Magari ya gharama kubwa yamekuwa mengi mtaani, nini kipo nyuma ya pazia?

Magari ya gharama kubwa yamekuwa mengi mtaani, nini kipo nyuma ya pazia?

Mchawi mavumba tu wakuu.

Siku nikizipata, nitamiliki hiyo mikebe ya kwenda. 😎

Kuna watu 'wanachota' pesa. Ukipata 'konnection' tu umetoboa.

-Kaveli-
 
Mimi kuna gari huwa nakutana nazo natamani tu nimuone anaye iendesha japo nimsalimie!
Umasikini ni mbaya sana, yaani gari pekee ninayopanda ni daladala na magari ya matofali kwenda saiti.
😂 😂 kuna kitu kinakunyemelea mkuu shtuka
 
Piga picha hizo ndinga zako tuzione hapo nyumbani kwako! Maana shida ya JF kila mtu tajiri kuamini kwenye keyboard inakua ngumu.
Sina haja mkuu ,wala sikukulia kwenye mazingira ya kujionyesha mimi nimeanza kuendesha gari miaka hiyo nikiwa chuo na nilinunua kwenye minada wakiwa wanauza magari ya ma TX kama ulikuwa umezaliwa.So issue ya kujionyesha ni ya kimaskini sana .Watu sasa wame move kwenye stage ya kuonyesha investment, assets na sio liabilities gari au nyumba unayomiliki hata liwe kali kiasi gani kama halikuingizii hata sumuni hiyo ni liability. Think 🤔 na sio kupanga BMWs kwenye nyumba nk.Hebu tuje na thread ya kupeana maujuzi ya Investment
 
Sina haja mkuu ,wala sikukulia kwenye mazingira ya kujionyesha mimi nimeanza kuendesha gari miaka hiyo nikiwa chuo na nilinunua kwenye minada wakiwa wanauza magari ya ma TX kama ulikuwa umezaliwa.So issue ya kujionyesha ni ya kimaskini sana .Watu sasa wame move kwenye stage ya kuonyesha investment, assets na sio liabilities gari au nyumba unayomiliki hata liwe kali kiasi gani kama halikuingizii hata sumuni hiyo ni liability. Think 🤔 na sio kupanga BMWs kwenye nyumba nk.Hebu tuje na thread ya kupeana maujuzi ya Investment
Hongera sana
 
Pesa ilizikwa, nyingine zilipata trip kwenda nje ya nchi wkt huo kila mtu alikuwa na wasiwasi.

Leo peaa zimeamua kurudi baada ya kuona huyu hana shida na sisi ila ana shida na nani amfunge kamba ya urefu wake, hivyo zimerudi.

Ukipata channeli ukapewa codes ni fasta tu wazo lako la kununua kiPaso au kiIST linakufa haraka sasa unaamia kwenye vinu vya CC1000 kupanda juu.
So ist n cc ngap?

Hv hamuwez taja gari mpaka mtaje ist?
Mbona vijana wa kileo mnawivu sn, vits sio gari? Kila mtu anunue apendacho, omba Mungu sn umiliki hata fonex 🚴🏽‍♂️

Maybe u will back to your sense maana poverty imetafuna hadi medulla 🧠
 
Kuna hii tabia ya kupiga tintedi hadi mbele aiseee inatukosesha hiyo fursa. Unakuta mtu kasiriba matintedi gari nzima hadi side mirrors zina tinted.
So ukishamuona anayeshuka itakusaidia nn?

Niaibu kwa mwanaume mwenye kende mbili kulilia tinted zitolewe ili amuone Mwanaume mwenzake akishuka kwny gari…
 
Dah, yaani kuna muda unapishana na gari kuna hisia kali zinakwambia kuna mtu anayekufahamu anakuona. Yaani ilr unatembea kwenye barabara zetu hizi za uchochoroni halafu unakutana na gari inakujia kutokea kwa nyuma inakumulika mitaa full halafu ni usiku na gari inatembea taratibu, sasa unakuwa unajiuliza nani huyu yupo katika gari ananitazama kubabake kila ukijitahidi kupiga jicho unaona vivuli tu.

Sasa unajiuliza vipi kama ni X wangu au demu wangu ananicheat na mtu ndio wananichora muda huu tena wananicheka.

Vipi ninavyotembea huko nyuma wananionaje, je sionikane kama ng'ombe akiwa anatembea kwa nyuma au kama vile mbwa aliyeshushuliwa au kubalaswa vile anatembea kwa kumwaga uno? [emoji848]
Hukiwa na hizo feeling, kupakuliwa n swala la muda tuu, Trust me.

Lijali ayumbishi na material thing, yy hupambana na humiliki kitu anacho afford kwa wakati husika, other wise n ww ingia kariakoo nunua torch za wats 500 na ww uwamulike..

Tamaa kaumbiwa mwanamke n sio shababi
 
Sina haja mkuu ,wala sikukulia kwenye mazingira ya kujionyesha mimi nimeanza kuendesha gari miaka hiyo nikiwa chuo na nilinunua kwenye minada wakiwa wanauza magari ya ma TX kama ulikuwa umezaliwa.So issue ya kujionyesha ni ya kimaskini sana .Watu sasa wame move kwenye stage ya kuonyesha investment, assets na sio liabilities gari au nyumba unayomiliki hata liwe kali kiasi gani kama halikuingizii hata sumuni hiyo ni liability. Think 🤔 na sio kupanga BMWs kwenye nyumba nk.Hebu tuje na thread ya kupeana maujuzi ya Investment
Ww ndo ulieanza kusema unama liability kibao, umeambiwa uonyeshe umeanza kuruka ruka,

🤣🤣🤣 nyie tujifunze kukubaliana na hali zetu
 
So ist n cc ngap?

Hv hamuwez taja gari mpaka mtaje ist?
Mbona vijana wa kileo mnawivu sn, vits sio gari? Kila mtu anunue apendacho, omba Mungu sn umiliki hata fonex 🚴🏽‍♂️

Maybe u will back to your sense maana poverty imetafuna hadi medulla 🧠
Pole, umekuja kwa panic kisa umeona kibabe woka chako kimedharaulika.

Ukikua utaelewa kaa uendelee kujifunza kusoma na kuelewa, hata chizi akiwa katulia anaonekana ana akili!.
 
Pole, umekuja kwa panic kisa umeona kibabe woka chako kimedharaulika.

Ukikua utaelewa kaa uendelee kujifunza kusoma na kuelewa, hata chizi akiwa katulia anaonekana ana akili!.
Pointless, mm nakibaby walker ww unanini?

Bado unawapiga vikumbo mama zako kwny mwendokasi?

Upo desparate hadi sio poa, pambana ndugu upate hayo mabugat ya kwny ndoto, ss tunaendelea kumpa lift mkeo
 
Pointless, mm nakibaby walker ww unanini?

Bado unawapiga vikumbo mama zako kwny mwendokasi?

Upo desparate hadi sio poa, pambana ndugu upate hayo mabugat ya kwny ndoto, ss tunaendelea kumpa lift mkeo
Hebu acha utoto kijana, hii siyo Facebook.

Seeing bado upo stone age kabisa kwa unavyooneka 😔!.
 
Ww ndo uache utoto, Mwanaume lijali hawez kukaa hapa anaponda achivement za wanaume wenzake, hawezi dharau kidogo cha mtu kisa yy anakikubwa,

Gari n kama kilivyo chakula au nguo, kila mtu huvaa kile apendacho na hula kile atakacho,

And dont thnk everyone is like your butt gat no direction untill you shake it..

Grow up buddy otherwise utapoteza sifa za uanaume
 
Back
Top Bottom