Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Gari za style ile kama Sienta, Rumion huwa sizikubaliIna body mbovu kinyama,sijui wanaipendea nini vijana 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari za style ile kama Sienta, Rumion huwa sizikubaliIna body mbovu kinyama,sijui wanaipendea nini vijana 😄
Duuh! Asalaleh..[emoji134]Kama pesa sio tatizo jitwishe Crown! Mle kuna burudani ya hali ya juu usione vijana wenzio tunakimbilia mle, demu wako akipewa lift siku moja tu mle anachagua Lodge ya kupelekwa the next day![emoji12]
Shida inaweza isiwe kwenye wingi wa Ist , ila ndio gari zinaongoza kwa kuibiwa spare. Hakuna kitu kinauma kama unaamka asubihi unakuta watu wameondoka hadi na bampa, halafu unaenda mnadani unanunua vifaaa kama hivyo huku ukijua navyo vimeibiwa kwa mwenzio.Mi huwa nashangaa eti mtu hutaki kununua gari kama ist kwasababu zipo nyingi mtaani...sasa we una angalia watu wana nini mtaani au una angalia interest yako na mfuko wako?...
Mji upi huo unaozungumzia?! Kama Dar mvua kidogo ikinyesha barabara hazipitiki sababu ya mafuriko. So still kwa hizi barabara zetu za kubumba 4*4 muhimu sanaGari za kichaga hizo za kuendeshea milimani! Mjini lami kila kona 4*4 ya nini?
Executive sedar car..,crownHamna gari mle. Achukue Suzuki Grand Escudo
Sienta ule mgari upo kama nini sijui, kuna watu wakiendeshaga magari flan uwa najiuliza hivi huyu hii gari kaiagiza au kapewa bure!Gari za style ile kama Sienta,Rumion huwa sizikubali
Mimi bado sijaona Rumion yenye front bumper lililo juu juu, kwa mazingira ninayopita nadhani kila siku nitakuwa natengeneza bumperRumion ipo kwenye chat ila umbile lake kama Lunchbox dah inanipa ukakasi
Rafiki yangu aliamka asubuhi akakuta ameachiwa fuvu la gari. Halafu gari ya mkopo na 3rd party insurance alizimia. Saiv mtu akisema kaibiwa gari utasikia alivyokuwepo hayakuwepo haya mambo.shida inaweza isiwe kwenye wingi wa Ist , ila ndio gari zinaongoza kwa kuibiwa spare ,
hakuna kitu kinauma kama unaamka asubihi unakuta watu wameondoka hadi na bampa, halafu unaenda mnadani unanunua vifaaa kama hivyo huku ukijua navyo vimeibiwa kwa mwenzio.
gari za kijerumani ni nadra sana kusikia zimeibiwa vitu
Achukue BMW 7 series amalize kesi! Tukutane barabarani 😂😂😂Chukua BMW M seriese au X series utaja shukuru mimi ninalo barabalani lipo mojamoja sana
Ndio lile ulilopewa Mombasa?Mimi kama kijana wa kisasa naendesha hii Faru.Spacio,IST pamoja na takataka nyingine ni kwa ajili ya houseboys na housegirls.
View attachment 1797744
shida inaweza isiwe kwenye wingi wa Ist , ila ndio gari zinaongoza kwa kuibiwa spare ,
hakuna kitu kinauma kama unaamka asubihi unakuta watu wameondoka hadi na bampa, halafu unaenda mnadani unanunua vifaaa kama hivyo huku ukijua navyo vimeibiwa kwa mwenzio.
gari za kijerumani ni nadra sana kusikia zimeibiwa vitu
Kama pesa sio tatizo jitwishe Crown! Mle kuna burudani ya hali ya juu usione vijana wenzio tunakimbilia mle, demu wako akipewa lift siku moja tu mle anachagua Lodge ya kupelekwa the next day![emoji12]
Ile gari sijui wanaipendea nn?!!!😀Rumion ipo kwenye chat ila umbile lake kama Lunchbox dah inanipa ukakasi