So Hillarious.....Exactly!
Ni wapi na lini alikuwa akiyaendesha hayo magari?
Na hata kama alikuwa anayaendesha mara moja moja, magari yote hayo ya nini?
Huyo jamaa na baba yake waliifanya Syria kama kampuni yao binafsi.
Huna akiliMakasiriko ya nini sasa? Magari yake kwani asipokuwa nayo utakuwa nayo wewe?
Tafuta yako na wewe uendeshe, achana na roho za kwanini Assad ana magari na hayatumii, wewe huna.
Unafananisha Bahrain na Africa?Waarabu ndo wanaongoza kwa corruption za wazi kabisa bora hata Africa wanajificha, kuna mfalme wa Bahrain sijui , Jamaa Ana super high end cars kama buku aisee, sijui nilikua naangalia collection yake nikiwa nawaza what a waste.... maintenance tu ya hayo magari ambayo mengi hayatumiki ni kiasi gani..
Sipati picha kina musk,Zuckerberg and the likes wangekua wazee wa ku flex sijui kama mjini pangetosha
Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l
Okay labda ni takwimu za miaka ya hivi karibuni ila huyo Mfalme nilianza kusikia habari zake muda sana, kipindi ambacho wananchi wake wengi bado ni masikini, maana alianza kuishi maisha hayo ya kifahari tangu miaka ya 90"Ranked as one of the world's wealthiest nations due to its vast oil and gas reserves, Brunei's population of 455,858 sees a contrast with a poverty rate of 5%, positioning it 11th out of 78 countries."
Elderly Poverty in Brunei - The Borgen Project
The nation's commitment to enhance reduce elderly poverty in Brunei and to also pave the way for long-term national growth.borgenproject.org
Brunei Darussalaam ni katika nchi zenye poverty rate ndogo sana.
Sahihi, Putin hata ukigoogle utaona alivyo bilionea mkubwa.Putin mwemyewe ni fisadi wa kufa mtu anauejaribu kuhoji utajiri wake anauliwa
Kuna watu wana chuki mpk unaogopa kusoma hv kwan ss weusi majumbam kwetu tunaweza kua na magari 10 hyo hyo mikweche ndo uulize za nnHuko CCM kuna watu wana majumba Dubai hujalalamika kwamba hawalali mle na wametuibia wátanganyika, unatoa povu kwa Assad!
Labda alikuwa anayafurahia kuyatazama.Hebu ona hii collection ya magari ya kifahari ya dikteta Assad!
Na inaripotiwa kuwa hii ni moja tu ya collection yake ya hayo magari ya kifahari.
Alikuwa anayaendesha wapi hayo magari? Muda mwingi alikuwa mafichoni.
Popote alipokuwa anaenda alikuwa alikuwa anaendeshwa.
Ni lini alikuwa anaendesha hayo magari kwenye mitaa ya Damascus?
View: https://youtu.be/pUrnEbnoOK8?si=tGc8kyc1Z7pLaq-l
Kipindi bado hakijanukaHahaa nimecheka kinoma nilipoona ferrari f50, hiyo gari ni zaidi ya billion 10 za kibongo huyu fala sijui alikua analiendeshea wapi
Ndugu au hujui kuwa "kupendana kimaslah" ndio kauli mbiy ya dunia ya sasa hiviNdipo unapoanza kujiuliza..kama navyojouliza..Russia as a big bro...naye pia hajali chochote,huyo takataka alitakiwa awe jela!
Wanajaliana na kupendana kimaslahi tu,sio kwa ajili ya watu!