MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ishia hapohapo Mrangi. Tumekusoma πHuoni kila kukicha mnafunguliwa yard za kuuzia magari
Maana sahvi vituo vya mafuta wanashindana na watu wa kuuza magari yard ...kufungua maeneo
Unajuwa kwanini!ukiwa na akili kubwa utafahamu
Ova
OntariooMbona simple tu, tafuta connection mkuu. View attachment 3010239
Umenifikirisha sana Mjomba. Keki inatafunwa Na watu wachache sana. Ukiwa chawa Unaelekezwa zilipo unajichoteatu.Kuna pesa ya kutafuta
Na kuna pesa ya kuchota
Ova
π kuna watu wanachotaUmenifikirisha sana Mjomba. Keki inatafunwa Na watu wachache sana. Ukiwa chawa Unaelekezwa zilipo unajichoteatu.
Mungu tusaidie watanzania hali siyo Nzuri japo viongozi wanasema ni nzuri labda kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi kuna gari huwa nakutana nazo natamani tu nimuone anaye iendesha japo nimsalimie!
Umasikini ni mbaya sana, yaani gari pekee ninayopanda ni daladala na magari ya matofali kwenda saiti.
Dah, yaani kuna muda unapishana na gari kuna hisia kali zinakwambia kuna mtu anayekufahamu anakuona. Yaani ilr unatembea kwenye barabara zetu hizi za uchochoroni halafu unakutana na gari inakujia kutokea kwa nyuma inakumulika mitaa full halafu ni usiku na gari inatembea taratibu, sasa unakuwa unajiuliza nani huyu yupo katika gari ananitazama kubabake kila ukijitahidi kupiga jicho unaona vivuli tu.Zemanda
Si kweli watu wanaweka tinted hadi kwenye side mirror. Ila tinted za mbele huwa ni light na si ultra.
Jitafakari sana inawezekana umekubali kuwa na Maisha ya kipato cha wasi wasi.Hivi ni kwa nini huwa si shtushwi na mambo ya Magari wala Nyumba????!!! nashindwa kuelewa kabisa
Umeelewa nilipoandika neno "KUPANDA JUU"?Cc 1000 bado ni passo na vits hiyo haujafika hata kwenye IST mzee.
Mkuu yaani mwanaume ifikie mahali umiliki moja kati ya hizo, hapo ndio nasema huyu ni kidume wa kazi kazi.ππππ gari za watu wa kazi kazi, kaka mkubwa.
Umeziba hadi kivuli π tisha sanaHapa yenyewe nashuka mahali
Napaki ngarangara langu Nissan
Patrol naona kuna mwamba ananipita π RRONDO
Ova
Piga picha hizo ndinga zako tuzione hapo nyumbani kwako! Maana shida ya JF kila mtu tajiri kuamini kwenye keyboard inakua ngumu.Uongo uongo mimi ninazote hizo na namiliki zaidi ya hiyo.Miking money is another curriculum which does not require a As or degrees but a plan.Watu wasome msidanganyike the same probabilities ya wasiosoma au wenye F wanafanikiwa ,the same with As wanafanikiwa.Plan your life usiangalie mwingine.Sema wenye As Hawa shout kama wenye F kwa sababu ya inferiority complex na kujitutumua kuwa wameweza na kujitutumua.Guys whatever your doing fanya kwa bidii
Wabongo naona wananunua sana hizo land cruiser lc ---Mipira ya maana sana mpaka unawaza au mimi sijui kuzitafuta π
Kwa bahati mbaya wenye magari na nyumba ndio naona wana wasiwasi, especially vijana 45 year kurudi chini. Muda mwingine ukipanda gari la mshkaji hadi unaweza kumuonea huruma maana anawaza mara mafuta, sijui service etc. Gari inaendeshwa mwisho wa mwezi tu, presha tupu. Kwa wenye nyumba issue kubwa wanawaza mikopo sasa mpaka nashindwa kuelewa hizi pressure zote za nini ???!! BTW naweza kununua gari nikitaka ila may be sio hobby yanguJitafakari sana inawezekana umekubali kuwa na Maisha ya kipato cha wasi wasi.
Wabongo naona wananunua sana hizo land cruiser lc ---
Ova