Weye kainame ukaswekwe.JOSHUA 7:6
Yoshua akararua mavazi yake,akaanguka kifudifudi mbele ya sanduku la bwana..
MWANZO 17:3
Hapo Abram akasujudu,naye Mungu akamwambia...
KUTOKA 34:8
Musa akainama chini Mara,akamwabudu Mungu
NUMBERS 16:22
But Moses and Aaron fell facedown and said o God,the God of..
MATHAYO 26:39
(Yes)akaenda mbele kidogo,akaanguka kifudifudi akaomba/he went a little further,he fell on his face and prayed
Hiyo kuanguka kifudifudi wamehariri siku hizi,ndiyo maana kwa yasu hapo nimekuwekea kiingereza chake ambacho kwa tafsiri ya kiswahili ni kusujudu,miaka ya tisini maneno Kama kusujudu,swaumu,idi yalikuwemo kwenye biblia,siku hizi imehaririwa na kuondoa hayo maneno,wameacha kwa Musa tu hapo sababu wamehisi Haina athariKwahiyo msikitini wanaanguka kifudifudi?
Umeandika maneno hayo Ukiwa umevaa kobazi na kipedoSlimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
Amani kama inavyopatikana kwa wingi Somalia na Afghanistan, ambako watu wake wote wameslimu.Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
Huu unabii ulishatimia miaka mingi sana, hata Yerusalemu ukachomwa moto na watu wakakimbilia milimani. Kasoke Historia ya Kanisa vizuri mkuu, utaona mambo mengi yalishatimiaga.Mathayo 24:9-14
9“Kisha watawatoeni ili mteswe na kuuawa. Mataifa yote yatawachukieni kwa sababu ya jina langu. 10Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana. 11Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi. 12Kwa sababu ya ongezeko la uhalifu, upendo wa watu wengi utafifia. 13Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa. 14Ila, kabla ya mwisho kufika, hii Habari Njema ya ufalme wa Mungu itahubiriwa ulimwenguni kote kama ushuhuda kwa mataifa yote.
Sasa imeisha andikwa Kwaiyo ata wao wanajua yanayowatokea yameisha tabiriwa kabla ata ya hao wahuwaji hawana jua hiyo iman yao ongezea na LUKA 21
Vya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini.
Huyo baba ake mdogo mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusilimu na kuwa mwislamu.
Kwa nini hakuchinjwa.
Hao magaidi wanapambania haki kwa kuua wenzao?
Huyo baba mdogo alikufa kabla Aya ya amri haijaandikwa.Vya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini.
Huyo baba ake mdogo mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusilimu na kuwa mwislamu.
Kwa nini hakuchinjwa.