Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
jaji Mfawidhi upo sahihi kodi yake ipo kati ya 25milion mpaka 35milion...ina maana hiyo benz ina miaka minne nyuna toka itengenezwe? sijajua mwizi wa mwaka ni nani hapo maana hiyo sidhani kama ni ya 2012...