Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuishi humo tyuuh, mkuu hakna namna.
Nimejarbu kuwaza siku akipush Passo ya piston 3... [emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimewaza tu najua hawezi fika huko..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
𝓑𝓪𝓭𝓸 𝓭𝓸𝓵𝓵𝓪𝓻𝓼 𝓬𝓱𝓪𝓬𝓱𝓮 𝓷𝓲𝓿𝓾𝓽𝓮 𝓬𝓱𝓾𝓶𝓪...

b2-The current Porsche 911 model series is still popular with customers-1.jpg
 
Nimejarbu kuwaza siku akipush Passo ya piston 3... [emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimewaza tu najua hawezi fika huko..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mungu wangu wee!! Mbavu zinauma hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah.
Maisha kuna kupanda na kushuka, so inaweza kuwa, uvumilivu unakuwepo life linasonga hat km kibishi, hahahah
 
Sawa Boss, ule mpango wako wa kuzamia ughaibuni bado upo?
Jamani sikuwahi kusema nitazamia ughaibuni, but nilisema nitatafuta opportunity za kunifikisha huko, na zipo nyingi sana kwa upande wangu, ni suala la muda tyuuh.

Haya lete jingine linalonihusu unalolifaham nikusaidie upate ufafanuzi, maan naona umekua ukinifuatilia kila nakopita lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mungu wangu wee!! Mbavu zinauma hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah.
Maisha kuna kupanda na kushuka, so inaweza kuwa, uvumilivu unakuwepo life linasonga hat km kibishi, hahahah
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hapo sasa nimekusoma..

Ashukuriwe Mungu aliye juu mbinguni, umetamka point muhimu..UVUMILIVU..[emoji119][emoji119]

Maana bila uvumilivu, kutoka X6 mpaka passo 3pistons,

Lazima sponsor mwenye tako la nyani au Murano achukue nafasi..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]
 
Jamani sikuwahi kusema nitazamia ughaibuni, but nilisema nitatafuta opportunity za kunifikisha huko, na zipo nyingi sana kwa upande wangu, ni suala la muda tyuuh.

Haya lete jingine linalonihusu unalolifaham nikusaidie upate ufafanuzi, maan naona umekua ukinifuatilia kila nakopita lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo opportunities za ughaibuni zimwage hapa..
Zinaweza kusaidia wadau..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]
 
Jamani sikuwahi kusema nitazamia ughaibuni, but nilisema nitatafuta opportunity za kunifikisha huko, na zipo nyingi sana kwa upande wangu, ni suala la muda tyuuh.

Haya lete jingine linalonihusu unalolifaham nikusaidie upate ufafanuzi, maan naona umekua ukinifuatilia kila nakopita lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂

Screenshot_20210528-072544_1.jpg
 
Asante Sana kwa ushauri
Nunua kwa mujibu wa uwezo wako kifedha, pia uangalie na consumption ya mafuta hasa kwa hapa Dar ambapo foleni haziepukiki. Usije jikuta umenunua gari unashindwa hata kuiendesha siku tatu kwa wiki kutokana na utumiaji wake mkubwa wa mafuta. Ukiwa ni mfanyakazi wa serikali basi nakushauri usizidishe gari ya cc 1500.

Pia utazame urahisi wa kupata spares kama unaweza kupata hapa au lazima uagize kutoka nje. Pia inahitaji service na maintenance nyingine ambazo utakuwa unatumia pesa tu.

Ukinunua mgari mkubwa utaishia kutumia fedha tu hasa ukiwa huna chanzo chengine cha fedha (utageuka chuma ulete).
 
Back
Top Bottom