Magari ya gharama kubwa yamekuwa mengi mtaani, nini kipo nyuma ya pazia?

Ww ndo ulieanza kusema unama liability kibao, umeambiwa uonyeshe umeanza kuruka ruka,

🀣🀣🀣 nyie tujifunze kukubaliana na hali z



Ww ndo ulieanza kusema unama liability kibao, umeambiwa uonyeshe umeanza kuruka ruka,

🀣🀣🀣 nyie tujifunze kukubaliana na hali zetu
Kwani Kuna mashindano eee basi count me out my dear your not my type
 
Tumekumbafia mfumo wa kulalamika na kulaumu

Matokeo yake wajanja wa wanakimbia na na game plans

Wasongo wamebaki kwenye paperwork, majority ya vijana wako betting… na wengine ni mabingwa wa kutumia buku kwa siku kushinda insta tukilipia apps za mange na ku like contents zinazowapa wajanja pesa

Check magari waliyonayo wasanii, wauza simu, mdalali na importers wa vitu toka China

Kama taifa ni lazima turudi kwenye basics badala ya kulalama
 
IST Zina cc zaidi ya 1000 na hata passo ziko model Zina cc zaidi ya 1000.
 
KAMA DJ ALLY B- ASUMANIIIIIIIIIIIIIIIIII ana mandinga yote haya na ww hauna unabaki kujiuliza uliza tuu ns kushangaa anatoa wapi mitonyo unafeli sana. umesha chelewa HATA CHALAMILA ALISHAKWAMBIA. Huu utawala wa mama kama hauna hela usilaumu. badili mbinu zako za utafutaji. badili formation. Nenda ka manipulate mifumo somewhere aroo
 
Kwa hiyo mkuu wewe kwenye huu utawala una maokoto mengi tu?
 
Mimi kuna gari huwa nakutana nazo natamani tu nimuone anaye iendesha japo nimsalimie!
Umasikini ni mbaya sana, yaani gari pekee ninayopanda ni daladala na magari ya matofali kwenda saiti.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Mwanangu fulani,naona sahv porch cayan ishaanza kukushinda
Nlikuambiaaaa πŸ˜„

Ova
 

Attachments

  • 20240620_130513.jpg
    1.7 MB · Views: 9
kuna mikopo ya 100M pahala tatizo husalimii πŸ˜€
na ukianza kudaiwa pia ucpige makelele
 
Mimi kuna gari huwa nakutana nazo natamani tu nimuone anaye iendesha japo nimsalimie!
Umasikini ni mbaya sana, yaani gari pekee ninayopanda ni daladala na magari ya matofali kwenda saiti.
Jiangalie sana utaja left kiboya sana
 
Mimi kuna gari huwa nakutana nazo natamani tu nimuone anaye iendesha japo nimsalimie!
Umasikini ni mbaya sana, yaani gari pekee ninayopanda ni daladala na magari ya matofali kwenda saiti.
ila wee jamaa, sio kunivunja mbavu huku
 
Umekuwa matured
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…