My list
1. IST
2. Harrier
3. Vitz
4. Passo
5. Corolla
6. Carina TI
7. Clugger
8. Rav 4
9. Alteza
10. Prado
me najua una kaist,bank teller wadada wengi ndo gar zenu pendwaNdinga za kichovu hizi[emoji57]
Starlet imeshuka mkuu imepotea sana mtaani labda subaru kwa kiasiTop ten yangu
1. IST
2. Raum
3.Vitz
4.Spacio
5.Noah
6.Rav4
7.Harrier
8.Starlet
9.Allex
10.TI
Bank teller[emoji16][emoji16][emoji1787]poleme najua una kaist,bank teller wadada wengi ndo gar zenu pendwa
Ukweli ni kwamba tunaelekea kuufunga mwaka 2019 na time kama hii tunakaribia kukutana na hesabu nyingi za kufunga na kujiandaa kwa mwaka unaofuata. Sasa wakati ukiwaza bajeti ya mwakani pengine na mipango ijayo ni muhimu kujua wenzako wengi wamepitia wapi.
Watanzania wengi kwa mwaka huu inaonekana wamechagua gari ambalo halitumii sana mafuta, gharama yake kwenye kulitunza ikiwemo service ni ndogo lakini jingine muhimu ni kwamba linahimili shida za barabara mbovu.
Hii hapa chini ni orodha ya magari 10 yanayochaguliwa na kununuliwa kwa wingi na Watanzania.
10. Subaru forester
9. Subaru impreza
8. Toyota Raum
7. Toyota Ractis
6. Toyota Corolla Spacio
5. Toyota Premio
4. Toyota Alphard
3. Toyota Harrier
2. Toyota Crown
1. Toyota IST
Which of those cars has the highest price of all ?Ukweli ni kwamba tunaelekea kuufunga mwaka 2019 na time kama hii tunakaribia kukutana na hesabu nyingi za kufunga na kujiandaa kwa mwaka unaofuata. Sasa wakati ukiwaza bajeti ya mwakani pengine na mipango ijayo ni muhimu kujua wenzako wengi wamepitia wapi.
Watanzania wengi kwa mwaka huu inaonekana wamechagua gari ambalo halitumii sana mafuta, gharama yake kwenye kulitunza ikiwemo service ni ndogo lakini jingine muhimu ni kwamba linahimili shida za barabara mbovu.
Hii hapa chini ni orodha ya magari 10 yanayochaguliwa na kununuliwa kwa wingi na Watanzania.
10. Subaru forester
9. Subaru impreza
8. Toyota Raum
7. Toyota Ractis
6. Toyota Corolla Spacio
5. Toyota Premio
4. Toyota Alphard
3. Toyota Harrier
2. Toyota Crown
1. Toyota IST
Hivi kluger na harrier new model bei si sawa?Kwenye list kama hiyo huwezi ona Kluger au Prado
[emoji2][emoji2]Bank teller[emoji16][emoji16][emoji1787]pole
Sure watu wamenunua sana, nadhani urahisi wa bei inaweza kuwa sababu. Vyuma vimebana sana mtu anataka gari ya juu i.e. SUV , akichungulia zilizopo zinazoendana na bajeti yake anajikuta kaangukia xtrail.X trail imenunuliwa mno pia
Kluger ya 2016 ipo kati ya 27,000 to 51,000 US$ wakati Harrier ya 2016 ipo kati ya 24,000 to 36,000 US$ ,kutegemeana na muundo wa gari husika ( model) kwa hiyo utaona kuna mahali bei zinaweza kuwa sawa ila moja ikawa 4× 2 wakati nyingine ni 4×4Hivi kluger na harrier new model bei si sawa?
Ukiweza kununua gari ya mwaka 2016 hata kama ni vitz nakupa hongera!Kluger ya 2016 ipo kati ya 27,000 to 51,000 US$ wakati Harrier ya 2016 ipo kati ya 24,000 to 36,000 US$ ,kutegemeana na muundo wa gari husika ( model) kwa hiyo utaona kuna mahali bei zinaweza kuwa sawa ila moja ikawa 4× 2 wakati nyingine ni 4×4
Yes,ila huo ni ufafanuzi tuu ili aweze kulinganisha bei zilivyo.Actually magari mengi tunayotumia yametengenezwa zaidi ya miaka 15 iliyopitaUkiweza kununua gari ya mwaka 2016 hata kama ni vitz nakupa hongera!
Toa alpard, weka toyota wish...Ukweli ni kwamba tunaelekea kuufunga mwaka 2019 na time kama hii tunakaribia kukutana na hesabu nyingi za kufunga na kujiandaa kwa mwaka unaofuata. Sasa wakati ukiwaza bajeti ya mwakani pengine na mipango ijayo ni muhimu kujua wenzako wengi wamepitia wapi.
Watanzania wengi kwa mwaka huu inaonekana wamechagua gari ambalo halitumii sana mafuta, gharama yake kwenye kulitunza ikiwemo service ni ndogo lakini jingine muhimu ni kwamba linahimili shida za barabara mbovu.
Hii hapa chini ni orodha ya magari 10 yanayochaguliwa na kununuliwa kwa wingi na Watanzania.
10. Subaru forester
9. Subaru impreza
8. Toyota Raum
7. Toyota Ractis
6. Toyota Corolla Spacio
5. Toyota Premio
4. Toyota Alphard
3. Toyota Harrier
2. Toyota Crown
1. Toyota IST
Kwa mliotembelea Zenji hivi karibuni, asee Toyota Alphard ni nyingi kama bajaji.
Inaweza kuwepo lkn ikawa ni namba kuanzia 11 to infinity...X trail imenunuliwa mno pia
Ukienda Europe hakuna gari hata moja kati ya hizo utakayoiona barabarani hapo ndo nilijua tofauti ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea
Sheria ndo zinawakaba wasimiliki magari ya kawaida. Gari iliyotengenezwa zaidi ya miaka mitano nyuma hairuhusiwi kutembea. Ina maana kwa sasa ni gari za kuanzia 2016 kuja mbele ndo zinazoruhusiwa kutembea. Hi so gari kwenye list nyingi ni za mwaka 2004 kurudi nyumaSure..lakn hata huko europe kuna watu wana magar ya kawaida kabisa..sema wanafaidika kwa vile hawana makodi makubwa...kwa gharama unazotoa kununua lets say kluger tu,hiyo hela ukiwa nje unapata gari kali sana!!