Kipato cha mziki wa kibongo unasikitisha sana! Imagine msanii kama marioo kwa hit songs zote hizi tena back to back lakini kipato bado ni tatizo! Ingekuwa ni mbele kwa hizo hit songs nadhani jamaa angeingiza kipato kikubwa sana kwa hii miaka kama miwili iliyopita maan ndo msanii aliyetoa ngoma kali kibongo bongo!Kumbe mtu akipiga picha na gari analimiliki
π
Hii picha lunya alipiga akiwa SA, Marioo hata lile prado hana alinyanganywa.
Unafanya mchezo na G Wagon
Mashabiki tunaongoza kwa kuwapa mali wasanii wetu wasizokuwa nazo kisa tu tumeona wamepiga pcha nazo.
Una FS zake?Kipato cha mziki wa kibongo unasikitisha sana! Imagine msanii kama marioo kwa hit songs zote hizi tena back to back lakini kipato bado ni tatizo! Ingekuwa ni mbele kwa hizo hit songs nadhani jamaa angeingiza kipato kikubwa sana kwa hii miaka kama miwili iliyopita maan ndo msanii aliyetoa ngoma kali kibongo bongo!
Jarida la Complex kwenye channel yao ya YouTube walitoa video moja inaenda kwa jina "The Truth About Music Industry | Rules to This Shit" ukiiangalia utapata picha ya maisha ya wasanii wengi duniani.
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba young lunya sijui nan uyo kwamba?
[emoji3]
Hardwork paysView attachment 2126131
Marioo toto bad, G wagon
View attachment 2126132
Young Lunya mbuzi, Range Rover
TrueHardwork pays
Ha ha hatari et Passo...Mario kapiga picha wakati ana shoot wimbo wake flani..
Namkubali lakini nafikiri mwisho wa uwezo wake Ni tako la nyani crown..
Na huyu najiita mbuzi mwisho wa uwezo wake Ni passo
Young Lunya anapush BrevisMario kapiga picha wakati ana shoot wimbo wake flani..
Namkubali lakini nafikiri mwisho wa uwezo wake Ni tako la nyani crown..
Na huyu najiita mbuzi mwisho wa uwezo wake Ni passo
Naamini umepata madini, si kila king'aacho ni dhahabu.Nimeicheki hii