Magaidi wamtia kiberiti kasisi wa kanisa la katoliki kule Nigeria

Magaidi wamtia kiberiti kasisi wa kanisa la katoliki kule Nigeria

JOSHUA 7:6
Yoshua akararua mavazi yake,akaanguka kifudifudi mbele ya sanduku la bwana..
MWANZO 17:3
Hapo Abram akasujudu,naye Mungu akamwambia...
KUTOKA 34:8
Musa akainama chini Mara,akamwabudu Mungu
NUMBERS 16:22
But Moses and Aaron fell facedown and said o God,the God of..
MATHAYO 26:39
(Yes)akaenda mbele kidogo,akaanguka kifudifudi akaomba/he went a little further,he fell on his face and prayed
Weye kainame ukaswekwe.
 
Kwahiyo msikitini wanaanguka kifudifudi?
Hiyo kuanguka kifudifudi wamehariri siku hizi,ndiyo maana kwa yasu hapo nimekuwekea kiingereza chake ambacho kwa tafsiri ya kiswahili ni kusujudu,miaka ya tisini maneno Kama kusujudu,swaumu,idi yalikuwemo kwenye biblia,siku hizi imehaririwa na kuondoa hayo maneno,wameacha kwa Musa tu hapo sababu wamehisi Haina athari
 
Slimuni ili muwe na amani unless watoto wenu watakabaki mayatima.
Amani kama inavyopatikana kwa wingi Somalia na Afghanistan, ambako watu wake wote wameslimu.

Yaani Waislamu kama ndio mngapata Nguvu Duniani na uwezo wa kumsilimisha kila mtu nadhani muda huu kusingekuwa na kiumbe anayeitwa Binadamu hapa Duniani.

Mnge chinjana wote mkaisha.

Mwenye dhambi angekuwa anamchinja mwenye dhambi mwenzaje hadi muishe.

Ila hadi dunia inafika mwisho Uislamu utaendelea kuwa dini dhaifu. Dini ya kulia lia na kujilipua lipua MABOMU kwa hadaa ya Bikra 72 na Mito ya Pombe KONYAGI.
 
Mathayo 24:9-14
9“Kisha watawatoeni ili mteswe na kuuawa. Mataifa yote yatawachukieni kwa sababu ya jina langu. 10Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana. 11Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi. 12Kwa sababu ya ongezeko la uhalifu, upendo wa watu wengi utafifia. 13Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa. 14Ila, kabla ya mwisho kufika, hii Habari Njema ya ufalme wa Mungu itahubiriwa ulimwenguni kote kama ushuhuda kwa mataifa yote.

Sasa imeisha andikwa Kwaiyo ata wao wanajua yanayowatokea yameisha tabiriwa kabla ata ya hao wahuwaji hawana jua hiyo iman yao ongezea na LUKA 21
Huu unabii ulishatimia miaka mingi sana, hata Yerusalemu ukachomwa moto na watu wakakimbilia milimani. Kasoke Historia ya Kanisa vizuri mkuu, utaona mambo mengi yalishatimiaga.
 
Vya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini.

Huyo baba ake mdogo mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusilimu na kuwa mwislamu.

Kwa nini hakuchinjwa.

Hakumfanyia uadui wowote
 
Vya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini.

Huyo baba ake mdogo mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusilimu na kuwa mwislamu.

Kwa nini hakuchinjwa.
Huyo baba mdogo alikufa kabla Aya ya amri haijaandikwa.
 
Hapa na doubt inakuwaje Mungu aruhusu watu wake wafe kwa namna hii lakini. Why Mungu asijitokeze ama afanye makubwa ili awaokoe na hichi kifo Mana hawakustahili
 
Back
Top Bottom