Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
imekaa kama safety bootRumion ipo kwenye chat ila umbile lake kama Lunchbox dah inanipa ukakasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imekaa kama safety bootRumion ipo kwenye chat ila umbile lake kama Lunchbox dah inanipa ukakasi
Nimeona sahivi hii Suzuki Jimny kama kimekaa poa hivi. Ila itabidi nijipange maana hizi ni zero km brand new car [emoji28] View attachment 1805988
Naikubar sana crown ...ipo sikuShida Crown [emoji146] iko chini . Ila kwa stability and comfortablility iko poa pia
Gari yeyote nje ya Toyota
Rumion ipo kwenye chat ila umbile lake kama Lunchbox dah inanipa ukakasi
Si unaona sasa[emoji13]Kwa sababu inawaka hata ukiweka mafuta ya shs.50/=, kuna gari mafuta ya buku 10 mshale haushtuki [emoji23][emoji23][emoji23]
Haa haaa haa 😛😀😀Mimi kama kijana wa kisasa naendesha hii Faru.Spacio,IST pamoja na takataka nyingine ni kwa ajili ya houseboys na housegirls.
View attachment 1797744
Haa haaa haa 😛😀😀
Halafu wee jamaa acha utani basi...
Yaani gari zetu za kujidai unaziita takataka huku wewe unaendesha trekta hii mitaani😀😀😀...!!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah ila wee lol.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hapo sasa nimekusoma..
Ashukuriwe Mungu aliye juu mbinguni, umetamka point muhimu..UVUMILIVU..[emoji119][emoji119]
Maana bila uvumilivu, kutoka X6 mpaka passo 3pistons,
Lazima sponsor mwenye tako la nyani au Murano achukue nafasi..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] yaan kumbe hii niliye mqote m2? Nkajua comment angu mwenyewe. Haya relaaaax bas.
Kila mtu ana zake bhana, [emoji23][emoji23][emoji23]Hizo opportunities za ughaibuni zimwage hapa..
Zinaweza kusaidia wadau..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]
😳😂😂 Kumbe sio koment yko mwenyeweee😯[emoji23][emoji23][emoji23] yaan kumbe hii niliye mqote m2? Nkajua comment angu mwenyewe. Haya relaaaax bas.
Mkuu naomba details zaidi kwenye polo. Nahitaji kununua.. asante
Duu ngoja nika google nipate Exeposure mpya khee
Nili mqote m2, na sio kuwa niliandka km comment binafsi.[emoji15][emoji23][emoji23] Kumbe sio koment yko mwenyeweee[emoji54]
...[emoji119][emoji119]nakusalimia kwa jina la JMT..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah ila wee lol.
Kazi iendelee, [emoji23][emoji23][emoji23]...[emoji119][emoji119]nakusalimia kwa jina la JMT..[emoji23]