Magari kupaki barabarani ni kero kubwa, Serikali wanaojenga majengo michoro iambatane na parking

Magari kupaki barabarani ni kero kubwa, Serikali wanaojenga majengo michoro iambatane na parking

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Hasa Dar imekuwa kero sana hivi halmashauri inakuwaje mnatoa ujenzi wa majumba katikati ya Mji mahoteli na ya biashara bila majengo hayo kuonesha wapi magari yatakuwa yanapaki?

Watu wakipaki magari yao barabarani inakuwa finyu watu tunashindwa kupita kwa amani na magari yetu ya kifahari
 
Yaani inauzi unakuja ata mijini magari yamepaki kwenye njia ya watembea kwa miguu....sijui tatizo nn??
 
Yaani inauzi unakuja ata mijini magari yamepaki kwenye njia ya watembea kwa miguu....sijui tatizo nn??
Mbaya vibali vipya vya kujenga vinatolewa bila kuzingatia jengo kuwa na parking
 
Nilikuwa napanga nianzishe uzi ila kwakuwa umeanzisha ngoja nichomekee hapa hapa!

Nahisi kizazi cha baadhi ya Watanzania kwa sasa kina tatizo la kufikiri kuhusu mipango ya future ya nchi, mf mipango miji.

Achilia mbali huko Dar! Mikoani hali ya mipango miji inazidi kuwa mbaya sana kwa baadhi ya miji.

Kuna mikoa ambayo ukiwa mjini hakuna parking area maalumu. Sasa kwa miaka ijayo lazima italeta shida tu kuhusu parking!

Kwa nini baadhi ya watu wenye mamlaka hawataki kuishi kwa future? We need to live for the future and not for the current!

Hakuna namna nyingine ya kufanya kwa sasa zaidi ya kulipa fidia nyumba za watu kadhaa zinabomolewa na inajengwa parking area. Lakini cha ajabu, utakuta mahotel yanazidi kujengwa mijini na hawatengi parking area.

Huwa najiuliza, hao latra wanakusanya ushuru wa parking kwa kutumia kigezo gani wakati hawajajenga parking area baadhi ya mikoa?!

Huwa napita mkoa fulani, yaani yale maeneo ya kota za NHC, unakuta pamepangika kuanzia nyumba, soko, nyumba za ibada, parking area nk.

Pia, kotazi za railway nazo zimepangika, unakuta huduma zote muhimu zinapatikana ikiwemo viwanja vya michezo, masoko, nk.

Kupangika kwa NHC na kotazi za railway zinaonesha kabisa, wazungu wakoloni na watanzania wa kipingi cha mwl Nyerere walikuwa wanafikiri vizuri kuhusu mipango ya baadae, ila kwa sasa akili zimepararaizi kuhusu mipango miji! Tunajenga majumba mazuri bila mipango!
 
Nilikuwa napanga nianzishe uzi ila kwakuwa umeanzisha ngoja nichomekee hapa hapa!

Nahisi kizazi cha baadhi ya Watanzania kwa sasa kina tatizo la kufikiri kuhusu mipango ya future ya nchi, mf mipango miji.

Achilia mbali huko Dar! Mikoani hali ya mipango miji inazidi kuwa mbaya sana kwa baadhi ya miji.

Kuna mikoa ambayo ukiwa mjini hakuna parking area maalumu. Sasa kwa miaka ijayo lazima italeta shida tu kuhusu parking!

Kwa nini baadhi ya watu wenye mamlaka hawataki kuishi kwa future? We need to live for the future and not for the current!

Hakuna namna nyingine ya kufanya kwa sasa zaidi ya kulipa fidia nyumba za watu kadhaa zinabomolewa na inajengwa parking area. Lakini cha ajabu, utakuta mahotel yanazidi kujengwa mijini na hawatengi parking area.

Huwa najiuliza, hao latra wanakusanya ushuru wa parking kwa kutumia kigezo gani wakati hawajajenga parking area baadhi ya mikoa?!

Huwa napita mkoa fulani, yaani yale maeneo ya kota za NHC, unakuta pamepangika kuanzia nyumba, soko, nyumba za ibada, parking area nk.

Pia, kotazi za railway nazo zimepangika, unakuta huduma zote muhimu zinapatikana ikiwemo viwanja vya michezo, masoko, nk.

Kupangika kwa NHC na kotazi za railway zinaonesha kabisa, wazungu wakoloni na watanzania wa kipingi cha mwl Nyerere walikuwa wanafikiri vizuri kuhusu mipango ya baadae, ila kwa sasa akili zimepararaizi kuhusu mipango miji! Tunajenga majumba mazuri bila mipango!
Kweli hili jambo wazir husika alitazame kwa upana
 
Parking ni changamoto mpka mtu kwenda na gari mjini unawaza mara mbili.
 
Hasa Dar imekuwa kero sana hivi halmashauri inakuwaje mnatoa ujenzi wa majumba katikati ya Mji mahoteli na ya biashara bila majengo hayo kuonesha wapi magari yatakuwa yanapaki?

Watu wakipaki magari yao barabarani inakuwa finyu watu tunashindwa kupita kwa amani na magari yetu ya kifahari
Poleni saana
 
Back
Top Bottom