Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rumionNimeona gari yangu umefananishwa na buti huko juu[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rumionNimeona gari yangu umefananishwa na buti huko juu[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Rumion kama kitoto cha roboti
Hahahahahah hainaga kufeli[emoji3]
Uchumi wa kati kwa kijana ni kiasi ganiHivi Karibuni nilikuwa naona IST ndio ya vijana ila naona zimejaa nyingi na pia kuna wimbi kubwa la wizi wa IST
Vijana wenye hela naona wanakimbilia Crown maana sahivi zimejaa sana.
Naombeni maoni yenu kuwa ni gari gani sahivi inafaa kijana wa uchumi wa kati?
Mnyama sana Hivi Bei zake kibongo hata za mtumba zinacheza kiasi Gan wazeeNimeona sahivi hii Suzuki Jimny kama kimekaa poa hivi. Ila itabidi nijipange maana hizi ni zero km brand new car [emoji28] View attachment 1805988
Nunua Kruger
Itakuwa hajasomaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Umesoma kichwa cha uzi?
Kwahiyo mzee nikimpa lift cocastic hachomoki namla bila chumvi au sio?😁Kama pesa sio tatizo jitwishe Crown! Mle kuna burudani ya hali ya juu usione vijana wenzio tunakimbilia mle, demu wako akipewa lift siku moja tu mle anachagua Lodge ya kupelekwa the next day!😜
Ngoja niendelee kuzichangaHaina kufeli😀
Lakin si tulishakubaliana uzuri wa kitu upo machoni mwa mhusika wakuu 😃😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rumion
Gari kali ni honda cross-roadRumion kama kitoto cha roboti
volkswagen poloKama hela si tatizo sana, na haupiti kwenye njia mbovu mbovu unaweza kuweka heshima mtaani
View attachment 1797727
View attachment 1797728View attachment 1797729
View attachment 1797733