Car4Sale Magari mapya ya Kampuni ya Tata yanauzwa

peeak peak mnazo
 
tata prima tipa. mpya kutoka kiwandani. interested piga simu au whatsapp. - 0686-168624.
 

Attachments

  • Tata-Prima-2523.K.jpg
    105.4 KB · Views: 64
Huyu mhindi ndiye kanunua kiwanda cha magari kinachotengeneza Range rover cha Mwingereza miaka mitatu au minne iliyopita so usimchukulie poa

asante mkuu. watu hawajui,kuna kampuni za magari za ulaya zilifilisika na zimenunuliwa na makampuni ya wahindi. kwa mfano leyland ya uingereza iliuzwa kwa kampuni ya wahindi inaitwa ashok. sasahivi wanauunda magari ya ashok leyland. zipo barabarani, majeshi mbali mbali TZ wamenunua hayo magari.
Tata tuko vizuri sana kwenye masoko.
 
Kweli Tata aliinunua Jaguar Range Rover kwa 2.3 Bilion dollars. Hawa jamaa naskia wana hisa kwenye kampuni kibao za magari huko ulaya
 
Huyu mhindi ndiye kanunua kiwanda cha magari kinachotengeneza Range rover cha Mwingereza miaka mitatu au minne iliyopita so usimchukulie poa

asante mkuu. watu hawajui,kuna kampuni za magari za ulaya zilifilisika na zimenunuliwa na makampuni ya wahindi. kwa mfano leyland ya uingereza iliuzwa kwa kampuni ya wahindi inaitwa ashok. sasahivi wanauunda magari ya ashok leyland. zipo barabarani, majeshi mbali mbali TZ wamenunua hayo magari.
Tata tuko vizuri sana kwenye masoko.
 
Kweli Tata aliinunua Jaguar Land Rover kwa 2.3 Bilion dollars. Hawa jamaa naskia wana hisa kwenye kampuni kibao za magari huko ulaya
yep ni kweli kampuni ya Tata inamiliki kampuni ya magari ya jaguar na range rover.
 
tata ultra bus. mil 138 tzs. 0686-168624.
 

Attachments

  • 45390833_1991118540949190_8579370797812940800_n.jpg
    59.3 KB · Views: 62
Tata lpk 2518. tani 18. bei M TZS 155. Taratibu za mkopo zipo. piga simu 0686-168624
 

Attachments

  • images (1).jpg
    9.7 KB · Views: 57
magari used yapo ? nahitaji Mega Ace used yenye hali nzuri au Ace Ex2 (four cylinders)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…