Grim Langdon
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 774
- 2,262
Amna connection huyo anafanya forex tuUkitafakari ni sahihi kabisa, mtihani ipo kwenye kupata hizo connection.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amna connection huyo anafanya forex tuUkitafakari ni sahihi kabisa, mtihani ipo kwenye kupata hizo connection.
Vijana wa sasa hivi rahisi sana kuwadanganya. watu wenye A's wengi wana kampuni zao na wanaendesha hayo magari. Nina radiki zangu madaktari wana LR Discovery 4.Range rover sporty.VW Toaureg 2, VW Amarok.Uongo uongo mimi ninazote hizo na namiliki zaidi ya hiyo.Miking money is another curriculum which does not require a As or degrees but a plan.Watu wasome msidanganyike the same probabilities ya wasiosoma au wenye F wanafanikiwa ,the same with As wanafanikiwa.Plan your life usiangalie mwingine.Sema wenye As Hawa shout kama wenye F kwa sababu ya inferiority complex na kujitutumua kuwa wameweza na kujitutumua.Guys whatever your doing fanya kwa bidii
Kuna hii tabia ya kupiga tintedi hadi mbele aiseee inatukosesha hiyo fursa. Unakuta mtu kasiriba matintedi gari nzima hadi side mirrors zina tinted.Mimi kuna gari huwa nakutana nazo natamani tu nimuone anaye iendesha japo nimsalimie!
Umasikini ni mbaya sana, yaani gari pekee ninayopanda ni daladala na magari ya matofali kwenda saiti.
Cc 1000 bado ni passo na vits hiyo haujafika hata kwenye IST mzee.Pesa ilizikwa, nyingine zilipata trip kwenda nje ya nchi wkt huo kila mtu alikuwa na wasiwasi.
Leo peaa zimeamua kurudi baada ya kuona huyu hana shida na sisi ila ana shida na nani amfunge kamba ya urefu wake, hivyo zimerudi.
Ukipata channeli ukapewa codes ni fasta tu wazo lako la kununua kiPaso au kiIST linakufa haraka sasa unaamia kwenye vinu vya CC1000 kupanda juu.
Km Dj tu ana uwezo kununua Range rover,na BMW wakati we huna hata baskeli,Aisee! Wakati baadhi ya watanzania kila uchwao wakilalamika ugumu wa maisha mtaani wakati huo huo kuna baadhi ya watanzania kila uchwao wananunua magari ya kifahari na gharama kubwa mno. Kama wewe ni mkazi wa Dar es Salaam utakubaliana nami, huko barabarani kwa sasa magari ya gharama ni mengi mno.
Magari kama Land Cruiser 300 series (GX-R, ZX), Range Rover Sport, Ford Endeavour, Cadillac Escalade na mengine mengi tu. Haya magari kwa sasa yamekuwa mengi sana hapa Tanzania, ni nini siri ya watu kununua haya magari kwa wingi?
Au ndio ile kauli ya kula kutokana na urefu wa kamba yako? Ila wakuu kuna watu wana hela sio poa, kuna hiyo Ford Endeavour nyeusi namba E imenipita hapa mpaka nikaanza kujiuliza maswali kichwani.
Kipi kipo nyuma ya pazia ni madili gani hayo wenzetu wanapiga mpaka wanamiliki vyuma kama hivyo?
Wanajua namna ya kuutumia mnyororo wa thamaniAisee! Wakati baadhi ya watanzania kila uchwao wakilalamika ugumu wa maisha mtaani wakati huo huo kuna baadhi ya watanzania kila uchwao wananunua magari ya kifahari na gharama kubwa mno. Kama wewe ni mkazi wa Dar es Salaam utakubaliana nami, huko barabarani kwa sasa magari ya gharama ni mengi mno.
Magari kama Land Cruiser 300 series (GX-R, ZX), Range Rover Sport, Ford Endeavour, Cadillac Escalade na mengine mengi tu. Haya magari kwa sasa yamekuwa mengi sana hapa Tanzania, ni nini siri ya watu kununua haya magari kwa wingi?
Au ndio ile kauli ya kula kutokana na urefu wa kamba yako? Ila wakuu kuna watu wana hela sio poa, kuna hiyo Ford Endeavour nyeusi namba E imenipita hapa mpaka nikaanza kujiuliza maswali kichwani.
Kipi kipo nyuma ya pazia ni madili gani hayo wenzetu wanapiga mpaka wanamiliki vyuma kama hivyo?
Hao madogo wa Forex hao hatari sanaMbona simple tu, tafuta connection mkuu. View attachment 3010239
😁😁😁😁 gari za watu wa kazi kazi, kaka mkubwa.Usiniambie ndoto yangu ya either Ranger, Amarok, Hillux au D-max itatimia msimu wa mama!!
... kuna lijamaa lipo sehemu linawaangalia tuu! ... siku likiingia Ikulu litapoteza miaka yake yote kumi kuwalimisha Hawa jamaa Kwa meno na kurudisha nchi kwenye uchumi wa baada ya Vita vya Kagera!Aisee! Wakati baadhi ya watanzania kila uchwao wakilalamika ugumu wa maisha mtaani wakati huo huo kuna baadhi ya watanzania kila uchwao wananunua magari ya kifahari na gharama kubwa mno. Kama wewe ni mkazi wa Dar es Salaam utakubaliana nami, huko barabarani kwa sasa magari ya gharama ni mengi mno.
Magari kama Land Cruiser 300 series (GX-R, ZX), Range Rover Sport, Ford Endeavour, Cadillac Escalade na mengine mengi tu. Haya magari kwa sasa yamekuwa mengi sana hapa Tanzania, ni nini siri ya watu kununua haya magari kwa wingi?
Au ndio ile kauli ya kula kutokana na urefu wa kamba yako? Ila wakuu kuna watu wana hela sio poa, kuna hiyo Ford Endeavour nyeusi namba E imenipita hapa mpaka nikaanza kujiuliza maswali kichwani.
Kipi kipo nyuma ya pazia ni madili gani hayo wenzetu wanapiga mpaka wanamiliki vyuma kama hivyo?
😅😅😅😅😅😅😅👊... unaamia kwenye vinu vya CC1000 kupanda juu.