DOKEZO Magari ya Maji taka yamwaga maji kwenye Makazi ya Polisi Oysterbay

DOKEZO Magari ya Maji taka yamwaga maji kwenye Makazi ya Polisi Oysterbay

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
IMG20240909204251.jpg

Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
 
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
🤣🤣🤣🤣Chafu tatu
 
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
Wame yatoa wapi hayo majitaka
 
View attachment 3091843
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari.

Simu yangu ina tatizo la camera, lakini nathibitisha kesho nitapata picha nzuri zaidi.

Dereva wa Gari la majitaka anatamba Boss wako katuruhusu, jiulize inakuwaje raia nije kumwaga mavi kwenye makazi ya Polisi?
nyie mkome na nya😂😂😂🤣
 
Back
Top Bottom