Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

shida inaweza isiwe kwenye wingi wa Ist , ila ndio gari zinaongoza kwa kuibiwa spare ,
hakuna kitu kinauma kama unaamka asubihi unakuta watu wameondoka hadi na bampa, halafu unaenda mnadani unanunua vifaaa kama hivyo huku ukijua navyo vimeibiwa kwa mwenzio.

gari za kijerumani ni nadra sana kusikia zimeibiwa vitu
Sasa hiyo ni mada nyingine maana kama spare za mjerumani hazipatikani kwa urahisi na wewe una mjerumani umempaki tandale uzuri unategemea nini?
 
Mi huwa nashangaa eti mtu hutaki kununua gari kama ist kwasababu zipo nyingi mtaani...sasa we una angalia watu wana nini mtaani au una angalia interest yako na mfuko wako?

Bytheway kizuri kinapendwa na wengi mi nafikiri ungeenda kiundani zaidi ili ujue ni kwa nini IST zinapendwa na zimejaa mtaaani lasivyo

Chukua BMW au Benz kelele kwishney
Mkishakuwa wengi mnaanza kuibiana ibiana. Huyu anagonga taa, usiku jirani yake mwenye ist anavamiwa taa inaibiwa unauziwa wewe.
 
Sasa hiyo ni mada nyingine maana kama spare za mjerumani hazipatikani kwa urahisi na wewe una mjerumani umempaki tandale uzuri unategemea nini?
Nimetoa tu reference gari za kijerumani, kiufupi hata toyota land cruiser v8 unaweza kuipaki tandale uzuri na isiibiwe chochote.

Wizi wa vipuri vya magari Dar unategemea na wingi wa magari hayo, Ist inafatwa popote na vibaka kwa sasa maana zipo nyingi, gari adimu unapaki popote.
 
Kwa hela unayotoa kununua Toyota Crown unachokipata mle ni ziada. Gari ya bei rahisi ambayo inakupa mwendo na comfort( Japanese)
Kama unaweza nunua Crown 2004-7 iwe Athlete or Royal saloon.
Crown nimeiona moja Nairobi ina 2.5 diesel . sijui kama huku kwetu zipo, nahisi itakuwa the best of both worlds.
 
Hivi Karibuni nilikua naona IST ndo y vijana ila naona zimejaa nyingi na pia kuna wimbi kubwa la wizi wa IST

Vijana wenye hela naona wanakimbilia Crown maana sahivi zimejaa sana

Naombeni maoni yenu kua ni gari gani sahivi inafaa kijana wa uchumi wa kati ?
Kitu Alphard au Crown [emoji146]
 
Kama pesa sio tatizo jitwishe Crown! Mle kuna burudani ya hali ya juu usione vijana wenzio tunakimbilia mle, demu wako akipewa lift siku moja tu mle anachagua Lodge ya kupelekwa the next day![emoji12]
Yaan crown ndo mtu anachanganyikiwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapan kwa kweli. Khaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ile gari sijui wanaipendea nn?!!!😀
Tofauti ya sienta na hiki kiatu ni matairi tu
C4BA69F6-969D-4E79-AE54-B612C9F1E57A.jpeg
 
Rafiki yangu aliamka asubuhi akakuta ameachiwa fuvu la gari. Halafu gari ya mkopo na 3rd party insurance alizimia. Saiv mtu akisema kaibiwa gari utasikia alivyokuwepo hayakuwepo haya mambo.
Mjerumani mzuri sema gharama sasa.

Kuna mmama wa kichaga anakwambia watu wanasema vits hazinywi mafuta na gari nyingine zinakunywa sana mafuta unataka zinywe mtori au supu[emoji1][emoji1]
Mama nairo huyo yupo tiktok na YouTube na Instagram, anasema kila gari inakunywa mafuta, hakna gari inayokunywa, Hennessy, castle lager, mchemsho, mbege, supu nk,

Yaan nilicheka ile clip had baas lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom