Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

Kuwa masikini JF ni uzembe sana [emoji28][emoji28]

Mimi juzi hapa nimemkopesha Mo billion 1 [emoji28][emoji28][emoji28]
Masikini wa Jf ni mimi na Extrovert tu...
Mimi nina Kanissan na yeye ana kaOppa..[emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]

Wengine waluobaki ukiwasikiliza, unaweza kubadlishana kagari kako na fungu la mihogo...
 
Masikini wa Jf ni mimi na Extrovert tu...
Mimi nina Kanissan na yeye ana kaOppa..[emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]

Wengine waluobaki ukiwasikiliza, unaweza kubadlishana kagari kako na fungu la mihogo...
Wengine wote wana bmw,benz,audi, volvo ...... halafu IST anapewa dada wa kazi aende nayo sokoni 😅
 
Daah watu wa JF bwana yaani mtu anasema chukua aina fulani kama vile jamaa kapewa offer ya kuchagua gari bire,kumbe mwenyewe anajipima na mfuko wake..!
 
Masikini wa Jf ni mimi na Extrovert tu...
Mimi nina Kanissan na yeye ana kaOppa..[emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]

Wengine waluobaki ukiwasikiliza, unaweza kubadlishana kagari kako na fungu la mihogo...
wengine tuna za wateja tunawasaidia kuuza
kitaa tunasifika kwa kubadili ndinga
 
Boss, for good na ku maintain status yako ya ki beamer beamer X6, tafuta ata Samsung note8 hizo cheap brand Tecno na Infinix tuachie sisi watu wa baby walker[emoji23][emoji23]
Sijawahi kuishi kwa kumaintain status, halafu naishi maisha yangu vile nipendavyo, siangalii watu wa nje wananitazamaje,
Poleeeeh San kwa hilo.
 
Aisee.[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
mumeo inatakiwa apambane kinyama, azidi kununua mandinga makali....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuishi humo tyuuh, mkuu hakna namna.
 
Back
Top Bottom