Hivi Karibuni nilikuwa naona IST ndio ya vijana ila naona zimejaa nyingi na pia kuna wimbi kubwa la wizi wa IST
Vijana wenye hela naona wanakimbilia Crown maana sahivi zimejaa sana.
Naombeni maoni yenu kuwa ni gari gani sahivi inafaa kijana wa uchumi wa kati?
Vijana wenye hela naona wanakimbilia Crown maana sahivi zimejaa sana.
Naombeni maoni yenu kuwa ni gari gani sahivi inafaa kijana wa uchumi wa kati?