Buti la mkoloni
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 312
- 850
Reliability, Comfortability, Speed and fuel efficiency go for Toyota Crown Ukiipata Athlete utafurai zaidi....ile ni mashine haswaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo patamuHamna gari mle. Achukue Suzuki Grand Escudo
Hiyo gari hapana kwa kweli bora ist au Dualis from nissanVijana wa kuigana igana siku hizi naona wanaenda mbio na toyota rumion
Sasa hiyo ni mada nyingine maana kama spare za mjerumani hazipatikani kwa urahisi na wewe una mjerumani umempaki tandale uzuri unategemea nini?shida inaweza isiwe kwenye wingi wa Ist , ila ndio gari zinaongoza kwa kuibiwa spare ,
hakuna kitu kinauma kama unaamka asubihi unakuta watu wameondoka hadi na bampa, halafu unaenda mnadani unanunua vifaaa kama hivyo huku ukijua navyo vimeibiwa kwa mwenzio.
gari za kijerumani ni nadra sana kusikia zimeibiwa vitu
Mkishakuwa wengi mnaanza kuibiana ibiana. Huyu anagonga taa, usiku jirani yake mwenye ist anavamiwa taa inaibiwa unauziwa wewe.Mi huwa nashangaa eti mtu hutaki kununua gari kama ist kwasababu zipo nyingi mtaani...sasa we una angalia watu wana nini mtaani au una angalia interest yako na mfuko wako?
Bytheway kizuri kinapendwa na wengi mi nafikiri ungeenda kiundani zaidi ili ujue ni kwa nini IST zinapendwa na zimejaa mtaaani lasivyo
Chukua BMW au Benz kelele kwishney
Nimetoa tu reference gari za kijerumani, kiufupi hata toyota land cruiser v8 unaweza kuipaki tandale uzuri na isiibiwe chochote.Sasa hiyo ni mada nyingine maana kama spare za mjerumani hazipatikani kwa urahisi na wewe una mjerumani umempaki tandale uzuri unategemea nini?
Hivo hivoMkishakuwa wengi mnaanza kuibiana ibiana. Huyu anagonga taa, usiku jirani yake mwenye ist anavamiwa taa inaibiwa unauziwa wewe.
Chukua probox Mkuu [emoji16]
Crown nimeiona moja Nairobi ina 2.5 diesel . sijui kama huku kwetu zipo, nahisi itakuwa the best of both worlds.Kwa hela unayotoa kununua Toyota Crown unachokipata mle ni ziada. Gari ya bei rahisi ambayo inakupa mwendo na comfort( Japanese)
Kama unaweza nunua Crown 2004-7 iwe Athlete or Royal saloon.
Kitu Alphard au Crown [emoji146]Hivi Karibuni nilikua naona IST ndo y vijana ila naona zimejaa nyingi na pia kuna wimbi kubwa la wizi wa IST
Vijana wenye hela naona wanakimbilia Crown maana sahivi zimejaa sana
Naombeni maoni yenu kua ni gari gani sahivi inafaa kijana wa uchumi wa kati ?
Shepu kama kindula cha mtoto yani,Sienta ule mgari upo kama nini sijui,kuna watu wakiendeshaga magari flan uwa najiuliza hivi huyu hii gari kaiagiza au kapewa bure!
Rafiki wee ni nshomile? [emoji23][emoji23][emoji23] nimeuliza tyuuhMimi kama kijana wa kisasa naendesha hii Faru.Spacio,IST pamoja na takataka nyingine ni kwa ajili ya houseboys na housegirls.
View attachment 1797744
Yaan crown ndo mtu anachanganyikiwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapan kwa kweli. KhaaaahKama pesa sio tatizo jitwishe Crown! Mle kuna burudani ya hali ya juu usione vijana wenzio tunakimbilia mle, demu wako akipewa lift siku moja tu mle anachagua Lodge ya kupelekwa the next day![emoji12]
Tofauti ya sienta na hiki kiatu ni matairi tuIle gari sijui wanaipendea nn?!!!😀
Vipi wewe mara ya mwisho lini umepandishwa lini Benz Maybach? Au porsche Cayenne😝😝😝Yaan crown ndo mtu anachanganyikiwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapan kwa kweli. Khaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mama nairo huyo yupo tiktok na YouTube na Instagram, anasema kila gari inakunywa mafuta, hakna gari inayokunywa, Hennessy, castle lager, mchemsho, mbege, supu nk,Rafiki yangu aliamka asubuhi akakuta ameachiwa fuvu la gari. Halafu gari ya mkopo na 3rd party insurance alizimia. Saiv mtu akisema kaibiwa gari utasikia alivyokuwepo hayakuwepo haya mambo.
Mjerumani mzuri sema gharama sasa.
Kuna mmama wa kichaga anakwambia watu wanasema vits hazinywi mafuta na gari nyingine zinakunywa sana mafuta unataka zinywe mtori au supu[emoji1][emoji1]