Magaidi wasihusishwe na Uislamu

Magaidi wasihusishwe na Uislamu

shida kubwa iliyopo kwa kwa waislam wengi ni kuongozwa Zaid na emotions za kidini
uwezo mdogo wa
a) reasoning
b) analysing
c) Evaluation logic za kiDunia na mambo ya Imani (spiritual)

siwezi kushanga muislam akilishwa vifungu kila siku kuhusu Imani yake kila siku dini ikamuingia sawasawa utaona nyendo zake zinavyo change chuki dhidi ya dini nyingine inazidi kuwaka moyoni mwake huyu mtu kuvaa bomb haoni shida anakufa shujaa (Shaheed) na ataiona pepo akipewa na zawadi ya mabikra na mito inayotililika mvinyo

ndio maana unaona mfano mzuri hii vita ya Palestine-Israel
Hamas walivyo invade Israel na kuua wayahudi ilikua sikukuu huku wakiimba Allah akubar

Kuna tofauti kubwa sana hapo. Muislam anavyozidi kusoma kila kitabu chao ndio chuki dhidi ya dini nyingine inaongezeka na mkristo anavyozidi kusoma biblia takatifu upendo na amani ya kristo inakua moyoni mwake.

Tofauti kubwa sana.
 
alshabaab wa somalia wanatafuta haki ya kusimika utawala wa kiislam,wako sawa kabisa kwa mujibu wa imani yao.

nchi ya somali ina waislam 99.9% ila haifati misingi ya tawala za kiislam,ndicho ugomvi wao.

Na ADF kule kongo wanataka kusimika utawala gani wakati waislam ni asilimia ndogo?!
 
Na ADF kule kongo wanataka kusimika utawala gani wakati waislam ni asilimia ndogo?!

ADF wana mission yao nyingine,wala hawajajinasibisha na dini wala imani yoyote.

na kama wataamua kujinasibisha na ukristo tutawakataa live live.
 
KIBITI TANZANIA.
nitaeleza kwa uchache sana.
Mafunzo ya vijana na wale walokuwa wanafanya yale walokuwa wanafanya yalikuwa yanaendeshwa kwenye misikiti. Na mafunzo makubwa yalikuwa mashwati(mapigano)

SIfa za wale walohudhuria mafunzo na wakufunzi

-walivaa suruali fupi
-Walifuga ndevu nyingi
-walijua dini ya allah/Mungu
-walikuwa na ujasiri
-walikuwa tayar kufa kwa yote

Pia kulikuwa na vugu vugu la misikiti mingi kuendesha mafunzo ya mapigano
Ila baada ya ile issue ya kibit kuwa hot wale walokuwa wanafanya hivyo najua wanajua kwanini waliacha.

JOSEPH KONY(LRA)

Hili ni kundi lililoanzishwa pale uganda miaka ya nyuma na Rafiki yangu Joseph na aliishi msituni kama nyan na adhma yake kubwa alikuwa anataka serikal ya kidini ya Mungu Baba na Mwana.
Ila bahati mbaya alikosa msaada kwa watu alowategemea maana mtizamo wao katika kupenya ni tofauti.
KONY akapotea kimya kimyaaa kama panya alofia shimon na kuacha harufu kwa mbali ambako ilikuwa rahisi sana kudhibiti harufu yake kwa kufukia shimo hilo.
 
Shida sio uislam mkuu,shida ni Waalabu.
Maana ngozi ya mwalabu na akili zake kiukweli inaletaga shida kila mahali.
Kingine ni Lugha ya kialabu.Dini ya kiislam wangejaribu kueneza imani angalau kwa Lugha tofauti tofauti katika Nchi nyingi Dini hiyo ndo ingeweza kutenganishwa na Ugaidi.
Lugha ya kialabu mpaka Leo hii,bado haifundishwi kwa Lugha tofauti.
Tatizo liko hapo.
Lugha.
So,kuitenganisha ni ngumu kimuundo.wamechelewa Sana.
 
Sasa kazi ya mungu wenu Allah ni nini?
Kastarehe tu huko alipo huku akisubiri mumpiganie? Tena huku mkimsifu eti mungu ni mkubwa! Ukubwa wake ni upi sasa?
Au ni kipofu haoni mnavyodhurumiwa?

1699425887334.png


Wala usidhani Mwenyezi Mungu ameghafilika na wanayo yafanya madhaalimu. Hakika Yeye anawaakhirisha tu mpaka siku yatapo kodoka macho yao

(Qur-an 14:42)
 
Hao magaidi ni waislam typically hata alama na matendo yao ni ya kiislam. Kitendo cha wale magaidi waliovamia west gate na kuanza kuwatambua waislam kwa kuwapa zoezi la kutamka maneno ya kiislam kama hujui unakula shaba. Ingekuwa si waislam wasingetumia uislam kama itikadi yao. Kuna Taleban/al qaeda na ISIS wanatumia quran kama nembo yao ikizungukwa na bunduki au panga. Mtu asiye muislam akiuchezea uislam dunia nzima waislam wanaandamana. Sasa kama mnawaruka magaidi wenu kwa nini msiwapinge na kuwatangazia fatwa waache kutumia uislam kupambania maslahi yao? Mbona huwa mnawasifu wakifanya mauji? Hamuwezi kujinasua na magaidi hayo ni ngumu kubalini tu kuwa uislam ni ugaidi totally


Quran isihusishwe na waislam?
 

Attachments

  • IMG-20231020-WA0007.jpg
    IMG-20231020-WA0007.jpg
    62.5 KB · Views: 5
Sawa, kwahiyo kwa msomaji wa kawaida unamwambiaje?kwa lugha nyepesi.
Uislamu ni ugaidi. Huwezi kuvitenga
 
Hamas na Hezbollah siyo magaidi ni watu wanaopigania Haki yao kwenye ardhi yao.

haki ikiishahusisha kumwaga damu inakuwa batili.unajua kwanini??

angalia,israel wanavyojibu kwa kuua tena ndugu zao wenyewe ambao walipaswa haki hiyo waipate wakiwa pamoja bila mmoja wao kufa.

inakuwa ni sawa na kugombea mpaka wa shamba la urithi kwa familia na kigogo,kigogo anaua mmoja mmoja na haonekani kuishiwa nguvu,nyinyi mnaendelea kupambana,mwisho mtaisha wote ajipe umiliki 100%
 
alshabaab wa somalia wanatafuta haki ya kusimika utawala wa kiislam,wako sawa kabisa kwa mujibu wa imani yao.

nchi ya somali ina waislam 99.9% ila haifati misingi ya tawala za kiislam,ndicho ugomvi wao.
Sasa kwanini harakati ziendane na mauaji?? Wanashindwa kufanya harakati za staha mpaka waue. Dini hizi mimi ndio nimeamua niishi kimpango wangu.
 
Uislamu ni ugaidi. Huwezi kuvitenga
masikitiko makubwa sana, sasa sisi huku Africs tunaambiwa ni dini ya Amani, inakuwaje hapo?
 
Sasa kwanini harakati ziendane na mauaji?? Wanashindwa kufanya harakati za staha mpaka waue. Dini hizi mimi ndio nimeamua niishi kimpango wangu.
Hata mimi nashangaa, eti unaua kupambania dini iwe iliyoletwa na Jahazi au mrumi.
Kumbuka hao wote ni wakoloni.
 
Back
Top Bottom