Magaidi wamtia kiberiti kasisi wa kanisa la katoliki kule Nigeria

Magaidi wamtia kiberiti kasisi wa kanisa la katoliki kule Nigeria

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Magaidi kwenye jimbo la Niger (ambalo asilimia 98% ni waumini wa dini isiyopenda kutajwa humu), wamemchomea ndani kasisi wa katoliki huku kasisi mwingine akapigwa risasi alipojaribu kutoroka....Mungu ailaze roho yake pema peponi...
=====================

Until his death, Achi was attached to St. Peters and Paul Catholic Church, Kafin-Koro, Paikoro Local Government Area of Niger.

Terrorists, in the early hours of Sunday, burnt a Catholic priest, Isaac Achi, alive in the Paikoro Local Government area in Niger State

PREMIUM TIMES gathered that when the attackers could not gain access to the well-fortified building where the priest was living, they set it ablaze.

Until his death, Mr Achi was attached to St. Peters and Paul Catholic Church, Kafin-Koro, Paikoro Local Government Area of Niger.

Confirming the incident, Wasiu Abiodun, police spokesperson in the state, said another priest was shot during the attack.
 
Nimeamrishwa kupigana na watu mpaka watakaposilimu na kusema La ila ila Allah au wajisalimishe kulipa jizya, wasipofanya hivyo damu yao,mali zao ni halali ya upanga wangu.
-Prophet Muhammad (610 AD)
Vya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini.

Huyo baba ake mdogo mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusilimu na kuwa mwislamu.

Kwa nini hakuchinjwa.
 
Vya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini..
Hizo sio za kuambiwa, hayo ni maneno ya mtume mwenyewe yamerekodiwa kwenye sahih Bukhari.
Huyo baba mdogo alikuwa anaitw nani?

Huenda alikuwa amejisalimisha na kulipa jizya. Mimi najua aliyemlea muhamad katika utume alikuwa mke wake Bi khadijaa
 
Vya kuambiwa changanya na zako,baba ake mdogo Mtume Muhammad ndie aliyemlea mpaka anakuwa Mtume,alimpa ushirikiano wote katk masuala ya dini.

Huyo baba ake mdogo mpaka anaingia kaburini hakuwahi kusilimu na kuwa mwislamu.

Kwa nini hakuchinjwa.
Ukimuona gaidi Jua ndie muislamu safi
Koran 5:33 ya wale wanao mpiga vita Allah na Muhammad wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho

Allah alisema anaempinga tu afe kwa ukatili huo alioutaja na muhammad alikuwa anatoboa adi macho Kwa misumari ambayo ilikuwa kwenye moto
 
Back
Top Bottom