahitajika eneo lingine, ila ndo hvy wamenaswaWangekuwa isis wangejitoa mhanga badala ya kukimbia
Kosa lake ni lipi?Zelensky sio wa kubembelezwa yule.Aliwe kichwa
Aisee hapo hawatoboiNa alishakiri Hilo Putin, lazma awawaishe wakaiwahi hukumu😊
Ili washindwe kufaidi wale vimwana?😂😂Magaidi yakahasiwe kabla ya kwenda jehanamu
Ukweli utajulikana tu ..Hao jamaa ngoja wabanwe .IS mwanzoni kilikuwa ni kikundi kilichokuwa kikitumika na US ili kumuondoa Assad kabla kutangazwa kikundi cha kigaidi.Urusi akaingilia na kumbakisha Assad madarakani. IS juzi wameishambulia Iran ambaye ana uadui mkubwa na US,vilevile jana ameishambulia Russia ambaye US ana uhasama nae.Kwa mujibu wa Al Jazeera pamoja na vikwazo vyote US bado uchumi wake imara na ndio maana juzi akaongeza vikwazo vingine mia tano na US.
Hii sizani kama Russia ataitizama kijujuu,bali ataenda deep na akijua behind the scenes US aliwa saidia IS basi kisasi chake kitakuwa kikubwa,haijalishi kwamba US walikwisha wataharifu Russia au laah. Ukraine mwezi huu kwake umekuwa mgumu kwani kishapoteza zaidi ya askari 2500,so be may inawezekana ikawa Ukraine, EU na US wapo nyuma ya hili, kwani vita ya Ukraine kuna Mercenaries wengi kutoka nchi ya EU na US wamepukutishwa.
Nina uhakika Russia hatolitizama hili kwa mlengo wa kidini ataangalia kona zote na wanao uhusika atadeal nao haijalishi ni wataifa gani.