Magari 10 yanayonunuliwa sana na Watanzania

Magari 10 yanayonunuliwa sana na Watanzania

Kwenye kila gari 10 barabarani Noah ziko mbili. Top two ni IST halafu Noah
 
sanaa Kwenye orodha ya watu nnaowajua wenye magari basi kama ni 10 , 8 wote wana Xtrail & harrier
Ukweli ni kwamba tunaelekea kuufunga mwaka 2019 na time kama hii tunakaribia kukutana na hesabu nyingi za kufunga na kujiandaa kwa mwaka unaofuata. Sasa wakati ukiwaza bajeti ya mwakani pengine na mipango ijayo ni muhimu kujua wenzako wengi wamepitia wapi.

Watanzania wengi kwa mwaka huu inaonekana wamechagua gari ambalo halitumii sana mafuta, gharama yake kwenye kulitunza ikiwemo service ni ndogo lakini jingine muhimu ni kwamba linahimili shida za barabara mbovu.

Hii hapa chini ni orodha ya magari 10 yanayochaguliwa na kununuliwa kwa wingi na Watanzania.

FORE.jpg

10. Subaru forester

IMPE.jpg

9. Subaru impreza

RAUM.jpg

8. Toyota Raum

RAC.jpg

7. Toyota Ractis

sp.jpg

6. Toyota Corolla Spacio

premio.jpg

5. Toyota Premio

Screenshot-2019-11-11-at-09.50.26.png

4. Toyota Alphard

hr.jpg

3. Toyota Harrier

crown.jpg

2. Toyota Crown

ist.jpg

1. Toyota IST
11 suzuki escudo
 
edit huu uzi uweke list vizuri,
yani hapo hamna noah,kluger,passo vitz hiace,,,!
 
Back
Top Bottom