Magari 10 yanayonunuliwa sana na Watanzania

Magari 10 yanayonunuliwa sana na Watanzania

Ford ranger?

Hivi haya magari ya Ford ni American Cars au yanatengenezwa Japan au nchi nyingine? Maana magari ya kimarekani huwa ni mapana sana ila hizo Ranger na Everest naona zipo kama Japanese cars ambazo ndio common hapa Tanzania.
 
Dah...kila mtu na mahali anapoishi.
Nilipo mimi..
1. IST
2.X trail
3. Premio
4........endelezeni wenyewe
 
Bila kuweka BREVIS na GRAND MARK II GX 100 110 kwenye hiyo list HATA SIWAELEWI
 
It depends unapenda kuensesha chombo gani. Wazee wa pori kama mie bila 4WD manua transmission sija enjoy gari kabisa
Inauma kweny hiyo top 10 unajikuta mtu huna hata moja hapo
 
Mara nyingi huwa natumiwa email na mtandao wa Be Forward wakinipa updates mbalimbali juu ya magari yao.
Hata wao pia namba moja wao ni IST na Harrier
naweza kufanyaje nipate updates kutoka kwao mzee??
 
Na sasa hivi naona watu wameanza kukimbila kwenye Toyota Rumion sijui wameona nn!!
 
Back
Top Bottom